Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO


Haya, mimi sina maneno mengi ya kusema.

Ila kama unadhani Democrats hawakujitokeza kwa wingi kupiga kura, utakuwa unajidanganya.

Hata Republicans wapo wengi tu wataojitokeza kupiga kura.

Tukutane siku ya uchaguzi....
 
Haya, mimi sina maneno mengi ya kusema.

Ila kama unadhani Democrats hawakujitokeza kwa wingi kupiga kura, utakuwa unajidanganya.

Hata Republicans wapo wengi tu wataojitokeza kupiga kura.

Tukutane siku ya uchaguzi....
Afadhali umesema la maana; kipenga cha mwisho ni November 2020. Tangu Trump achaguliwe, chama chake kimekuwa kinapukutika pole pole. Trump akichaguliwa tena nitaacha kabisa kutumia computer, badala yake nitakuwa natumia Olivetti typewriter na calculator hizi. Inawezekana wengine hamzijui Olivetti

 
Hahaha fake news aka utopolo
Ukishasikia mtu ansema "fake news" ujue ana matatizo ya kisaikolojia na ni mtu thin-skinned sana; hilo ii neno la trump tu, hakuna kiongozi republican mwingine anayesema hivyo kwa vile wao wanajua maana ya kuwa kiongozi!
 
Vita kuu inajongea tartiibu!

Wanaachwa wajinga wadhani wameishika dunia kumbe wanaenda kungezewa matumizi huku wenzao wakijenga uchumi wao.
Tambua kua vita itapiganwa na wajinga wajinga kina china, rusia, pakistani india korea kaskazini na mataahira mengine (najua mnayajua)

Nieleweke tafadhali.
 
Awasalimie kigoma



Missile of the Nation
Sexer
MK254
Root

khatimae US wamemshindwa Muafrika katika zile propaganda zao wamesepa wao badala ya kusepa jamaa

Wewe chekelea ilhali ndugu zako huko kwa mtongole ndio wataumia, maana huyo muajemi na mwarabu ambao huwa unawashobokea kisa dini hamna siku hata moja watakusaidia wewe au ndugu zako, wale ni wagumu na wabaguzi kupita maaelezo, huyu Marekani unapenda kumponda na kula kutoka kwenye sahani yake kwa wakati mmoja.
 
Trump is there to stay.

Wapiga ramli mtapiga sana ila mshikaji yuko pale hadi 2024.

Kwa watu wanaofuatilia mienendo ya siasa za dunia, maamuzi haya ya utawala wa Trump yanaiweka Marekani umwali na kuipunguzia uwezo au nguvu ya ushawishi duniani. Uamuzi huo ni msiba kwa ‘dunia ya Magharibi’ na kicheko kikubwa kwa China na Urusi. Rais Trump ataingia katika kitabu cha historia ya Marekani kama kiongozi aliyeidhoofisha Marekani na kuiondolea heshima ya kile kijulikanacho kama ‘kiongozi wa dunia huru’.
 
Ajitoe tu hamna namna. Wako wanaoweza kuchangia hiyo asilimia 15 bila kulalama, salman wa saudi au Raisi wa china pekee they can! ni kama pipi kwao

Kwanini walikua hawafanyi hivyo kabla?

China mnayoishabikia sana haipo tayari na bado haina uwezo wa kukidhi majukumu yote ambayo US anacheza duniani. Hata kimbunga kikipiga Philippines ambayo ipo miles chache kutoka China, China huwa haiendi na kama ikienda kutoa msaada inafika baada ya US kufika iliyopo miles away from philippines.
 
Urusi hana cha kufanya kwa sababu ni nchi masikini.

China ni selfish country. Kaitumia WHO kwa faida yake kisha akaisaidia Dollar 30M ambayo hata Tanzania ingeweza kutoa.

Trp alishasema wamejenga uchumi sa nchi nyingi sana Duniani sasa ni wakati wa kujenga uchumi wao.

China anaendelea kuibana kwa vikwazo. Kazi bado nzito kwao.
 
Achana na wapiga ramli.

Trump yuko pale hadi 2024.
 

Wewe Bufa, inaonesha hujui vizuri historia ya dunia na uhusiano uliopo kati ya Marekani na Ufilipino. Mimi sitakwambia jibu ila litafute mwenyewe maana umetoa hoja yako kwa kujiamini sana.

Kwa kuwa msingi wa hoja yako ni batili (hii ya China, Marekani na Ufilipino) ina maana hata hoja yako haina mashiko. Namalizia kwa kukushauri pia ufuatilie muelekeo wa uhusiano baina ya Ufilipino na China, na Ufilipino na Marekani kwa miaka ya hivi karibuni tangu Rais mpya wa Ufilipino aingie madarakani.
 
Maigizo ya sanaa haya.

Hiyo WHO ni taasisi ya ujasusi ya marekani na washirika wake!

Baada ya kuwalisha watu madawa ya kila aina, leo wamekuja na igizo jipya la corona!

Tutajua mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…