kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 17,667
- 21,871
Anamanisha urusi haijaonekana mkekani kulikoniUnataka kusemaje sasa!??
Anamanisha urusi haijaonekana mkekani kulikoniUnataka kusemaje sasa!??
Kwa akili zangu za kawaida siyo za mchumi, Marekani ni wazalishaji wakubwa wa bidhaa za viwandani na teknolojia ya hali ya juu.Pesa wanachapisha tu wenyewe
Marekani anafaidikaje na vita ya urusi na ukraine??Pesa imezunguka miaka mingi kimkakati, si ya leo.
Imeanza tangu enzi za utumwa. Watu wamepata free labor kwa mamia ya miaka.
Halafu wameushika uchumi wa dunia kuanzia tech, culture, financial markets mpakq helq yq biashara ya dunia (dollar) wanachapisha wenyewe.
... amezishika yeye kaziiba toka wapi?Teknolojia kubwa nyingi amezishika yeye.
Ni Sera nzuri ya imperialism ubepari wa Hali ya juu San ndio pia chanzo Cha yote hakukuwa na blahblaha za kushare resources equally za ujamaa wa kipumbafuAlaf kuna mtu anataka et marekani akapigane na Kim jong mnyoa viduku , mara sjui India , hii nchi mnaikosea adabu Sana ....!!! Hawa jamaa ndo super power aka kiranja wa Dunia ...Urusi ndo anaishilia hvyo R.I.P..mwaka kesho niataenda beach za Miami then naingia zangu visiwa vya Hawaii.... Tukiacha na yote hata Mungu kuna kitu kawaongezea siyo bure
Hapa kwenye mafuta US hajaamua kuwa serious akiamua hapa nakupa miaka 5 tunasahau habari za Diesel, Petroli na mafuta ya Taa kwanza angalia matumizi ya mafuta ya taa siku hadi siku yanapungua taa za chemli zimepungua, koroboi hakuna tenaAlfu atakuja mtu mmoja hapa alielewa anakwambia Germany, France, UK na wengine wa Ulaya watamkana US. Yaani hawajui US alishaweka mizizi na misingi ya kutawala Dunia mihongo zaidi ya 7 nyuma.
Tukiwaambia lile taifa linaplan miaka 50 mpaka 100 mbele watu wanaona blah blah blah. Wanadhani sijui US ile ni nchi kama hizi zetu za Africa na Asia. Yaani waga nabaki nacheka na kusikitika. Yaani nchi iliyoandika katiba yake zaidi ya miaka 230 nyuma na mpaka leo katiba hio hio imemfanya kuitawala dunia na kuwa taifa kubwa regardless ya magumu mengi aliyopotia, leo ndo ashindwe kuweka mikakati jinsi ya kuwadhibiti wapinzani wake 20 years or 50 ahead ili aitawae dunia.
Kuna vitu vinaanzaga kimchezo kwa policies walizoanzisha US lakin in a long run vinakuja kuleta effect kubwa sana na kuvibadili inakua mtihani kwa wapinzani wa US. Mfano ulishawahi kujiuliza siku campaign ya kupunguza matumizi ya Fossil fuel chini ya Campaign ya Sustainability ikifanikiwa walau kwa 75% kwenye nchi za Ulaya na US mwenyewe, watu kama Tesla na uchumi wa US utapaa kufika wapi? Je nchi zinazouza mafuta zitaendelea kuwa na kiburi kama zilivo leo?
Kumbe watalii kutotalii ni dalili za Utajiri na kuwa na Mbuga kwenu.Ni Sera nzuri ya imperialism ubepari wa Hali ya juu San ndio pia chanzo Cha yote hakukuwa na blahblaha za kushare resources equally za ujamaa wa kipumbafu
Kuadpot mfumu huu wa kusimamia uchumi wake wamefika Happ walipo
Russian Ni nchi tajiri pia nduo maana uwezi kuona warussian wakizagah zagaha duniani kutafuta fursa kwani unaambiwa kila kitu kipo Russian ndio maana Ni vigumu kumkuta mrusi mtani anapambana na miradi sijui ya ujenzi au kuchimba mafuta au kujenga reli hpna mrusi Ana kila kitu nae mpk mbuga za wanyam nduo maana hatumuoni huku Africa akiangaika mno cjawai muona mrusi mtaali
All in all Sera za kibeparia na ubeberu limelisaidia San taifa Hilo pendwa duniani
Kwani anafaidika?Marekani anafaidikaje na vita ya urusi na ukraine??
Kabisa mkuu Trump aliwapiga sunctions China walilia Sana, angalia HuaweiKati ya hizo nchi 10, nchi 7 ni washirika wake. Na hapo bado hujashuka chini top 20, kuna korea kusini n.k kumuangusha US si leo wala kesho.
Huyo china mwenyewe anayeshika namba mbili, kumbuka bidhaa zake zinazomuingizia pesa za kigeni anauza zaidi US na EU.
Apo sasa afu mwendazake alivyokuwa anaropoka kuhusu mabeberu Hadi hurumaHakuna kitu kama hicho, kwani USA, ameanza kuwa na uchumi mkubwa duniani leo?!toka kipindi cha marshal plan, alikuwa ameshaanza kuzipiga hizo nchi?!!
Halafu utasikia jitu eti USA, Anadaiwa sembuse sisi?!yule anadaiwa lakini pesa anayosaidia/anayotoa kwa nchi mbalimbali ni nyingi mno, wewe unadaiwa je kuna pesa unatoa kama misaada!!
Mh! Washikaji kibao walioenda kusoma urusi wanarudi na wanawake wa kirusiNi Sera nzuri ya imperialism ubepari wa Hali ya juu San ndio pia chanzo Cha yote hakukuwa na blahblaha za kushare resources equally za ujamaa wa kipumbafu
Kuadpot mfumu huu wa kusimamia uchumi wake wamefika Happ walipo
Russian Ni nchi tajiri pia nduo maana uwezi kuona warussian wakizagah zagaha duniani kutafuta fursa kwani unaambiwa kila kitu kipo Russian ndio maana Ni vigumu kumkuta mrusi mtani anapambana na miradi sijui ya ujenzi au kuchimba mafuta au kujenga reli hpna mrusi Ana kila kitu nae mpk mbuga za wanyam nduo maana hatumuoni huku Africa akiangaika mno cjawai muona mrusi mtaali
All in all Sera za kibeparia na ubeberu limelisaidia San taifa Hilo pendwa duniani