Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

Ajitoe tu hamna namna. Wako wanaoweza kuchangia hiyo asilimia 15 bila kulalama, salman wa saudi au Raisi wa china pekee they can! ni kama pipi kwao
 
View attachment 1463030

Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.

Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anaetegemewa.

Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?

Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?


Trump ni rais mnyonge sana kiakili kiasi kuwa anadhani vitisho, kulaumu na kujitoa kwenye medani za kimataifa ndiyo kuonyesha ubabe. Akishajitoa katika medani kadhaa, nchi itaanza kukose influence, jambo ambalo ndilo ilikuwa silah kubwa ya Marekani. Hata hivyo urais wake bado uko hatihati sana; angalia hii kutoka RCP
1590787922776.png
 
Trump ni rais mnyonge sana kiakili kiasi kuwa anadhani vitisho, kulaumu na kujitoa kwenye medani za kimataifa ndiyo kuonyesha ubabe. Akishajitoa katika medani kadhaa, nchi itaanza kukose influence, jambo ambalo ndilo ilikuwa silah kubwa ya Marekani. Hata hivyo urais wake bado uko hatihati sana; angalia hii kutoka RCP
View attachment 1463075

Bado unaziamini hizo opinion polls?

Hujui mpaka siku ya uchaguzi wa 2016 Hillary a liongo za kwenye hizi opinion polls karibu zote?

Unajua hata exit polls zilionyesha kuwa Hilary kashinda kwa landslide?

Hahahahaaa.....njoo siku ya uchaguzi na poll ya ukweli ndo naweza kukusikiliza....
 
Bilgate kama namwona anavyo chekelea fursa ya kuongoza WHO tayari kwa kuanza ku install anti virus kwenye miili ya binadamu.
View attachment 1463030

Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.

Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anaetegemewa.

Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?

Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?

IMG_20200529_001320.jpeg
 
Bado unaziamini hizo opinion polls?

Hujui mpaka siku ya uchaguzi wa 2016 Hillary a liongo za kwenye hizi opinion polls karibu zote?

Unajua hata exit polls zilionyesha kuwa Hilary kashinda kwa landslide?

Hahahahaaa.....njoo siku ya uchaguzi na poll ya ukweli ndo naweza kukusikiliza....

Hilary alishindwa kwa sababu hakuhamasisha watu wake kupiga kura, na wengi hawakupiga kura kwa kuamini kuwa ama atashinda tu au kwa vile alionyesha kuwachukulia for granted, huku wakiwa na=bado na hasira za Sanders kushindwa primary. Eti Hilary akaenda kupiga kampeini Arizona na Texas na kuacha kwenda Wisconsin na Michigan, na wala hakumtumia Sanders katika kampeini zake.

Ndiyo maana ushindi wa trump kwenye battleground ulikuwa ni razor thin sana kwa sababu ya democrats ambao hawakupiga kura. Sasa hivi Trump amejenga uadui mkubwa sana na watu hao ambao hawakumpigia Clinton kiasi kuwa uchaguzi ujao watajitokeza kwa wingi sana kupiga kura.

Hata kule kwenye republican kwenyewe nako amejenga uadui na sehemu fulani ya republicans ambapo kuwa republican kadhaa watapiga kura against Trump siyo for for a Challenger, na kuna republican ambao hawatapiga kura kabisa, kwa hiyo trump anabaki na ile base tu ambayo haitoshi kabisa kushinda.
 
Kwahiyo hata zile net, kwa udhamini wa USAid ndio basi tena!

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Hilary alishindwa kwa sababu hakuhamasisha watu wake kupiga kura, na wengi hawakupiga kura kwa kuamini kuwa ama atashinda tu au kwa vile alionyesha kuwachukulia for granted, huku wakiwa na=bado na hasira za Sanders kushindwa primary. Eti Hilary akaenda kupiga kampeini Arizona na Texas na kuacha kwenda Wisconsin na Michigan, na wala hakumtumia Sanders katika kampeini zake...
Hahaha fake news aka utopolo
 
Back
Top Bottom