Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,660
- 21,091
Wewe Bufa, inaonesha hujui vizuri historia ya dunia na uhusiano uliopo kati ya Marekani na Ufilipino. Mimi sitakwambia jibu ila litafute mwenyewe maana umetoa hoja yako kwa kujiamini sana. Kwa kuwa msingi wa hoja yako ni batili (hii ya China, Marekani na Ufilipino) ina maana hata hoja yako haina mashiko. Namalizia kwa kukushauri pia ufuatilie muelekeo wa uhusiano baina ya Ufilipino na China, na Ufilipino na Marekani kwa miaka ya hivi karibuni tangu Rais mpya wa Ufilipino aingie madarakani.
I guess that went over your head. Ufilipino ni mfano tu, niambie ni nchi gani China alienda kutoa humanitarian aid let alone kuwa wakwanza kufika. Nchi ngapi zinakumbwa na majanga USA inaenda kutoa misaada ila china mnayoishabikia inapiga mute kama haipo vile.