Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,218
Kwamba huyu dada anafaa kugombea na hivyo kuwa Rais wa Tanzania kwa kuwa "umeona msimamo wake thabiti kwenye tweets zake"? Huu ni utani. Lakini sishangai kwa kuwa naamini Maria anauwezo maradufu kuliko Rais aliyepo sasa. That said, Maria is not a tested leader. Ku-suggest kwamba Maria anaweza kuwa Rais kwa kupima harakati zake za "tweets" ni dharau kwa Watanzania na wote wanaosoma makala kwenye jukwaa hili.
Sisemi kwamba harakati anazofanya Maria na wenzake kupitia "tweets" hazina impact, but there is attribution problem. Kukifanywa mabadiliko yoyote (ya viongozi kwa mfano), watuma "tweets" huhusisha mabadiliko hayo kuwa ni matokeo ya "tweets" walizotuma. Kwamba aliyefanya mabadiliko au aliyejiuzulu nafasi yake amefanya hivyo kutokana na shinikizo la "tweets" zilizotumwa. While this may be true, one needs to rigorously demonstrate that the observed changes could not have happened in absence of "tweets". Kwa maneno mengine, kabla mtu hajahusisha matokeo yeyote na "tweets" anapaswa kutuambia ni nini kingetokea bila kuwepo kwa "tweets" [counterfactual]. Bila kufanya hivyo, kusema "tweets" zinaongeza mbinyo kwa serikali inaweza kuwa ni maneno matupu yanayolenga kuendeleza maslahi binafsi (self-interests) i.e. mtu anaonekana kuwa mwanaharakati mahiri kwa kuwa anatuma "tweets" nyingi za kuibana serikali.
Sisemi kwamba harakati anazofanya Maria na wenzake kupitia "tweets" hazina impact, but there is attribution problem. Kukifanywa mabadiliko yoyote (ya viongozi kwa mfano), watuma "tweets" huhusisha mabadiliko hayo kuwa ni matokeo ya "tweets" walizotuma. Kwamba aliyefanya mabadiliko au aliyejiuzulu nafasi yake amefanya hivyo kutokana na shinikizo la "tweets" zilizotumwa. While this may be true, one needs to rigorously demonstrate that the observed changes could not have happened in absence of "tweets". Kwa maneno mengine, kabla mtu hajahusisha matokeo yeyote na "tweets" anapaswa kutuambia ni nini kingetokea bila kuwepo kwa "tweets" [counterfactual]. Bila kufanya hivyo, kusema "tweets" zinaongeza mbinyo kwa serikali inaweza kuwa ni maneno matupu yanayolenga kuendeleza maslahi binafsi (self-interests) i.e. mtu anaonekana kuwa mwanaharakati mahiri kwa kuwa anatuma "tweets" nyingi za kuibana serikali.