Mkuu hebu fafanua hapo kidogo!Mhhhh, Marlow Besta anafugika kweli?
Naomba Mungu awajalie maisha mema yasio na vikwazo manake kuoana wote masupastaa bongo iahitaji moyo na pesa isiyokauka mfukoni.
Banjuka juu,banjuka juu
Mhhhh, Marlow Besta anafugika kweli?
Naomba Mungu awajalie maisha mema yasio na vikwazo manake kuoana wote masupastaa bongo iahitaji moyo na pesa isiyokauka mfukoni.