Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Marekani pesa zote hizo anazitoa wapi

Nami nimejiuliza swali kama hilo kwa ufupi nikagundua Marekani anapata sana hela zake kwa Mauzo ya Silaha na Teknolojia Nahisi karibia nchi zote za NATO jamaa ndio anasupply Vifaa vya kijeshi na baadhi ya nchi za kiarabu Saudia Arabia, UAE, etc

Na pia ana matajiri wakubwa so wanalipa kodi kubwa sana, pia ana export magari tena ya kifahari.

Pia ana hazina ya kila kitu, Dhahabu, Shaba, Almasi, Vifo vingi vya thamani, mafuta, Gas etc
Ukiangalia tech yake Kama Google, FB, watsapp, Tweeter, YouTube, Amazon, master card, khaa uyu jamaa noma
 
Sema imewasaidia sana nchi za Ulaya Magharibi isingekua huu mpango nchi nyingi zingekua Maskini sana angalia nchi kama Ujerumani iliharibiwa sana na Vita ila USA akamsaidia sana kumwinua hasa kwa kuwekeza kwenye Viwanda Vizito mpaka leo Ujerumani imesimama tena.
Ndo maana Trump alikuwa anaeapiga spana wananywea
 
Pesa imezunguka miaka mingi kimkakati, si ya leo.

Imeanza tangu enzi za utumwa. Watu wamepata free labor kwa mamia ya miaka.

Halafu wameushika uchumi wa dunia kuanzia tech, culture, financial markets mpaka hela ya biashara ya dunia (US dollar) wanachapisha wenyewe.
Afu mrusi anajitutumua na Rubble
 
Alaf kuna mtu anataka et marekani akapigane na Kim jong mnyoa viduku , mara sjui India , hii nchi mnaikosea adabu Sana ....!!! Hawa jamaa ndo super power aka kiranja wa Dunia ...Urusi ndo anaishilia hvyo R.I.P..mwaka kesho niataenda beach za Miami then naingia zangu visiwa vya Hawaii.... Tukiacha na yote hata Mungu kuna kitu kawaongezea siyo bure
Ukiona watu wanavyobwabwaja eti Kiduku Hadi nacheka
 
Kwa akili zangu za kawaida siyo za mchumi, Marekani ni wazalishaji wakubwa wa bidhaa za viwandani na teknolojia ya hali ya juu.
Wanauza teknolojia karibu kila kona ya dunia.
Maendeleo ya sayansi ndiyo mkombozi.
Sera zao za mambo ya nje ingawa ni za ubabe na kuburuza wengine zinawapatia nguvu kubwa za kiuchumi.
Sawa kabisa
 
Ni sawa na kuuliza jiran yako aliyekuzid anatoa wap pesa..

Tafuta hela mkuu
 
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.

Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa marekani.

Hawa marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.

Swali marekani pesa zote anazitoa wapiView attachment 2168456
Urusi vipi?
 
Back
Top Bottom