Maria Sarungi: Independent Candidate?

Maria Sarungi: Independent Candidate?

Rais Barack Obama hakuwahi kuwa na rekodi ya utendaji serikalini,alikuwa ni junior senator wa Illinois, Marekani lakini leo hii anaongoza taifa kubwa kabisa Ulimwenguni la Marekani.
Hivi senator akija bongo anaweza kuwa kiongozi wa level gani???!!!
 
Inasemekana mama yake anatoka ROMANIA,, Mumewake ni mu- ETHIOPIA kweli tuongozwe na mtu wa aina hii? u can't be serious?

acha mawazo ya watu wa ccm wewe mbona obama ni rais wa marekani na baba yake anatoka anatoka kenya?
 
si sababu ya msingi. Jakaya na wenzake mbona wote wana rekodi za kufanya kazi serikalini lakini ndiyo hao wapiga-dili wakubwa. Mikataba ya hovyo imetamalaki rasilimali za nchi zinaporwa na wageni kwa msaada wa hao wenye rekodi za utendaji serikalini hayo huyaoni sivyo! kwa Tanzania ya sasa kigezo cha utendaji serikalini hakina mashiko.
Huku tunausemi, "mkate huandaliwa mazingira ya unakopikiwa" lakini pia haimaanishi ukichanganya mawe na mchanga katika mazingira ya jikoni utapata mkate!!!
 
Alipokuwepo kwenye Bunge la Katiba kuna lolote alilifanya likaingizwa kwenye hansard niende huko nikasome?
 
Kama mama yake mu- ROMANIA,,, then mumewe mu- ETHIOPIA tusipoangalia tutakuja kutawaliwa hata na MNYARWANDA,,,,
 
Huku tunausemi, "mkate huandaliwa mazingira ya unakopikiwa" lakini pia haimaanishi ukichanganya mawe na mchanga katika mazingira ya jikoni utapata mkate!!!

ushafilisika kifikra sasa unaanza mafumbo.
 
"Insiders" are the real deal, just a matter of constitutional premises!!!!

I am saying this because insiders are already corrupted by the corrupt system. You can't change the system if you're a part of it because you're obviously benefitting from it.
 
I am saying this because insiders are already corrupted by the corrupt system. You can't change the system if you're a part of it because you're obviously benefitting from it.
"Insiders" you meant from the party wing??
Thought you were thinking of the state. . . . . .
 
Hana lolote huyo mwanamke. Yaani hii nchi bana shida kweli kweli. Mtu akitweet huku akinukuu vitabu vya zamani basi mshaconclude kuwa anafaa kuwa kiongozi. Me namfahamu vizuri sana huyu binti, hana lolote zaidi ya sifa na kutafuta wanaume wa kisiasa. Nikikutajia wanaume waliopita naye kwenye bunge la katiba unaweza kuzimia.....
Acha wivu wakike!
 
Ingawa hatujaruhusu kuwa na independent candidates kwenye nchi hii, mtu wa aina hiyo ndiye nilikuwa ninataka ashike uskani wa kuingoza nchi hii.

Party politics zimechangia sana kuharibu nchi yetu na tunatakiwa kuachana nazo kuanzia sasa.

Kwa hiyo mmeamua kuiuza nchi kwa Waethiopia???
 
Back
Top Bottom