Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

My dear,jaribu kusoma upya point yangu utaelewa nilikuwa na maana gani.
Ila ukikurupuka namna hii huwezi kuelewa nilimaanisha nini.

Ngoja nikufafanulie kidogo,nimesema huu ni mchezo wa FBI na Apple ili kukuza mauzo ya bidhaa za Apple.
Kama ingekuwa imefunguliwa na mtu mwingine kwanini wasimtaje huyo mtu?
Point kuu hapo ni kuongeza mauzo ya hizo bidhaa za Apple ndio maana hajatajwa huyo 'MTU'.

Au lah,huenda sababu za kiusalama zimetumika kutokumtaja huyo mfunguaji.
 
ni muisrael ndo aliowasaidia kufungua lakini kusema kama myahudi au nan inakuwa ngumu..maana kuna waisrael waarabu na warusi wengi tu,webgbe waisrael wamarekani na vitu kama hvyo

Wewe umejuaje kuwa ni Muisrael ndo alowasaidia kuifungua?

Au unasadiki tu kuwa ni Muisrael?
 

Hii ni issue ya security ambayo ina affect mamilioni ya watumiaji wa apple devices hivyo they can't expose identity yake. Labda ajitangaze mwenyewe kwa sababu moja au nyingine.
 
Wewe umejuaje kuwa ni Muisrael ndo alowasaidia kuifungua?

Au unasadiki tu kuwa ni Muisrael?
mkuu unafikiri ntajuaje kama c kusoma kwe media? hii habari iliandikwa kwe wallstreet,usa today,bussiness insider,theverge toka juzi na firm husika ilikiri kuwa inakarinia ku unlock hio simu..hamna sehem yoyote nnayoweza pata habar zaid ya kusoma kwe media mkuu
 
Telegram ina nini cha ziada kuishinda WhatsApp?
 
Mkuu sasa saivi wamefungua hawaja vunja sheria??
Ina maana muda wote wanahangaika kufungua walikua wanavunja sheria??
Seems haujafwatilia this case tangu ianze na inawezekana hujui ni nini hasa FBI walikuwa wanataka from apple.
Tuache ubishi usio na maana mkuu....Hivi kwa akili yako boss kweli FBI with National Security issue wanashindwa kweli kukifungua ki Iphone!? kumbuka wanafungua ili kujua Magaidi wengine walioshirikiana na hiyo mwenye Iphone, Kweli!?
 

Okay, naomba niwekee basi viunganishi vya hivyo vyanzo vyako vinavyosema aliyeifungua hiyo simu ni Muisrael.

Tafadhali sana.
 
Wako wapi wale Apple fanatics waliokuwa wanajitapa humu kwamba haiwezi kufunguliwa?

Hakuna linaloshindikana chini ya jua
 
ok ingawa cjakurupuka nmesoma vizur comment yako...ila mi nafikiri kama wanatangaza kuwa wamefanikiwa kuifungua cm bila msaada wa apple wenyew nafikir hio ndo itaathiri soko lao kwakuwa watu watafikiri kuwa kumbe kwe Os kuna flaws ambazo znaweza tumika kufungua cm za apple..kama FBI wangeshindwa kuifungua nafikiri hio ndo ingeboost market kwakuwa ingeongeza confidence kwa wateja kwamba apple wana strong encryption...maana unajua moja ya sababu ya watu kupenda sana cm za apple ni kwasababu ya encycription inayoaaminika ndo maana hata magaidi weng sana wanatumia cm zao kama wanavyotumia telegram kuwasiiana insted of whatsapp for the same reason......
 
Tuache ubishi usio na maana mkuu....Hivi kwa akili yako boss kweli FBI with National Security wanashindwa kweli kukifungua ki Iphone!? Kweli!?

Binafsi siamini kuwa FBI walishindwa kuifungua hiyo simu.

Serikali ya Marekani, ikija kwenye mambo homeland security, ina wherewithal ya kutosha kuweza kufanya karibu chochote kile.
 


well sio kila mtu naweza aka crack , na sidhani bongo kama kuna mtu anayeweza.. kama anagekuwepo FBI wangemfata afungue ...
 
Tuache ubishi usio na maana mkuu....Hivi kwa akili yako boss kweli FBI with National Security issue wanashindwa kweli kukifungua ki Iphone!? kumbuka wanafungua ili kujua Magaidi wengine walioshirikiana na hiyo mwenye Iphone, Kweli!?

Mkuu narudia tena, FBI hawashindwi kufungua simu hio. Njia za kufungua hizi simu zinajulikana wazi. Ila hii case ilikuwa na risk kubwa sana and second FBI walikuwa wanataka zaidi kutoka kwa apple.
 
Mkuu narudia tena, FBI hawashindwi kufungua simu hio. Njia za kufungua hizi simu zinajulikana wazi. Ila hii case ilikuwa na risk kubwa sana and second FBI walikuwa wanataka zaidi kutoka kwa apple.
Ukisema risk kubwa unazungumzia nini mkuu...na risk kwa Iphone au kwa homeland Security yao!?
 
Sasa wewe uliyeenda shule mbona hujanielimisha?
Zaidi umeleta majungu zaidi ya shangingi mstaafu?

Wasomi hawako hivyo,hujibu hoja kwa hoja na ndivyo hudhihirisha usomi wao.


Word Girl...Saante! Nifah
 
Hiyo simu imefunguliwa bila msaada wa Apple japo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba imefunguliwa kwa msaada wa Apple

Hakuna siri dunia hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…