Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.

Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.

Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
Unajua ukifanikiwa lazima uchukiwe,wale wengine wanakua walalamishi kama watoto wa kambo au yatima
 
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.

Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.

Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
ya Tanzania je?

Usisahau siye ni dona kantri
 
Afghanistan Iraq Libya
Hakuna kitu kama hicho, kwani USA, ameanza kuwa na uchumi mkubwa duniani leo?!toka kipindi cha marshal plan, alikuwa ameshaanza kuzipiga hizo nchi?

Halafu utasikia jitu eti USA, Anadaiwa sembuse sisi?!yule anadaiwa lakini pesa anayosaidia/anayotoa kwa nchi mbalimbali ni nyingi mno, wewe unadaiwa je kuna pesa unatoa kama misaada!!
 
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.

Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.

Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
...Ana States 51 zinashindana Viwanda, wakati wewe una Miko 31 TU... Mingi ikiwa Haina Hata Kiwanda Kimoja!
Tuanzie Hapo Kwanza....
 
KUNA WATU WANASEMA RUSSIA NI TAIFA IUBWA, KIENEO SAWA😂😂😂

RUSSIA HAWEZI SIMAMA VITANI MIAKA MIWILI HANA UBAVU HUO WA KIPESA

NAPELEKA MAIKI KWA WARUSI WEUSI WA KWA LULENGE
 
Nami nimejiuliza swali kama hilo kwa ufupi nikagundua Marekani anapata sana hela zake kwa Mauzo ya Silaha na Teknolojia Nahisi karibia nchi zote za NATO jamaa ndio anasupply Vifaa vya kijeshi na baadhi ya nchi za kiarabu Saudia Arabia, UAE, etc

Na pia ana matajiri wakubwa so wanalipa kodi kubwa sana, pia ana export magari tena ya kifahari.

Pia ana hazina ya kila kitu, Dhahabu, Shaba, Almasi, Vifo vingi vya thamani, mafuta, Gas etc
 
KUNA WATU WANASEMA RUSSIA NI TAIFA IUBWA, KIENEO SAWA

RUSSIA HAWEZI SIMAMA VITANI MIAKA MIWILI HANA UBAVU HUO WA KIPESA

NAPELEKA MAIKI KWA WARUSI WEUSI WA KWA LULENGE
Russia Bado sana anategema Mafuta na gas vitu ambavyo ni rahisi sana kutafuta mbadala wake mataifa makubwa yakiamua kuwezekeza kwenye magari ya umeme na kuanzia kutumia vinu vyao vya Nuklia kuzalisha Umeme na Joto hizo biashara zinakosa wateja.
 
Hili swali hata mimi huwa najiuliza sana imagine mwaka 1945+ aliikopesha hela ulaya nzima kwenye marshal plan.
Na hii ndo sababu kubwa ya Ulaya magharibi kuwa marafiki wakubwa sana wa US, maana mpango huu wa kufufua uchumi (European Recovery Program) ulikuja na masharti ambayo Ulaya isingeweza kuyapiga chini kutokana na kuwa ilikua imeharibiwa sana na vita lakin pia mikataba ya plan hii ilikua na Non Negotiable terms.

Kwenye sehemu ambazo marekani alicheza kama Pele ni hapa alipopropose hii plan.

Japo ilikua mwanzo wa uhasama mkubwa na wa kudumu kati yake na Urusi lakin plan hii imeprove kuwa one of the plans iliyoleta positive impact kubwa sana ambayo mpaka leo inaonekana na itaendelea kuonekana.

Leo hii kupitia mpango huu tunaona jinsi US alivowaweka Ulaya magharibi kwa pocket yake na wanamskiliza anachotaka.
 
Na hii ndo sababu kubwa ya Ulaya magharibi kuwa marafiki wakubwa sana wa US, maana mpango huu wa kufufua uchumi (European Recovery Program) ulikuja na masharti ambayo Ulaya isingeweza kuyapiga chini kutokana na kuwa ilikua imeharibiwa sana na vita lakin pia mikataba ya plan hii ilikua na Non Negotiable terms.

Kwenye sehemu ambazo marekani alicheza kama Pele ni hapa alipopropose hii plan. Japo ilikua mwanzo wa uhasama mkubwa na wa kudumu kati yake na Urusi lakin plan hii imeprove kuwa one of the plans iliyoleta positive impact kubwa sana ambayo mpaka leo inaonekana na itaendelea kuonekana.

Leo hii kupitia mpango huu tunaona jinsi US alivowaweka Ulaya magharibi kwa pocket yake na wanamskiliza anachotaka.
Sema imewasaidia sana nchi za Ulaya Magharibi isingekua huu mpango nchi nyingi zingekua Maskini sana angalia nchi kama Ujerumani iliharibiwa sana na Vita ila USA akamsaidia sana kumwinua hasa kwa kuwekeza kwenye Viwanda Vizito mpaka leo Ujerumani imesimama tena.
 
Russia Bado sana anategema Mafuta na gas vitu ambavyo ni rahisi sana kutafuta mbadala wake mataifa makubwa yakiamua kuwezekeza kwenye magari ya umeme na kuanzia kutumia vinu vyao vya Nuklia kuzalisha Umeme na Joto hizo biashara zinakosa wateja.
MBONA MUDA SANA WATU WASHAANZA KUHAMA MDOGO MDOGO TOKA UTEGEMEZI 2A MAFUTA NA GESI
 
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.

Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.

Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
Pesa imezunguka miaka mingi kimkakati, si ya leo.

Imeanza tangu enzi za utumwa. Watu wamepata free labor kwa mamia ya miaka.

Halafu wameushika uchumi wa dunia kuanzia tech, culture, financial markets mpaka hela ya biashara ya dunia (US dollar) wanachapisha wenyewe.
 
Sema imewasaidia sana nchi za Ulaya Magharibi isingekua huu mpango nchi nyingi zingekua Maskini sana angalia nchi kama Ujerumani iliharibiwa sana na Vita ila USA akamsaidia sana kumwinua hasa kwa kuwekeza kwenye Viwanda Vizito mpaka leo Ujerumani imesimama tena.
Alfu atakuja mtu mmoja hapa alielewa anakwambia Germany, France, UK na wengine wa Ulaya watamkana US. Yaani hawajui US alishaweka mizizi na misingi ya kutawala Dunia mihongo zaidi ya 7 nyuma.

Tukiwaambia lile taifa linaplan miaka 50 mpaka 100 mbele watu wanaona blah blah blah. Wanadhani sijui US ile ni nchi kama hizi zetu za Africa na Asia. Yaani waga nabaki nacheka na kusikitika. Yaani nchi iliyoandika katiba yake zaidi ya miaka 230 nyuma na mpaka leo katiba hio hio imemfanya kuitawala dunia na kuwa taifa kubwa regardless ya magumu mengi aliyopotia, leo ndo ashindwe kuweka mikakati jinsi ya kuwadhibiti wapinzani wake 20 years or 50 ahead ili aitawale dunia.

Kuna vitu vinaanzaga kimchezo kwa policies walizoanzisha US lakin in a long run vinakuja kuleta effect kubwa sana na kuvibadili inakua mtihani kwa wapinzani wa US. Mfano ulishawahi kujiuliza siku campaign ya kupunguza matumizi ya Fossil fuel chini ya Campaign ya Sustainability ikifanikiwa walau kwa 75% kwenye nchi za Ulaya na US mwenyewe, watu kama Tesla na uchumi wa US utapaa kufika wapi? Je nchi zinazouza mafuta zitaendelea kuwa na kiburi kama zilivo leo?
 
Back
Top Bottom