Maria Sarungi: Independent Candidate?

Maria Sarungi: Independent Candidate?

Inamisha kichwa ubongo uje mbele .Hivi ukimleta Obama hapa ataweza kuongoza Tanzania.Huyo Maria alikuwa mtoto wa waziri hapo ujue kilio chake ni kusahaulika na CCM huyo ni mwana CCM kama NAPE,RIZIWANI,KINA .KAWAWA,JANUARY,JOHN MONGELA,MGIMWA,MAKONGORO na DADA YAKE,hao hawajatembea kilometer nyingi kutafuta shule ilipo, hawajabeba mifyagio na majembe,mbolea na makopo ya kumwagilia bustani .Nikimuona mtu anahusika na urembo na maigizo siwezi mshabikia.Kama ni mwanamapinduzi ameshindwaji kumsaidia Lundenga kuiboresha Miss Tanzania? wengineo.Akipewa ukuu wa wilaya anatulia

Mmmhh hata kutapika kuna kiasi hii unaweza tapika maini kabisa!!!!
 
Hawa ghasia wanajuana na JK lakini kichwani chake kimejaa matope huyu Maria Sarungi ningekuwa na uwezo ningempa nafasi ya Uwaziri wa fedha


Ungempa uwaziri Wa fedha kwa kuwa unachat naye huko Twitter na hivyo hana majivuno kama wanawake wengine? Basi? Je, akiacha kuchat na wewe huko Twitter atapoteza sifa za kuwa waziri Wa fedha?

PS. There is something wrong with your arguments. In fact, you are not even arguing for an argument shall be made up of a conclusion flowing logically from a premise.
 
Ungempa uwaziri Wa fedha kwa kuwa unachat naye huko Twitter na hivyo hana majivuno kama wanawake wengine? Basi? Je, akiacha kuchat na wewe huko Twitter atapoteza sifa za kuwa waziri Wa fedha?

PS. There is something wrong with your arguments. In fact, you are not even arguing for an argument shall be made up of a conclusion flowing logically from a premise.
hayo ni mawazo yako na pia uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo .
 
hayo ni mawazo yako na pia uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo .

Alah. Pendekezo/wazo la kumpa Maria uwaziri Wa fedha kwa kuwa unachat naye huko twitter ni langu au lakwako? Uwezo wangu wa kufikiri umeishia hapo wapi? Nisaidie kufikiri.
 
Kwahiyo maria ni mjaluo?..au nusu mjaluo????
Kwa mila nyingi za kiAfrika kabila ya BABA ndio kabila ya MTOTO. Maria ni Mluo kabisa. Ukimfanya nusu Mjaluo utauweka UTANZANIA wake mashakani.
 
Alah. Pendekezo/wazo la kumpa Maria uwaziri Wa fedha kwa kuwa unachat naye huko twitter ni langu au lakwako? Uwezo wangu wa kufikiri umeishia hapo wapi? Nisaidie kufikiri.
sijaangalia uwezo wake kwa sababu nachati naye hapana elimu na uwezo wakati uongozi .sina msaada wa kukusaidia kufikiri kama una mawazo mgando utaendelea kubaki hivyo
 
Kwa upande flan namfahamu Maria kidogo tu. Maria ni mjanja mjanja, anataka viti maalum kupitia chadema kwa support ya zitto. Sasa siasa za zitto hazina future ki vile kwa sasa, hata kugombea ubunge hawezi. Halafu ni mtu wa umaarufu umaarufu anawatumia sana zitto, mdee, mnyika, bulaya, january kama kete ya vijana na yeye anajiingiza kama ni kijana yaani yupo kati ya hao. Hahahaaa ...!!! Maria ni mjanja sana, acheni huyo mwanamke.
 
ni moja ya watu ambao huwa nafatilia twiti zake, nakumbka yeye ndo alikomalia suala la kutozwa buku kuhusu malipo na line(sim card) mpaka likafanikiwa,,yupo vizuri sana ila na wasiwasi sana kama sio anatumika sio bure...
 
sijaangalia uwezo wake kwa sababu nachati naye hapana elimu na uwezo wakati uongozi .sina msaada wa kukusaidia kufikiri kama una mawazo mgando utaendelea kubaki hivyo

Sijakuelewa. Ni wapi ulikoainisha elimu na uwezo wa Maria katika wazo lako la kumpa uwaziri Wa fedha? Umesema unachat naye huko Twitter na ungekuwa na mamlaka ungempa uwaziri Wa fedha. Elimu na uwezo unaomaanisha hapa ni wa kuchat?

Inaonesha huna huruma kabisa. Unaniacha nibaki na mawazo yako mgando badala ya kunisaidia niondokane na mapungufu hayo?
 
Yap mm ni mmoja ya watu ninaowafuatilia sana huyu mama but mm naona anajua kujenga hoja ila sidhani kama ataweza siasa za bongo maana yuko open in minds sana xo naona endapo ataingia kwenye siasa bongo anawezapata matatizo makubwa sana,mm naona aendelee na shuhuli zake tu siasa aweke pembeni
 
Kwa mila nyingi za kiAfrika kabila ya BABA ndio kabila ya MTOTO. Maria ni Mluo kabisa. Ukimfanya nusu Mjaluo utauweka UTANZANIA wake mashakani.

Nimekuelewa mkuu...ila alichofanyiwa salim ahmed salim..na hawa ccm ...ni kibaya sana inabidi nijirudi..sorry for that!
 
ni moja ya watu ambao huwa nafatilia twiti zake, nakumbka yeye ndo alikomalia suala la kutozwa buku kuhusu malipo na line(sim card) mpaka likafanikiwa,,yupo vizuri sana ila na wasiwasi sana kama sio anatumika sio bure...

Unasema asingekomalia kupitia tweets zake leo hii tungekuwa tunatozwa buku kama malipo ya simcard? Umejuaje?
 
Nimekuelewa mkuu...ila alichofanyiwa salim ahmed salim..na hawa ccm ...ni kibaya sana inabidi nijirudi..sorry for that!
Hata huyu Maria Saronge Tsehai hawezi kugombea nafasi yoyote nchi hii. Ataumbuka. Abaki tu kule Twitter na kuendelea kuwashangilia political celebrities wa nchi hii.
 
Alah. Pendekezo/wazo la kumpa Maria uwaziri Wa fedha kwa kuwa unachat naye huko twitter ni langu au lakwako? Uwezo wangu wa kufikiri umeishia hapo wapi? Nisaidie kufikiri.

Maria ni Mtanzania dizaini ya kina Humphrey Polepole. Ni mtu anayeweza kuongea kitu kwa lugha na misamiati rahisi akaeleweka tofauti na Jakaya anayeongea na wazee wa vijiwe vya kahawa kariakoo afu achanganya jingeleza na jiswahili
 
Hata huyu Maria Saronge Tsehai hawezi kugombea nafasi yoyote nchi hii. Ataumbuka. Abaki tu kule Twitter na kuendelea kuwashangilia political celebrities wa nchi hii.

Kweli kabisa mkuu. Yaani hunu kuna watu wa ajabu sana. Mtu kunukuu maneno ya wanafalsafa wa zamani na kuweka kwenye tweeter basi washaona kama anafaa kuwa kiongozi. Hawamjui huyu dada ndio mana, ila kwa sisi tunaomfahamu ngoja tukae kimya
 
Siku hizi kuwa na ukaribu na Zitto ni sawa na disqualification? That's according to Mbowe's supporters point of view, very funny indeed!

Huyu dada alishirikiana na ZZK kukivuruga chama, hafai hata kidogo.
 
I think we need outsiders turn this country around, No more insiders. Don't you think?

great point mkuu. I am as well in the same line of thinking that possibly we now need 'pure outsiders' to chip-in and play, for restoring the welfare of our country.

All insiders have been contaminated by the current corrupt system. As such... personally I don't, now or in near future, expect any CHANGE in our country if we maintain or up-hold the current 'insiders' of the same corrupt system.

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom