Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hilary alishindwa kwa sababu hakuhamasisha watu wake kupiga kura, na wengi hawakupiga kura kwa kuamini kuwa ama atashinda tu au kwa vile alionyesha kuwachukulia for granted, huku wakiwa na=bado na hasira za Sanders kushindwa primary. Eti Hilary akaenda kupiga kampeini Arizona na Texas na kuacha kwenda Wisconsin na Michigan, na wala hakumtumia Sanders katika kampeini zake...
View attachment 1463030
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.
Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anaetegemewa...
Nakuomba usibadili ID baada ya Tuesday, November 3rd. 😀Mkuu unatoa?? Eti trump ashindwe na kina sleepy joe November???
Amesema dola 450M while "chaina" in trump voice wanachangia 40M!Anachangia asilimia 40%
Afadhali umesema la maana; kipenga cha mwisho ni November 2020. Tangu Trump achaguliwe, chama chake kimekuwa kinapukutika pole pole. Trump akichaguliwa tena nitaacha kabisa kutumia computer, badala yake nitakuwa natumia Olivetti typewriter na calculator hizi. Inawezekana wengine hamzijui OlivettiHaya, mimi sina maneno mengi ya kusema.
Ila kama unadhani Democrats hawakujitokeza kwa wingi kupiga kura, utakuwa unajidanganya.
Hata Republicans wapo wengi tu wataojitokeza kupiga kura.
Tukutane siku ya uchaguzi....
Jamani kondomu tutatoa wapi?Amesema dola 450M while "chaina" in trump voice wanachangia 40M!
Ukishasikia mtu ansema "fake news" ujue ana matatizo ya kisaikolojia na ni mtu thin-skinned sana; hilo ii neno la trump tu, hakuna kiongozi republican mwingine anayesema hivyo kwa vile wao wanajua maana ya kuwa kiongozi!Hahaha fake news aka utopolo
Awasalimie kigoma
Missile of the Nation
Sexer
MK254
Root
khatimae US wamemshindwa Muafrika katika zile propaganda zao wamesepa wao badala ya kusepa jamaa
Mawakala wa Mabeberu wanachanika msamba sasa
Hawajui wawe upande upi
Trump is there to stay.
Wapiga ramli mtapiga sana ila mshikaji yuko pale hadi 2024.
Ajitoe tu hamna namna. Wako wanaoweza kuchangia hiyo asilimia 15 bila kulalama, salman wa saudi au Raisi wa china pekee they can! ni kama pipi kwao
Urusi hana cha kufanya kwa sababu ni nchi masikini.Kwa watu wanaofuatilia mienendo ya siasa za dunia, maamuzi haya ya utawala wa Trump yanaiweka Marekani umwali na kuipunguzia uwezo au nguvu ya ushawishi duniani. Uamuzi huo ni msiba kwa ‘dunia ya Magharibi’ na kicheko kikubwa kwa China na Urusi. Rais Trump ataingia katika kitabu cha historia ya Marekani kama kiongozi aliyeidhoofisha Marekani na kuiondolea heshima ya kile kijulikanacho kama ‘kiongozi wa dunia huru’.
Achana na wapiga ramli.Trump ni rais mnyonge sana kiakili kiasi kuwa anadhani vitisho, kulaumu na kujitoa kwenye medani za kimataifa ndiyo kuonyesha ubabe. Akishajitoa katika medani kadhaa, nchi itaanza kukose influence, jambo ambalo ndilo ilikuwa silah kubwa ya Marekani. Hata hivyo urais wake bado uko hatihati sana; angalia hii kutoka RCP
View attachment 1463075
Kwanini walikua hawafanyi hivyo kabla?
China mnayoishabikia sana haipo tayari na bado haina uwezo wa kukidhi majukumu yote ambayo US anacheza duniani. Hata kimbunga kikipiga Philippines ambayo ipo miles chache kutoka China, China huwa haiendi na kama ikienda kutoa msaada inafika baada ya US kufika iliyopo miles away from philippines.
Usidanganye watu aiseeTaifa linaloongoza kutoa msaada wa ARV na vifaa vya maabara ni India, inayotoa asilimia 65% ya dawa zote zinazoonekana Tanzania.