Hiyo ipo rooted tokea enzi za ukoloni,
Kenya walianza kukumbatia sera za kibeberu kitambo sana, huwa hawawezi kukataa lolote wanaloambiwa na West, investment yeyote kubwa itakuwa safe.
Kwa hapa Tanzania, ingawa tunajitahidi kuachana na sera za ujamaa ila zimetukaa na bado chambe chembe zake zipo, ndio maana hata mahusiano na Nchi Kama China na Russia hayayumbi kabisa.
Ingawa Marekani anataka sana kuja hapa kiuchumi ana kazi ngumu kuiondoa falsafa ya kijamaa iliyopo.
Akifanikiwa hilo Kenya hatakuwa na Lake hapa East Africa.
Tanzania ni tishio kwa Kenya na itaendelea kuwa hivyo sikuzote.
Tukipata kiongozi imara tunaweza ipiku kwenye kwa mbali sana chini ya miaka 10 tu.