Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Siyo kwa Tz na Africa.
Mzungu bado anatutawala sana kuliko unavyofikiri
hata kama
lkn kama NIGGERS walijitoa kimasomaso kujitoa utumwani mikononi mwao enzi hizo katika nchi yao sembuse sisi zama hizi tatzo kubwa waafrca tuna uroho wa madaraka na ndo mwanya anaoutumia mzungu kututawala yeye atajifanya yupo upande wa mnyonge kukusaidia kumbe anapenyeza yake(kama sasa znz)
kama mababu zetu waliziazisha njia za kumtoa mkoloni afrca kwann sisi tusiendeleze hizo mbio kwa kufanya ubaki uhusiano wa kibiashara tu wenye masilah kwa pande zote mbili kutokana na mkataba unavyoeleza kuliko kukaa kutegemea hao jamaa mfano nchi nyingu tungekaza uzi kuwa ka mugabe wangenyooka tu coz AFRICA ka kisima cha shamba rukaruka lkn lazima uje tu kisiimani
pumbavu zao WHITEFORKS
 
mkuu huwezi ifananisha Korea kaskazini na TZ, korea asilimia kubwa ya bidhaa zao wanazalisha wenyewee, ni vitu vichache sana wanaagiza toka nje.

Sisi chakula chenyewe tunacholima hakitoshi kutulisha wote.

Dola ikianza kupaa kwa hivi vikwazo ndipo utajua uchumi wa dunia umeshikiliwa na mataifa makubwaa
pitia post vizuri mkuu najua fika siwezi linganisha nayo 7bu yenyewe inajitegemea zaidi kwa soko la ndani nimejalibu kuelezea tu ni vipi tukiamua tunaweza
 
hata kama
lkn kama NIGGERS walijitoa kimasomaso kujitoa utumwani mikononi mwao enzi hizo katika nchi yao sembuse sisi zama hizi tatzo kubwa waafrca tuna uroho wa madaraka na ndo mwanya anaoutumia mzungu kututawala yeye atajifanya yupo upande wa mnyonge kukusaidia kumbe anapenyeza yake(kama sasa znz)
kama mababu zetu waliziazisha njia za kumtoa mkoloni afrca kwann sisi tusiendeleze hizo mbio kwa kufanya ubaki uhusiano wa kibiashara tu wenye masilah kwa pande zote mbili kutokana na mkataba unavyoeleza kuliko kukaa kutegemea hao jamaa mfano nchi nyingu tungekaza uzi kuwa ka mugabe wangenyooka tu coz AFRICA ka kisima cha shamba rukaruka lkn lazima uje tu kisiimani
pumbavu zao WHITEFORKS
Endeleeni kujitoa ufahau tu, katka dunia hii ya utandawazi hakuna namna ukajitenga na mataifa mengine. Tanzania ni miongoni mwa nchi za kipumbavu tu chini ya utawala wa ccm hapa duniani.
 
pitia post vizuri mkuu najua fika siwezi linganisha nayo 7bu yenyewe inajitegemea zaidi kwa soko la ndani nimejalibu kuelezea tu ni vipi tukiamua tunaweza
Unataka yatukumbe km ya Zimbabwee?
Sawa tunaweza kupuuza kama Mugabe lkn kumbuka gharama zake ni kubwa kuliko unavyofikiri.

Leo zimbabwe fedha yao imekufa, wanatumia US dollar kuendesha uchumi wao.

Upo tayari kwa haya yotee??

Dunia ya sasa imeshikiliwa na Mataifa makubwa, hatuna jinsi kukubali kwamba wapo juu zaidi yetu, vinginevyoo ya Zimbabwee yatatukutaa
 
Unajua viongozi wa Afrika huwa wajinga, Iran inafurahia hivi sasa baada ya sanctions kuwa lifted.....
Sisi hata matchstick twaagiza sasa itakuwaje wakipiga sanction
 
pitia post vizuri mkuu najua fika siwezi linganisha nayo 7bu yenyewe inajitegemea zaidi kwa soko la ndani nimejalibu kuelezea tu ni vipi tukiamua tunaweza
Je tumeshaamua?
Rwanda tu yenyewe bado inategemea misaada na wao wameshaamua.
Serikali ya Magu imewasilisha mpango kupitia Dr. Mpango. Umeona sakata lake?, Mpango wa mwaka mmoja wa mwelekeo wa maendeleo tegemezi.

Mjamaa-msoshalisti Nyerere alishindwa, unategemea hawa wa kubahatisha bahatisha wataweza?

Tusubiri kulima kwa meno tu.
 
kwan bila marekani tutakufa njaa
japo siafik ubakaji wa demokrasia uko ZNZ lkn shobo za kuwashobokea WHITE FORKS sizipendi kinoma mbna KOREAKASKAZINI wameweza bila marekani japo wakati wanaanza kukaza uzi walibezwa sana najua HATUWEZI KUJIFANANISHA NA KOREA KASKAZINI ila zama za sasa tujitengenezee mazingila ya kujitegemea wenyewe muda ndo huu wa kujenga nchi yetu TANZANIA afrca kwa ujumla tufufuke tuache uchu wa MADALAKA wangapi wababe walikuwapo leo awapo duniani
koba
MOBUTU SESESEKO JONAS SAVIMBI SANKARA wako wapi wamefukiwa na Bado maisha yanaendelea dunia tunapita tu
...ungejua asilimia zaidi ya thelathini ya bajeti yetu tunamtegemea mzungu,ungetulia tuli!
 
Endeleeni kujitoa ufahau tu, katka dunia hii ya utandawazi hakuna namna ukajitenga na mataifa mengine. Tanzania ni miongoni mwa nchi za kipumbavu tu chini ya utawala wa ccm hapa duniani.
siyo hvyo tumechoka na udhalimu wa Wa UDKTETA wa CCM
nitaendelea kupigania mabadiko ya chama mwanzo mwisho ipo siku tutaiondoa CCM tu hta kama si mimi nitalisisha kizazi changu kuwa CCM ni ileile
CHANGE WE CAN BELIEV IN
 
kwan bila marekani tutakufa njaa
japo siafik ubakaji wa demokrasia uko ZNZ lkn shobo za kuwashobokea WHITE FORKS sizipendi kinoma mbna KOREAKASKAZINI wameweza bila marekani japo wakati wanaanza kukaza uzi walibezwa sana najua HATUWEZI KUJIFANANISHA NA KOREA KASKAZINI ila zama za sasa tujitengenezee mazingila ya kujitegemea wenyewe muda ndo huu wa kujenga nchi yetu TANZANIA afrca kwa ujumla tufufuke tuache uchu wa MADALAKA wangapi wababe walikuwapo leo awapo duniani
koba
MOBUTU SESESEKO JONAS SAVIMBI SANKARA wako wapi wamefukiwa na Bado maisha yanaendelea dunia tunapita tu
White Forks ndio nini?
Korea Kaskazini walisaidiwa chakula na Marekani na ndio nchi maskini kuliko zote ukanda wake.
Umeme wa REA kwa kiasi kikubwa ni msaada wa Marekani
Tuache umasikini jeuri
 
Unataka yatukumbe km ya Zimbabwee?
Sawa tunaweza kupuuza kama Mugabe lkn kumbuka gharama zake ni kubwa kuliko unavyofikiri.

Leo zimbabwe fedha yao imekufa, wanatumia US dollar kuendesha uchumi wao.

Upo tayari kwa haya yotee??

Dunia ya sasa imeshikiliwa na Mataifa makubwa, hatuna jinsi kukubali kwamba wapo juu zaidi yetu, vinginevyoo ya Zimbabwee yatatukutaa
sometime lazima ukubali kunyanyasika kudhalauliwa hadi kuumia kutetea haki yako watu zako nchi yako mimi ni mtanzania najivunia kuwa mtanzania so nipo tayali kwa lolote kwa 7bu ya tanzania kwanza udini ukabila na matabaka ya elimu baadea
tukiwenza kuunganisha tanzania moja ilo linawezekana hata NYERERE hakuwa peke yake ila waliunda umoja na kumpa ULEEDAR yeye aiunganishe tanganyika moja ambayo baade ndo hii tanzania
angalia SOMARIA kinachowamaliza ni UKABILA ingawa wamepandikizwa chuki ya kidini lkn ilitakiwa kuwa moja ya mataifa yalioendelea sana hapa AFRCA
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Mwal Nyerere enzi zake alitamani hiki kisiwa cha Zanzibar angekuwa na uwezo kukisukumizia mbali na Tanganyika bahati mbaya hakuwa MUNGU,acha MUNGU aitwe Mungu.ACHA VIKWAZO VIJE TU,NI matatizo ya kujitakia ni gharama za ubabe wa JECHA na SHEIN.Kwani ni lazima Shein atawale Zanzibar ?
 
kwan bila marekani tutakufa njaa
japo siafik ubakaji wa demokrasia uko ZNZ lkn shobo za kuwashobokea WHITE FORKS sizipendi kinoma mbna KOREAKASKAZINI wameweza bila marekani japo wakati wanaanza kukaza uzi walibezwa sana najua HATUWEZI KUJIFANANISHA NA KOREA KASKAZINI ila zama za sasa tujitengenezee mazingila ya kujitegemea wenyewe muda ndo huu wa kujenga nchi yetu TANZANIA afrca kwa ujumla tufufuke tuache uchu wa MADALAKA wangapi wababe walikuwapo leo awapo duniani
koba
MOBUTU SESESEKO JONAS SAVIMBI SANKARA wako wapi wamefukiwa na Bado maisha yanaendelea dunia tunapita tu
Nchi ambayo tunanunuliwa hata dawa ya Mseto na Marekani tuna ubavu wa kubishana na hawa wakubwa? Yaani hadi matangazo ya afya ni kwa hisani yao,leo tunasema eti tunaweza kujitegemea? Masikhara tuache!
Wakati tukiwa tunajipanga kujitegemea, lkn ukweli tuache kuwabeza wakubwa hawa. Tunawahitaji sana. Gari nyingi za wagonjwa katika halmashauri nyingi ni pesa zao.
Miradi mingi ya maendeleo ni pesa zao. Hawa jamaa wanatusaidia hadi pesa za sisi kufanya uchaguzi!
Tumefanya huo tunaouita uchaguzi, tume mama imesema ulikuwa uchaguzi safi, watazamaji wa ndani na nje wamesema ulikuwa na mafanikio kwa kiwango kikubwa! Leo wajinga wachache wanasema tumeufuta! Yaani tutupe pesa zingine kijinga tu! Mnadhani pesa zao haziwaumi?? Huku ndo kubana matumizi??
Watumbua majipu wetu si wamepigiwa kura huko na wakazichukua kuwapa ushindi?? Huo uharamu wa uchaguzi unatoka wapi?
Naamini hata shetani sio mnafiki wa kiwango hiki!
 
Back
Top Bottom