[emoji23] [emoji23]Ndo manaake, US baby!
Hala hala nawe usijetunguliwa huko!
in usa there is no democracy mgabeUmejuaje kuwa hao polisi waliokufa ni wazungu wote?
Kuhusu mimi, wala sina wasiwasi wowote ule wa kuuliwa na polisi.
Ungejibu swali acha lugha za kuudhi,sana sana unajionyesha tu kua huna uwezo wa kupambanua mambo, matusi ni dalili za kutokua na knowledge ya kitu,hujatukanwa unakimbilia kumtukana mwenzio! Wa wapi wewe?!!Wewe umeelewa..alouliza swali kauliza ili aanzishe ligi ya kipumbavu wakati ukweli unajulikana.
Sasa unatupiga kidhungu nani atakujibu?Black life's matter is overrated. These guys are just arrogant and will do anything to portray police in bad way. American blacks are aggressive when it comes to violence and will do anything to shout how segregated they are in terms economic and social justices.
Its this reason i commend our great grandfathers for kidnapping some (of the unproductive in society) and selling them off as slaves to states!!
WekaEka picha au videos au eleza vyema utafiti wako tuelewe
Baada ya police wa kizungu huko Louisiana na Minnesota kuwaua waafrika 2 ulipizaji kisasi umetokea huko Dallas baada ya maofisa 4 wa polisi kuuawa na snipers wakati wananchi wakifanya maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi. Polisi wengine 11 wamejeruhiwa , watatu wakiwa katika hali mbaya
Viongozi wa Marekani wamekuwa wakishindwa kukemea kwa nguvu na kutoa adhabu kali kwa polisi wazungu ambao wamekuwa wakiwaua watu weusi na matokeo yake watu weusi wameanza kuchukua sheria mkononi.
Polisi walioua wamepewa likizo na mmoja atashtakiwa kwa kosa la uvunjifu wa haki za binadamu na siyo la kuua.
Huu ubaguzi unatakiwa ukemewe kila kona
Newtons' third law of motionTo every action there is an equal and opposite reaction
Nipe hiyo aya..Imeruhusiwa kulipa kisasi ili kuleta nidhamu na heshima katika Jamii japo tunakumbushwa kuwa ikiwa tutasamehe itakuwa bora zaid na Mola wetu ni mwingi wa huruma mwingi wa kusamehe.
Daah uvunjifu wa haki za binadam tena?Baada ya police wa kizungu huko Louisiana na Minnesota kuwaua waafrika 2 ulipizaji kisasi umetokea huko Dallas baada ya maofisa 4 wa polisi kuuawa na snipers wakati wananchi wakifanya maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi. Polisi wengine 11 wamejeruhiwa , watatu wakiwa katika hali mbaya
Viongozi wa Marekani wamekuwa wakishindwa kukemea kwa nguvu na kutoa adhabu kali kwa polisi wazungu ambao wamekuwa wakiwaua watu weusi na matokeo yake watu weusi wameanza kuchukua sheria mkononi.
Polisi walioua wamepewa likizo na mmoja atashtakiwa kwa kosa la uvunjifu wa haki za binadamu na siyo la kuua.
Huu ubaguzi unatakiwa ukemewe kila kona
Wameongezeka na kua 5..Majeruhi ni 7 waliouawa ni 4
Akikuuliza unaonaje...muulize unasikiaje..Akikupiga ngumi ya jicho nawe mpigie ya sikio..........
Mkuu mbona Taifa stars hua hatuoni mchezaji Mwarabu,Muhindi au msomali? Hakuna wanaocheza Soka?Umeiona timu ya ufaransa jana ikicheza?? Robo tatu ya wachezaji wake ni weusi.. Ni wapi ulaya na huko Asia mtu mweusi anauliwa bila makosa yoyote na polisi??
Wewe usiwe na akili finyu.Warudi kwao, kwani ni lazima wakafia ugenini?