Hapo sasa bio video Ni evidence...Kama itatumika kwenye sheria...is another matter..acha tuone....kutokana na historia tuliopewa anaonekana alikuwa mtu wa kawaida na Sio ghaidi....RIP
Kweli kabisa western Europe is better than U.S in terms of respecting human rights U.S ni jina tu na ubabeukiongelea nchi zote zenye amani duniani na zilizo endelea, ni marekani pekee ndipo maisha ya binadamu, hasa mtu mweusi ni bure. sawa na sisimizi. Uingereza, ambao ndo waasisi wa hilo taifa la kihuni bado wanayaeshimu maisha. yakiwemo ya mtu mweusi. Na hayo ni kwa nchi zote za western Europe. The so called civilized countries.
Man, nimefuatuatilia huko kwenye mitandao ya Twitter na Facebook nimekutana na maneno ya kibaguzi kutoka kwa wazungu mpaka imebidi niache tu kujibizana nao. Hawa watu ni wabaguzi, they can't tell you infront of your nose lakini wakiwa behind their computer at home everything comes out. Sasa hivi wanamtukana kila mtu, Beyonce, Jay Z, Obama hata Serena Williams kachikua Wimbledon ya saba anabebeshwa mitusi tu huko. Wanadiriki kuwalaumu watu weusi ndio chanzo cha kila kitu. Wamesahau 400 years history. SMDH.
Social media is a fake place.
Una uhakika gani kuwa hao wanaotukana ni Wazungu?
Ngabu, Nina uhakika 100%. Nakupa mfano, Scotish newspaper Wako na site kwenye facebook. Most of the followers are from Scotland and few are from England and Ireland. It's like a scotish community in Facebook, Ni wao waliobadilisha topic Serena Williams na Wimbledon kuwa ya #BlackLivesMatter
Ndio.
umequote mistari kulingana na mazingira ila mm nahis kwa hili swala kisasi kilikua ni bora ili watu watambue kuwa hilo halifai maana imeanza kuwa destur sasaImeruhusiwa kulipa kisasi ili kuleta nidhamu na heshima katika Jamii japo tunakumbushwa kuwa ikiwa tutasamehe itakuwa bora zaid na Mola wetu ni mwingi wa huruma mwingi wa kusamehe.
Nchi yao ipi sasa?
Hahahaha unamuelewesha nyani ngabu aliyekunywa damu ya USAbaby[emoji1] [emoji1]Ngabu, Nina uhakika 100%. Nakupa mfano, Scotish newspaper Wako na site kwenye facebook. Most of the followers are from Scotland and few are from England and Ireland. It's like a scotish community in Facebook, Ni wao waliobadilisha topic Serena Williams na Wimbledon kuwa ya #BlackLivesMatter
Social media is a fake place.
Una uhakika gani kuwa hao wanaotukana ni Wazungu?
Umewaona sura zao?
USA babyUna uhakika ni sura zao kweli?
Sawa kabisaImeruhusiwa kulipa kisasi ili kuleta nidhamu na heshima katika Jamii japo tunakumbushwa kuwa ikiwa tutasamehe itakuwa bora zaid na Mola wetu ni mwingi wa huruma mwingi wa kusamehe.
Africa ndo nchi yao?, unaijua liberia na ulishapitia historia yake? na unafahamu nini kilitokea?Warudi africa
Tumeamrishwa na Mwenyezi Mungu: Tusidhulumu wala tusikubli kudhulumiwa ! okonkwo jrHii ya kulipa kisasi ni kwa mjibu wa boko haramu tu.
Imeandikwa katika Tiurat: jino kwa jino ..............!Sawa kabisa
IPO kwenye sura gani vile mkuu