Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,353
- 5,950
Ajitoe tu hamna namna. Wako wanaoweza kuchangia hiyo asilimia 15 bila kulalama, salman wa saudi au Raisi wa china pekee they can! ni kama pipi kwao
Taifa linaloongoza kutoa msaada wa ARV na vifaa vya maabara ni India, inayotoa asilimia 65% ya dawa zote zinazoonekana Tanzania.ARV za bure kwishney.
Muhindi Hana jeuri ya kugawa ARV bure.Taifa linaloongoza kutoa msaada wa ARV na vifaa vya maabara ni India, inayotoa asilimia 65% ya dawa zote zinazoonekana Tanzania.
Mhindi hatoi msaada anawauzia WHO halafu wanazigawa bure mkuuTaifa linaloongoza kutoa msaada wa ARV na vifaa vya maabara ni India, inayotoa asilimia 65% ya dawa zote zinazoonekana Tanzania.
Sawa, baadhi anauza baadhi anagawa kupitia Global Fund IndiaMhindi hatoi msaada anawauzia WHO halafu wanazigawa bure mkuu
nimemsahau jina yule mwamba ila naukumbuka ule mjadala wenu ila sikutia neno sababu nilikua sijui nani alikua yupo sawa kwakipindi kile ila kwasasa nime elewa nani alikua sahihiKuna mdau mmoja hapa tulibishana akasema trump hana ubavu mpaka senete nikamwambia haya subir uone nahis kaona matokeo
Wa kumtoa nani? Sleepy Joe Biden au?
Acha comedy
View attachment 1463030
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.
Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anaetegemewa.
Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?
Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?
Trump ni rais mnyonge sana kiakili kiasi kuwa anadhani vitisho, kulaumu na kujitoa kwenye medani za kimataifa ndiyo kuonyesha ubabe. Akishajitoa katika medani kadhaa, nchi itaanza kukose influence, jambo ambalo ndilo ilikuwa silah kubwa ya Marekani. Hata hivyo urais wake bado uko hatihati sana; angalia hii kutoka RCP
View attachment 1463075
View attachment 1463030
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.
Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anaetegemewa.
Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?
Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?
Bado unaziamini hizo opinion polls?
Hujui mpaka siku ya uchaguzi wa 2016 Hillary a liongo za kwenye hizi opinion polls karibu zote?
Unajua hata exit polls zilionyesha kuwa Hilary kashinda kwa landslide?
Hahahahaaa.....njoo siku ya uchaguzi na poll ya ukweli ndo naweza kukusikiliza....
Kama fisiemu ilivyopewa talaka na wananchi halafu inatumia nguvu kulazimisha penzi
Mkuu unaota?? Eti trump ashindwe na kina sleepy joe November???Uzuri ni kwamba akipigwa chini kwenye uchaguzi Mkuu Mwezi November, Rais ajaye anakuja na yake; anairudisha US kilingeni.
Hahaha fake news aka utopoloHilary alishindwa kwa sababu hakuhamasisha watu wake kupiga kura, na wengi hawakupiga kura kwa kuamini kuwa ama atashinda tu au kwa vile alionyesha kuwachukulia for granted, huku wakiwa na=bado na hasira za Sanders kushindwa primary. Eti Hilary akaenda kupiga kampeini Arizona na Texas na kuacha kwenda Wisconsin na Michigan, na wala hakumtumia Sanders katika kampeini zake...