Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,950
- 8,919
hata kamaSiyo kwa Tz na Africa.
Mzungu bado anatutawala sana kuliko unavyofikiri
lkn kama NIGGERS walijitoa kimasomaso kujitoa utumwani mikononi mwao enzi hizo katika nchi yao sembuse sisi zama hizi tatzo kubwa waafrca tuna uroho wa madaraka na ndo mwanya anaoutumia mzungu kututawala yeye atajifanya yupo upande wa mnyonge kukusaidia kumbe anapenyeza yake(kama sasa znz)
kama mababu zetu waliziazisha njia za kumtoa mkoloni afrca kwann sisi tusiendeleze hizo mbio kwa kufanya ubaki uhusiano wa kibiashara tu wenye masilah kwa pande zote mbili kutokana na mkataba unavyoeleza kuliko kukaa kutegemea hao jamaa mfano nchi nyingu tungekaza uzi kuwa ka mugabe wangenyooka tu coz AFRICA ka kisima cha shamba rukaruka lkn lazima uje tu kisiimani
pumbavu zao WHITEFORKS