Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Hizi akili zako za kuvukia barabara, nenda na wew ukasukume ngada kama ni simple kama unavyo dhani wewe teh teh wabongo bhana husda zitawauwa...mbona povu linawatoka wakuu??nimekaa huko miaka 6 nawajua vizuri wabongo hawana ishu zaidi ya kuuza sembe kama unataka njoo nikupeleke hatulopoki mzeebaba...mnalala porini we endelea kulala tu huko porini si unapambana na hali yako!!usifikiri kila mtu anatafuta hela ktk mazingira ya taabu..