YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Marekani nawapongeza kwa hiyo kwa Sasa dawa zao hazitahitaji kibali Cha WHO
Na dawa watakazotumia toka nchi zingine hazitalazimika kupata kibali Cha WHO .Ni wakati wetu wa kuanza kuwauzia majani ya kujifukiza wamarekani.Fursa hiyo.WHO ilikuwa kikwazo
Ngoja nikatafute nifunge majanini ya kujifukiza kifurushi nikamiuzie Donald Trump
Na dawa watakazotumia toka nchi zingine hazitalazimika kupata kibali Cha WHO .Ni wakati wetu wa kuanza kuwauzia majani ya kujifukiza wamarekani.Fursa hiyo.WHO ilikuwa kikwazo
Ngoja nikatafute nifunge majanini ya kujifukiza kifurushi nikamiuzie Donald Trump