Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Inawezekana s/kali ya Jk ndo mbovu kuliko zingine zote zilizopita.Lakini kwa muda huu mfupi s/kali ya awamu ya 5 iliyokaa madarakani wameonesha udhaifu kiasi kwamba watu wenye akili nzuri na wenye maono ya mbali wanaona kwamba ndo itakua Mbovu kuliko Iliyopita.
 
Uzuri wake ni kuwa miongoni watakaoumia pia wapo walioichagua ccm.......
mtegemea cha nduguye hufa masikini Tanzania tumejenga uchumi tegemezi kwa miaka mingi sana kama hatutafanya juhudi binafsi zakujikwamua kwa kujenga uchumi imara kupitia miundombinu tuliyo nayo tutafanikiwa kuongeza pato letu la taifa na keki ya nchi kuliwa na watanzania wote lakini kama tutakuwa bado tunawaza kupokea misaada sikatai kuipokea yatupasa kushirikiana na wenzetu ili kupata nguvu ya pamoja yenye kutuletea tija..ni ngumu kujenga uchumi imara bila kushirikiana na wenzetu tutakwama kusonga mbele kwani masharubu ya uchumi (economic tentacles) zinatokana na kushirikiana na wengine uweze kupata huduma huku na kule pia bidhaa moja hatengenezwi na mtu au taifa moja lazima ushirikiane na watengenezaji wa vifaa vingine ndivyo kanuni za uchumi zilivyo hakuna kuleta kiburi cha kusema tutakusanya mapato ya ndani nakujiendesha hili linachangia kwa sehemu.
 
nitaona ajabu nchi kama marekani kutokufuata katiba kanuni sheria za nchi husika
Ka
nitaona ajabu nchi kama marekani kutokufuata katiba kanuni sheria za nchi husika
Kanuni na sheria za nchi husika zinaeleza wazi utaratibu WA uchaguzi ambao unaanzia kwenye kupiga kura,kuhesabu kura,na kutangaza matokeo ya kura,hakuna kipengele cha kufuta Uchaguzi baada ya kuhesabu kura ilhali process zilizotangulia zilienda kwa uwazi na haki,hivyo basis uchaguzi WA Zanzibar pamoja na procedures zake ulikuwa halali,na hill hata were unalijua,kitu pekee cha haramu kilikuwa no kitendo cha jecha kutangaza kufuta so matokeo tu,Bali uchaguzi mzima,na hicho ndicho kinachowashangaza wafadhili wenu,na hili li jingalao linaropoka eti hatuhitaji msaada,wakati ni viongozi wake ndiyo waliyoifungia hii nchi kwenye utegemezi,wachina wakitupa misaada yenye maslahi kwao munafurahi na kudai hao ni ndugu zenu,mmarekani akiwanyima tonge kwa upuuzi wenu wenyewe munaanza kuongea mbofu mbofu eti nyoo hatuitaji misaada,,kumbaf sana
 
Mikataba inaweza kufilia mbali asikudanganye mtu.Uchukulie umenunua nyumba kijijini una hati zote.Halafu ukaanza kutukana wanakijiji kuwa uongozi wao haufai halafu kila siku wanakijiji wanakujia na mapanga na marungu kwamba funga virago uondoke.Utaondoka tu

Na ndivyo sultani wa Zanzibar alivyoondoka alikuwa na mikataba yote ya kisheria ya kutawala Zanzibar siku ya siku wakamwibukia alitimka mbio mikataba hata uulize iko wapi hajui.Alivyotembezewa kipigo na mikataba yake

Mkataba ukisaini wa kibiashara unasimamiwa na mahusiano mema.Si kwamba maadamu unao unafikiri waweza tu lindwa na mkataba tu lazima uchunge usijiingize kwenye mambo yanayoweza athiri biashara zako.
 
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hatuwezi kuishi kwa misaada pekee ....na inatakiwa kuulinda uhuru wetu kiukweli!!
Sina hakika kama unaelewa unachokiongea mkuu; ukiwekewa vikwazo vya kiuchumi, misaada ni sehemu ndogo sana ya vikwazo hivyo, nchi kama Irani na Iraq enzi ya Sadam Hussein sidhani kama zimewahi kuishi kwa misaasa, wanacho kifanya hawa jamaa kama kwa mfano wakiamua kukuwekea vikwazo kwanza hawafanyi biashara na wewe, wanawaambia raia au makampuni yanayofanya biashara na sisi kuondoa biashara zao nchini na ikumbukwe USA ni kama ndio kilanja wa Ulaya, akisema hafanyi biashara na wewe mataifa mengi (sio yote) ya Ulaya nayo yata copy na ku paste, kwa nchi kama Tanzania wakifanya hivyo kwa siku walau 20 tu nakuhakikishia tunashika ADABU na kurudia kile wanachotaka, nadhani ungeyaona makosa yanayofanywa na ccm kuhusu Zanzibar kwanza ndipo useme ulichokisema hapo
 
Mikataba inaweza kufilia mbali asikudanganye mtu.Uchukulie umenunua nyumba kijijini una hati zote.Halafu ukaanza kutukana wanakijiji kuwa uongozi wao haufai halafu kila siku wanakijiji wanakujia na mapanga na marungu kwamba funga virago uondoke.Utaondoka tu

Na ndivyo sultani wa Zanzibar alivyoondoka alikuwa na mikataba yote ya kisheria ya kutawala Zanzibar siku ya siku wakamwibukia alitimka mbio mikataba hata uulize iko wapi hajui.Alivyotembezewa kipigo na mikataba yake

Mkataba ukisaini wa kibiashara unasimamiwa na mahusiano mema.Si kwamba maadamu unao unafikiri waweza tu lindwa na mkataba tu lazima uchunge usijiingize kwenye mambo yanayoweza athiri biashara zako.

Maneno mengi hivi kumbe unabahatisha hata sheria za mikataba huzijui!! Btw, umenichekesha sana kwenye mfano wako kuhusu hati ya ardhi kijijini.. inaonekana hata sheria za ardhi na tamisemi pia zimekupiga.

Ni rahisi kuandika hayo unayoyaandika kama una margin ndogo ya unayoyajua kuhusu kinachoendelea. Kwa kuanzia tu, utuambie kama wewe ni mmoja wa exception ya confidentiality ya mikataba inayoingiwa. Kama sivyo nyamaza tu mkuu.

KMK Balozi Sefue hawezi kusema kirahisi hayo unayoandika, refer statement aliyoitoa baada ya tishio la kunyimwa MCC na ujiulize kwanini?
 
nitaona ajabu nchi kama marekani kutokufuata katiba kanuni sheria za nchi husika
Ka
nitaona ajabu nchi kama marekani kutokufuata katiba kanuni sheria za nchi husika
Kanuni na sheria za nchi husika zinaeleza wazi utaratibu WA uchaguzi ambao unaanzia kwenye kupiga kura,kuhesabu kura,na kutangaza matokeo ya kura,hakuna kipengele cha kufuta Uchaguzi baada ya kuhesabu kura ilhali process zilizotangulia zilienda kwa uwazi na haki,hivyo basis uchaguzi WA Zanzibar pamoja na procedures zake ulikuwa halali,na hill hata were unalijua,kitu pekee cha haramu kilikuwa no kitendo cha jecha kutangaza kufuta so matokeo tu,Bali uchaguzi mzima,na hicho ndicho kinachowashangaza wafadhili wenu,na hili li jingalao linaropoka eti hatuhitaji msaada,wakati ni viongozi wake ndiyo waliyoifungia hii nchi kwenye utegemezi,wachina wakitupa misaada yenye maslahi kwao munafurahi na kudai hao ni ndugu zenu,mmarekani akiwanyima tonge kwa upuuzi wenu wenyewe munaanza kuongea mbofu mbofu eti nyoo hatuitaji misaada,,kumbaf s
Kenya ilipigwa vikwazo na kuzuiwa kukopa kwa zaidi ya miaka 25 Kilichofanyika Kenya walijenga uwezo wao wa kujitegemea sasa hivi asilimia 99 ya bajeti hawategemei msaada wa mtu.Vikwazo vinasaidia kujenga nationalism tutarudi kwenye siasa ya ujamaa ndilo suluhisho pekee la kupambana na ubeberu wa kimataifa.Iko haja Tanzania kurudi kwenye ujamaa tuachane na ubepari njia zote kuu za uchumi zimilikiwe na serikali.

Sera hizo za vikwazo kwa Africa zitawawakia wenyewe wanaoweka.Tutahamia moja kwa moja kwa wachina wasiopenda upuuzi wa kushirikisha mambo ya siasa kwenye mambo ya uchumi.Muda si mrefu nchi za magharibi zitatolewa mkuku Afrika na itashikwa na wachina wakiendekeza upuuzi wao wa vikwazo kwenye mambo mengi ya ndani ya nchi
Baadaye wachina nao wakichoka na upuuzi wenu wa kutumia pesa za walipa kodi wao kwa kuwakandamizia wananchi wenu badala ya kuwaendeleza nao watawanyima msaada,halafu tutakuita utuimbie chorus hii hii,maana unaiwezea kweli.
 
Sina hakika kama unaelewa unachokiongea mkuu; ukiwekewa vikwazo vya kiuchumi, misaada ni sehemu ndogo sana ya vikwazo hivyo, nchi kama Irani na Iraq enzi ya Sadam Hussein sidhani kama zimewahi kuishi kwa misaasa, wanacho kifanya hawa jamaa kama kwa mfano wakiamua kukuwekea vikwazo kwanza hawafanyi biashara na wewe, wanawaambia raia au makampuni yanayofanya biashara na sisi kuondoa biashara zao nchini na ikumbukwe USA ni kama ndio kilanja wa Ulaya, akisema hafanyi biashara na wewe mataifa mengi (sio yote) ya Ulaya nayo yata copy na ku paste, kwa nchi kama Tanzania wakifanya hivyo kwa siku walau 20 tu nakuhakikishia tunashika ADABU na kurudia kile wanachotaka, nadhani ungeyaona makosa yanayofanywa na ccm kuhusu Zanzibar kwanza ndipo useme ulichokisema hapo
Unafanya biashara gani ya maana na Ulaya?
Inakuingizia pato lipi significant?
Utaishi kwa utegemezi hadi lini?
 
Jidanganye labda ungesema wangechukuwa ukawa badala ya ccm chama mama africa. Lakini ndani ya ccm tanzania amna na haitatoke nchi yeyote ya magharibi kuipa vikwazo tanzania ya ccm. Hizo unazo sema ni propaganda za ukawa wana siasa wasaka tonge
 
Ha
REA ni katika miradi ambayo weananchi wamepandikiziwa vijjijini.Vijiji vingi wala havihitaji umeme na havina umeme.Vingi nyaya za umeme zinapita mbele ya nyumba zao wala hakuna anayehitaji.Mahitaji ya wananchi wala si umeme wanachohitaji ni masoko ya uhakika ya mazao yao.Hiyo REA hata waifute kesho hakuna atakayeingia barabarani kulalamika.
Hahahaaaaaa. Sizitaki mbichi hizi
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya
Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Waache waendelee kufanya hivyo kwani haitakuwa mara ya kwanza. Walimfanyia JKN katika kipindi cha ukombozi kusini kwa bahati mbaya kipindi kile US alikuwa ndiye Master wa dunia. Lakini huu wakati wa JPM kuna alternative ya kuangalia mashariki tena huko kuna unafuu mkubwa Zaidi.
 
Acha u
Enyi kizazi cha nyoka, mnaopenda misaada na hisani za wafadhili yawapasa mbadilike.

Kama taifa, tusiruhusu kuvurugwa na watu kutoka nje.
Acha akili za u dudu waliovuruga ni ccm kwa msaada WA jecha,hakuna MTU WA nje mwenye muda WA kuivuruga znz, ni nyie wenyewe na ubongomavi wenu
 
Tena vikwazo vimechelewa sana tangu kumalizika uchaguzi.
Dawa ya hawa wakoloni weusi ni ICC tu. Aning'inizwe Dr.Shein kwa kubaka demokrasia
 
Marekani siyo baba yetu wala mama yetu.
vikwazo waviweke tu,tushawazoea wazee wa vikwazo.
MAREKANI NI JIPU LA DUNIA.
 
Nenda kasome uone! Toka vikwazo vianze Marekani ame Freeze mabilioni ya fedha za Iran! Katika mabenki ya Dunia. Baada ya kuachia vikwazo Iran kapata pesa kununulia Airbus.Maelezo; Biashara za dunia ufanyika kwa mikopo, yaani kama hivi,Irani anapeleka mafuta uhoranzi alaf meli za kubebea mafuta ni za Marekani, au ni za Uingereza lakini kampuni inayoifadhi mafuta inatokea Marekani au Canada!. Kwa hiyo Iran anasupply tu lakin anategemea kulipwa na mabenki ya Marekani au Washirika wa Marekani! Vikwazo vikija pesa zinabaki benk(freezed), kwa hiyo kama Ilikua unauza mataifa 80 pesa zinakua zimebaki na uuzi tena. Ukifanya biashara na taifa lolote duniani vikwazo vyovyote vinafanya pesa isiwe katika mzunguko kwahiyo makampuni yanakimbia, upati pesa za kigeni na ununui vifaa kuendeleza viwanda vyako! Ogopa vikwazo sana.
 
JPM anaona njia rais ya kulazimisha watanzania wajitegeme ni kujitenga kiana na mabeberu....! kwa mbali naiona "Tanzania katika North Korea making". Kama tukielekea huko niko tayari.
 
mnaodharau bado shule inawasumbuaa.

Iran iliwekewa vikwazo pamoja na kwamba ni taifa kubwa lkn nchi ilitikisika kiuchumi, sasa sisi sijui kipi kinatupa kiburi.
wewe unafaidika na nini maana si mnasema hakuna maendeleo tangu miaka 50 kwahiyo ni saafi tu kama unaona misaada huwa inatusaidia sisi walalahoi ni bora tuwekewe vikwazo tu maana hatuoni kinachotusaidia. uelewe Zimbabwe imewekewa vikwazo miaka 20 na Mugabe anapeta sababu na nyie mnaojiita mnajua uchumi lakini hamjui kama wanaoumia mara nyingi siyo watu waliokuwapo madarakani. hapo kutakua hakuna UKAWA wala CUF wala CCM wote tutalia pamoja lakini Magu na Seif watapeta kama Mugabe
 
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hatuwezi kuishi kwa misaada pekee ....na inatakiwa kuulinda uhuru wetu kiukweli!!
kulinda uhuru kwa kunkataa maamuzi ya wananchi?
irani walikuwa na kiburi wamesarenda sembuse tanzania
 
Back
Top Bottom