Umesahau nyimbo na kibwagizo cha ssm? "Wataisoma namba". Mlifikiri wanatania?Unajua viongozi wa Afrika huwa wajinga, Iran inafurahia hivi sasa baada ya sanctions kuwa lifted.....
Sisi hata matchstick twaagiza sasa itakuwaje wakipiga sanction
bdo anasema "Tupo tayari" kwa kuwekewa vikwazo. Vitasaidia katika kutumbua majipu na kuleta "maisha bora".
Tanzania bila maendeleo inawezekana.