Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Alaf kuna mtu anataka et marekani akapigane na Kim jong mnyoa viduku , mara sjui India , hii nchi mnaikosea adabu Sana ....!!!


Hawa jamaa ndo super power aka kiranja wa Dunia ...Urusi ndo anaishilia hvyo R.I.P..mwaka kesho niataenda beach za Miami then naingia zangu visiwa vya Hawaii.... Tukiacha na yote hata Mungu kuna kitu kawaongezea siyo bure
Haaaaaa
 
Hili swali hata mimi huwa najiuliza sana imagine mwaka 1945+ aliikopesha hela ulaya nzima kwenye marshal plan.
si alichapisha dola tu kutoka six digit number format akaongeza kuwa nine digit ili noti ziwe nyingi....it is simple. Ingekuwa amegawa tangible mineral kama dhahabu au almasi ingekuwa issue nyingine.

Na ujue marshal plan ndiyo ilifanya uchumi ukabadilishwa kutoka kupimwa kwenye dhahabu (gold money) na kuwa paper money (useless). tunawauzia dhahabu wao wanachapisha makatasi wanatupatia, wao wanatunza dhahabu, mkisema mlinganishe uchumi, wao wanakugeuka wanakwambia tuna dhahabu tani kadhaa, nawe una makatasi yanayoungua kwa moto. Uchumi wako unaonekana ni hopeless
 
Africa nzima ikiungana GDP yake imepigwa gape vibaya mno na Japan ka nchi kaduchu.
 
There are several reasons why the United States has a higher GDP compared to other countries. Here are a few key factors:

1. Large and Diverse Economy: The United States has a large and diverse economy, which allows for the production and consumption of a wide range of goods and services. This diversity gives the U.S. economy a competitive advantage, as it can adapt to changes in global demand more easily than smaller, more specialized economies.

2. Innovation and Technology: The U.S. is a leader in innovation and technology, which has helped to boost productivity and economic output. The country has a highly educated workforce and invests heavily in research and development, which has led to the creation of many groundbreaking technologies and companies.

3. Natural Resources: The U.S. has abundant natural resources, including fertile land, oil, and minerals, which have helped to fuel economic growth.

4. Political Stability and Strong Institutions: The U.S. has a stable political system and strong institutions that support a business-friendly environment. This has encouraged entrepreneurship and investment, which has helped to drive economic growth.

5. Globalization: The U.S. has been a major player in globalization, which has helped to expand its markets and increase its economic output. The country has a large consumer market and has been able to export its goods and services to other countries, which has boosted its GDP.

It's worth noting that while the U.S. has a high GDP, it also has significant income inequality and other economic challenges, such as a large national debt and an aging population.
 
Back
Top Bottom