Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Baada ya mahubiri,mchungaji smith aliwaambia waumini wake wakasome mark chapter 17 kwa ajili ya maandalizi ya somo la jumapili ijayo.Siku ya ibada akaomba kujua waumini wangapi wamesoma mark chapter 17,karibu robo tatu ya kanisa waliinua mikono juu.Mchungaji aliwaangalia,akatikisa kichwa kisha akasema ,"there is no mark chapter 17 in the bible,the last chapter for mark is chapter 16!",nyinyi wote waongo wakubwa na leo mahubiri yetu ni kuhusu uongo!(Pasaka njema kwenu wana JF wote na MUNGU awabariki!)