Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Ili kupata maendeleo yanahitajika mambo naku 3
1 Ardhi
2 watu
3 siasa safi yaani democrasia
Kifuatacho ni mibaraka kila k0na
Kuna uzi unatembea humu ukidai kwanini Saud Arabia hakuna democracy lakini wana maendeleo kiuchumi makubwa sana
 
Hata mimi huwa najiuliza swali hili daily. Nikiangalia pesa alizotoa kwa Ukrane tu tangu vita ianze nimebaki mdomo wazi
 
Wezi tu hao naona watu wanawatetea wanadhamini mpaka alshabab.
 
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani...
Nadhani US imekuwa giant and economic super power baada ya second world war na kuanza kuikopesha Europe na nchi zingine zilizoharibiwa na vita hizo na baadae kuweka taasisi kubwa za fedha kama IMF, World Bank N.K..
 
Watu wanachuki sana na USA, wakati kila technology tunazotumia zinatoka kwao, technology tu ya simu na computer ni kampuni zao, hao watu ni matajiri kwa sababu rasilimali zote wanazo na mfumo wa kibepari unawafavor sana, nashangaa watu wanashabikia taifa ambalo halina msaada wowote kwa Tanzania,, siku zote wanaotupa msaada sector ya afya, ujenzi au hata budget ni Ulaya au Marekani, sijawahi kusikia Mrusi anatusupport kwenye budget yetu
 
Marekani ndio wamiliki wa dola na dola ndio inatumika ktk mabadirishano ya bidhaa duniani kote.

So usipate shida kuwaza wanakuwaje matajiri.

Wakitaka kitu wanabofya tu wanatengeneza midola wananunua chochote nchi yoyote.

Ni wahuni na wajanja wajanja tu hakuna kingine!
 
Nami nimejiuliza swali kama hilo kwa ufupi nikagundua Marekani anapata sana hela zake kwa Mauzo ya Silaha na Teknolojia Nahisi karibia nchi zote za NATO jamaa ndio anasupply Vifaa vya kijeshi na baadhi ya nchi za kiarabu Saudia Arabia, UAE...
Pia hana raisi mwenye vibaraka ambao wanashirikiana na mataifa mengine kuhujumu taifa lao
 
Kwa kuchochea Vita duniani!
Na kuingiza uwoga na uchochezi!
Inamlipa,

Analipwa na anaowagombanisha mbona rahisi Tu!
stori za vijiweni
hii ni mada kukuzidi na imeegemea kwenye uchumi
hivyo kama huna abc kuhusu uchumi bora ukae kimya
 
hakuna uchumi wa hivi mzee
Huoni wanavyojambajamba baada ya Putin kusema atauza bidhaa zake kwa Ruble au dhahabu?

Hii dunia iache mkuu, uliyofundishwa shuleni 80% ni uongo.

Na ili ufaulu lazima ukubali uongo.
 
Huoni wanavyojambajamba baada ya Putin kusema atauza bidhaa zake kwa Ruble au dhahabu?
Hii dunia iache mkuu, uliyofundishwa shuleni 80% ni uongo.
Na ili ufaulu lazima ukubali uongo.
kwahiyo huo ukweli wako umeusoma wapi?
Na lini US amelia kuhusu kauli ya Putin ?

Samahani halafu wewe jamaa juzi kama nilikuona pale karume kwenye kijiwe cha kahawa
 
kwahiyo huo ukweli wako umeusoma wapi?
Na lini US amelia kuhusu kauli ya Putin ?

Samahani halafu wewe jamaa juzi kama nilikuona pale karume kwenye kijiwe cha kahawa
Ukweli hausomwi,
Ukweli ni kitu dhahiri huitaji kusoma ili kujua ukweli.
Ukweli ni hesabu mjomba.

Ila uongo unasomewa, sababu kuubadirisha ukweli kuwa uongo inahitaji akili na busara kubwa sana!
 
Back
Top Bottom