Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,019
- 142,903
Mimi naona you are beating around the bush-kwani ukisema openly kwamba sisi blacks are the problem-no one will come and hang you
Siwezi kusema hivyo kwa sababu sio weusi wote tuko hivyo.
Mimi ni mweusi na ni raia mwema kabisa. Sijawahi kukamatwa kwa kosa lolote lile.
Hata nikiwa pulled over na polisi na comply na kila kitu, I don't talk back, I don't cop an attitude, none of that.
Na wapo wengine wengi tu kama mimi.
Lakini kwa wakati huo huo haimaanishi hakuna weusi ambao wana matatizo. Sasa kama tupo weusi ambao hatuna matatizo unataka tu nikubali kuwa wote tuna matatizo?
Siwezi kufanya hivyo.