MAREKANI: Polisi watano wauawa huko Dallas

MAREKANI: Polisi watano wauawa huko Dallas

Lakini unakumbuka wkt mauaji haya yameanza, (ach haya ya juzi) ilkuwa ni whites against blacks? na unajua wanaouwawa wengi ni blacks? na je unafkiri haya mauaji hayana chembe chembe za ubaguzi wa rangi?
 
Lakini unakumbuka wkt mauaji haya yameanza, (ach haya ya juzi) ilkuwa ni whites against blacks? na unajua wanaouwawa wengi ni blacks? na je unafkiri haya mauaji hayana chembe chembe za ubaguzi wa rangi?
 
Mimi nakuhakikishia, nina exposure ya kutosha tu, watu weusi ni wabaguzi kuliko hata ya wazungu, mfano hapa Tanzania tu ukiwa mchaga wewe tayari umezaliwa na dhambi ya asili, hata uwe mzuri vipi utabaguliwa kuanzia kisiasa hadi kijamii.

Kuna ukweli mwingi tu katika usemayo.

Halafu, kwani ubaguzi ni lazima uwe rangi, kabila, au sehemu mtu atokayo? Ubaguzi wa mwelekeo wa kijinsia [sexual orientation] je?

Ona jinsi mashoga wanavyochukiwa na kubaguliwa Tanzania. Halafu hawa hawa wabaguzi wa mwelekeo wa kijinsia wanakuja humu na kuanza kutoa risala zao kwa wengine juu ya ubaguzi.

Unafiki unafiki unafiki!

Katika utafiti usio rasmi nikagunduwa hawa wachaga ni wayahudi wa Tanzania, jamaa wapo smart kichwani.

Yawezekana kabisa.

Haya siku moja niko mitaa ya Johannesburg ati Mzulu ananiambia mimi Mnyama kakuru wakati anajisahau yeye ni black Man

Nimeshawashuhudia hawa washenzi black man Wasouth wakiendesha unyama wao kwa black wenzao kwa kauli mbiu yao shaya umtandaye lakini cha ajabu hawathubutu kuwachokoza makaburu wanawaogopa.

Na wala hakuna haja ya kuandikia mate wakati YouTube videos zipo. Ushahidi mchache tu huu hapa!





Labda wapiga box wa UK watupe ushaidi hapa wa black wazawa wa UK na wahamiaji wanapeana heshima sawa?

Hata huko kuna matatizo tu.
 
Hata hao so called Red Indians nao yawezekana walitokea kwingine vilevile.
One world, ni vigumu kuprove kwamba kila Taifa lilipo ndio hasili yake toka zama za kale, ndio maana EU wao waliona mbali kuweka uhuru wa watu wao kufanya movement within EU countries bila vikwazo.
 
Kuna kipindi niliwahi kuwaza, kuwa nchi za africa zitenge kila nchi eneo la ukubwa wa kati ya Kata ya Idifu (Dodoma) na ile ya Majengo mkoani Kilimanjaro kwa ajiri ya kuwapa makazi ya kudumu ndugu zetu hawa wenye asili ya Africa wanonyanyaswa huko nchi za nje. Kama wanataka kurudi kufanya kazi huko wakishapata makazi ya kudumu waende kwa 'hiyari' yao lakini wajue kuwa wanasehemu ya kuishi kwa amani nyumbani kwao. Dharau wanazofanyiwa zitakoma. Ila mpago huu ili ufanikiwe ni lazima kudhibiti hujuma kama zilizofanywa kwenye uendeshaji wa KORA Africa, mpago uliokuwa unakaribia kufanikisha 're-union' hii.
=====================
Mauaji hayakubaliki.
Yani unawashauri waje Africa kufanya nini huku kutawashinda tuu ubaguzi uko kila sehemu duniani hata hao black kuna walio wakorofi though kuwaua chini ya police ndo mbaya. Bora kubaki America kuliko kuja Africa kwenye shida na kila tabu
 
One world, ni vigumu kuprove kwamba kila Taifa lilipo ndio hasili yake toka zama za kale, ndio maana EU wao waliona mbali kuweka uhuru wa watu wao kufanya movement within EU countries bila vikwazo.

Yup...that's exactly my point!

Na kama umegundua, binadamu si viumbe wa kukaa sehemu moja tu miaka nenda rudi.

Kwa hiyo hata hao Red Indians yawezekana kabisa walitokea labda ma Peru huko au Chile au kwingineko huko.

Sasa kwa vile labda wale wazungu wa mwanzo walioenda Marekani waliwakuta tayari hao watu wapo huko ndo maana huwa inadhaniwa kwamba hao wahindi wekundu hapo ndo kwao.

Lakini uwezekano wa hata wao kuwa walitokea sehemu ingine ni mkubwa tu.
 
Yani unawashauri waje Africa kufanya nini huku kutawashinda tuu ubaguzi uko kila sehemu duniani hata hao black kuna walio wakorofi though kuwaua chini ya police ndo mbaya. Bora kubaki America kuliko kuja Africa kwenye shida na kila tabu

Kwanza wengi tu ni ma gay! Sasa sijui watawabagua hao walio magay?

 
Nilikua na wazo hili jana kwamba watu weusi wanauwawa polisi wakiua wanapewa likizo...eti wakapumzike kwann wasiuwe ili ngoma iwe draw...yaani mboga moto ugali moto...sasa hapa lazima wataongea
 
Nilikua na wazo hili jana kwamba watu weusi wanauwawa polisi wakiua wanapewa likizo...eti wakapumzike kwann wasiuwe ili ngoma iwe draw...yaani mboga moto ugali moto...sasa hapa lazima wataongea
[https://lp]On the evening of July 7th, 2016 the city of Dallas experienced the worst attack on law enforcement since 9/11. Five officers were killed and seven wounded by snipers at the close of a demonstration in downtown Dallas.

YouCaring has launched a fundraiser to provide support for families of the Dallas police officers who were killed or injured in these horrific attacks. All funds raised will be sent to and managed by the Assist the Officer Foundation in Dallas. Support the Victims of the Dallas Police Shooting
 
Kuna wakati kisasi kinaleta heshima.

Hao maafisa wakizidi kutumbuliwa watashika adabu.

Hawataendeleza
Warudi kwenye asili yao Africa babu zao walipozaliwa miaka hiyoooo elfu lela ulela

Jay Z akija Afrika leo ataishi wapi?
 
(Wameruhusiwa (kupigana) wale wanaopigwa, kwa sababu wamedhulumiwa.)
 
Uaaaaaaa..maamaaaeeee....wanaboa sana..nmefurahi wenyeji.wameipokea tofauti na.matarajio yao
 
Umemwangalia AG dakika chache zilizopita?




Ana kazi sana huyu mama, amekuwa na challenges hii wiki. Mauaji ya raia, hii ya leo, halafu issues za emails za Hillary, na the big 'D' anavyomshambulia. She's good though!
 
Police illegally shoot civilians, civilians illegally respond - just another day in the good ol' USA.
 
Back
Top Bottom