Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. . But Kwa elimu wako poa.
Maharage yana shida gani? Mbona ni chakula kizuri sana kiafya? Wewe ulitaka ule nini mtoto wetu?

Unaposema ada haiendani na services unamaanisha nini? Service kuu ya shule ni kukufundisha kielimu na maadili. Ulikuwa huelewi? Tabia yako ni mbovu hata sasa?

Wewe ni Mwanafunzi wa Marian kweli? Ama afisa uhusiano wa shule zingine?
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Wamekwenda kula ama kusomaa
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
..........Madogo wasafishiwe hadi mikojo yao?
 
Ndio maana ni wanalipiwa bei ghali kisa wasiguse chochote ukitaka apelekwe kayumba akaoshe vyoo green acres kwa chakula zero na vyoo vimezeeka ila tulikuwa tunafanyiwa usafi wa kila mahali ndio maana ada ml 1 na mapoint kwa bweni
 
Ndio maana ni wanalipiwa bei ghali kisa wasiguse chochote ukitaka apelekwe kayumba akaoshe vyoo green acres kwa chakula zero na vyoo vimezeeka ila tulikuwa tunafanyiwa usafi wa kila mahali ndio maana ada ml 1 na mapoint kwa bweni
Mpeleke mwanao shule nyingine. Kwani umelazimishwa asome hapo?? Shule za private ni kama hotels kama hujarishika na huduma zake unahama.
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Ni sehemu ya elimu, ikiwezekana na vibustani kidogo wanagusa hata mara moja kwa wiki..
 
Back
Top Bottom