Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Kama ni misaada tushapewa sana nchi ndio kwanza inazidi kuwa maskini. Nchi haina maji umeme dawa watoto wetu wanakaa chini mashuleni hio misaada inatusaidia nini ? Wamerakani washaweka wazi wala hawafichi nia yao ni kuhakikisha makampuni yao yanatawala sector ya energy Africa. Nenda website ya MCC yote yameandikwa. Kina Kagame wanaua watu Congo na misaada bado wanapewa ndio sembuse sisi ? CUF chama cha kidini nia yao ni kuvunja muungano watuletee mambo ya Libya. Hawana sera za Maendeleo kazi kulaumu Muungano
au sio
 
Kama ni misaada tushapewa sana nchi ndio kwanza inazidi kuwa maskini. Nchi haina maji umeme dawa watoto wetu wanakaa chini mashuleni hio misaada inatusaidia nini ? Wamerakani washaweka wazi wala hawafichi nia yao ni kuhakikisha makampuni yao yanatawala sector ya energy Africa. Nenda website ya MCC yote yameandikwa. Kina Kagame wanaua watu Congo na misaada bado wanapewa ndio sembuse sisi ? CUF chama cha kidini nia yao ni kuvunja muungano watuletee mambo ya Libya. Hawana sera za Maendeleo kazi kulaumu Muungano
Soma hii Link Home

Ona hii Link Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

Soma hii Link Msimamo wa wana CCM juu ya MCC ni dharau na udanganyifu kwa walipa kodi

Kama hujafahamu bado, pitia uzi huu link Tamko la Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu uamuzi wa MCC kusitisha mahusiano na Tanzania

CCM vs MCC

CUF wamekufanya nini Kazimoto?
Peleka malalamiko yako kwa msajili wa vyama.
 
Nasemaje, wafute tu misaada yote, tutafute kwa jasho letu... watu wanaitumia hiyo misaada vibaya sana... Kuna project nyingi sana chini ya USAID zinazotakiwa zilipe wafanyakazi mishahara mikubwa sana... lakini unakuja kupewa punje punje tu zote wanachukua hao wanaaojita wakubwa...
Mkuu USAID Na ya EU yote Haya wanaajiri wataalam wao kutoka makwao.kwa Mfano msaada wa $10M wenyewe wanachukua US$8M
Na zilizo bakia ndio WaTanzania wanalipwa.Mwaka jana 2015 USAID
Kitengo cha afya walipunguza bajeti Yao kutoka US$70M mpaka US$20M
Lakini wataalam wao walibakia Na WaTanzania wengi walikosa ajira.
Kwa hiyo misaada mingi inawasaidia Watu wao walio tuwa hiyo misaada.
 
Kuna watu wanakuwaga kama hawana vichwa vyao. Mlipokea kwa sababu gani kama hatuhitaji misaada?Hata kama ungekuwa wewe unatoa utampa mtu aliyekiuka mapatano yenu kwa makusudi. Je kuna haki Znz imetendeka?tuacheni ulimbukeni kwa nini mseme baada ya kunyumwa
 
Soma hii Link Home

Ona hii Link Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

Soma hii Link Msimamo wa wana CCM juu ya MCC ni dharau na udanganyifu kwa walipa kodi

Kama hujafahamu bado, pitia uzi huu link Tamko la Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu uamuzi wa MCC kusitisha mahusiano na Tanzania

CCM vs MCC

CUF wamekufanya nini Kazimoto?
Peleka malalamiko yako kwa msajili wa vyama.
Mkuu CUF chama cha dini gani?
Nakama udini basi.
Chadema nacho ni chama cha dini.
 
Mkuu CUF chama cha dini gani?
Nakama udini basi.
Chadema nacho ni chama cha dini.
Chadema kuna ukabila CUF kuna udini. Mikutano ya CUF ipo youtube sera zao ni sisi ni Wazanzibari hatutaki Muungano, watu wa bara makafiri hatuwataki. Udini mtupu na viongozi wao wanajua sana kuwalisha huo ujinga wakati nao wanakula na CCM
 
Tatizo uwa sichanganyi siasa na matukio,kwanza angalia nilipost lini hilo bandiko langu.
Suala la uchaguzi wa Zanzibar kila mtu anajua na hata Mzee Maaalim Seifu Sharifu anajua ya
kuwa ilikuwa vigumu sana kwa wao kuwaondoa madarakani wanamapinduzi kupitia box la kura.

Wanachokifanya Waamerika ni kuudanganya tu ulimwengu kwamba na wao wana sauti juu ya kile
kinachoitwa demokrasia,lakini ukweli ni kuwa hakuna demokrasia katika nchi zilizopata uhuru wake
kupitia mapinduzi.

Sio lazima tukubali misaada ya kutugawa na kuingiza demokrasia ambayo kwa miaka zaidi ya 20
imezidi kutuletea shida na kutujengea chuki baina yetu.

Ukoloni mamboleo isiwe tatizo la kuwanyenyekea mabepari,kwani sio lazima kuishi kibepari wakati
mwingine hata kuishi kijima ni sawa tu ili mradi utu na heshima yetu tunailinda.

Tatizo mswahili ukimzoesha dezo/misaada kutwa kucha yeye ni kukenua meno nje na kujisahau nini
wajibu wake,na matokeo yake ni kubweteka na hata pale anapopata dezo/misaada hiyo uwasahau
wenye njaa,maskini na wanyonge na kuishia kuifuja.

Misaada kwa nchi za Afrika ni aibu,kamwe tusiishabikie kwani inatushushie heshima na utu wetu.
Wahenga walisema."afadhali kufa umesimama kuliko kuishi kupiga magoti" Tuwe masikini jeuri tu hakuna lingine.
Ukisoma kwa kina maoni ya wana JF wengi ambao wanalilia misaada ni hawa ndugu zetu wa UKAWA.
Sijui matatizo Yao ni nini.
 
Chadema kuna ukabila CUF kuna udini. Mikutano ya CUF ipo youtube sera zao ni sisi ni Wazanzibari hatutaki Muungano, watu wa bara makafiri hatuwataki. Udini mtupu na viongozi wao wanajua sana kuwalisha huo ujinga wakati nao wanakula na CCM
Weka hizo clip (au links) za CUF kama unasema kweli zipo youtube.
CCM vipi?
Link Kichekesho cha siasa za Ugozi Zanzibar

Link2 Chadema, CCM vyalaani mabango ya ubaguzi Z'bar | Latest News, Sports, Business, Entertainment, Features, Columnist | IPPMEDIA
Link3 Mabango ya ubaguzi CCM yazua tafrani
Link4. UVCCM Zanzibar wapingana na tamko la CCM Taifa kuomba radhi kuhusu mabango ya ubaguzi
 
MPUUZI NA MPUMBAVU ATAPUUZA /
IONENI ZIMBABWE,ILISHUPAZA SHINGO.
TUWE FLEXIBLE NA WEREVU WAKATI MWINGINE,MATESO MARA NYINGI HUMWANGUKIA MTU WA CHINI.
 
Wahenga walisema."afadhali kufa umesimama kuliko kuishi kupiga magoti" Tuwe masikini jeuri tu hakuna lingine.
Ukisoma kwa kina maoni ya wana JF wengi ambao wanalilia misaada ni hawa ndugu zetu wa UKAWA.
Sijui matatizo Yao ni nini.
Link Home
 
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hatuwezi kuishi kwa misaada pekee ....na inatakiwa kuulinda uhuru wetu kiukweli!!

Pumbavu. Uhuru gani unaoulinda? Wanaozuia misaada wanataka kukutawala ama wanakulazimisha utawale vizuri watu wako? Ungejiweka mahala pa "Mwangosi" na familia yake, ungejua uchungu wananchi wanaoonewa na mfumo ccm jinsi wanaishi kwa uchungu. Natamani uwe na uwezo wa kuelewa madhara ya utawala usio wa sheria na haki namna uanvyoharibu utu wa watu familia zao na vizazi vyao.

Kama mnajua mnatawala kwa misingi sahihi, nini kimewapa kigugumizi cha kutoa maelezo ya uhuni mlioufanya kuwakamata na kuharibu mifumo ya computa ya kituo cha haki za binadamu? Wasimamizi wa ndani wa uchguzi na wale wa ukawa? Unyang'au huu ndio unausemea kwa kutumia makalio hapa?

Kwa nini huwezi kutoa maelezo ya sheria gani ya nchi au ya zanzibar alilyotumia Jecha kufuta uchaguzi? Kama katiba haikumpa mamlaka hayo, nani alimpa ujasiri huo wa kishtani kuliingizia taifa hasara ya mamilioni ya fedha na kuathiri uzalishaji kwa kiasi hicho kwa sababu ya maslahi ya watu binafsi?

Unaweza kuonyesha hati ya chama ama wakala yeyote, ama mdau yeyote wa chama chchote cha siasa aliyekuwa na malalamiko ya uchaguzi wa October?

Kujitegemea kunakujaga bila strategies? Unajitegemea kwa kunyimwa misaada wakati huna namna ya kuhakikisha familia yako inaishi? Wewe si ni PUMBAVU SANA TU? Au ndiyo elimu ya kata hiyo inawafundisha upumbavu huo na kujidai mnaelimu?

Unajua nani ataumia katika mateso yanayokuja? Sasa wewe uumwe, uende hospital ukose drip ya maji ya dawa halafu uendelee kupiga makofi "ccm yajenga nchi". Uone mkeo anakufa kwa kukosa huduma za kujifungua ndipo ulete ukenge wako hapa. Subiri wimbi la ujambazi liongezeke kwa kukosekana kwa ajira, tena wakuanzie wewe halafu polisi hawana mafuta kwenye gari ya kuja kukusaidia, kesho yake uamkie mtandaoni ukiharisha ushenzi wako hapa.

Address suala lililoka mezani. Ni halali kwa Serikali kunyanyasa raia wake kwa maslahi ya watawala? Wewe unanufanikaje katika hilo? Tumia kichwa kuliko makalio.
 
Watz ni namba 1 kwa unafik dunian, yaan kipind cha uchaguzi utawasikia wakisema maneno mengi ya kuiponda siasa ya nchi yao ilivy mbaya ila saivi wamesha sahau kwani hiyo siasa mbaya waliyokuwa wanailani ndio imesababisha mengi mabaya ambayo saivi wanayapongeza.

Eti saivi tunashangiria kwa pamoja walicho kifanya chama cha rais ete nisahihi kwahivy vikwazo ndio si sahihi, pumbavu zenu, yaani unaumia alafu ukiulizwa na mtu mwengine umeumia unasema sijaumia kwasababu aliye kuumiza ni jamaa yako tena ameshazoea kukuumiza, huu ni ujinga usio na kifani.
km unatak maendeleo bora fanya yako ten peke ako maan ukijarib kumshirikisha mTz umeumia.
 
Hilo gar la kibabe wanalo endesha ccm siku wakikugeuzia wewe kama walivyo geuziwa wengine na wakapiga kelele na ww ukawaona wapumbavu cku likija kwako ndio utajua ccm ni waina gani ila kwasasa waone hivyo unavyo waona.

Chama gani kinacho jiona kinafaa kuongoza miaka yote kama vile binaadam wengine hawafai kuwa viongozi.
 
Kama ni misaada tushapewa sana nchi ndio kwanza inazidi kuwa maskini. Nchi haina maji umeme dawa watoto wetu wanakaa chini mashuleni hio misaada inatusaidia nini ? Wamerakani washaweka wazi wala hawafichi nia yao ni kuhakikisha makampuni yao yanatawala sector ya energy Africa. Nenda website ya MCC yote yameandikwa. Kina Kagame wanaua watu Congo na misaada bado wanapewa ndio sembuse sisi ? CUF chama cha kidini nia yao ni kuvunja muungano watuletee mambo ya Libya. Hawana sera za Maendeleo kazi kulaumu Muungano
Mkuu umakini wenu upo wapi sasa? CUF imesajiliwa kwa miongozo ya sheria za wapi?, kila mwisho wa mwezi CUF hupewa ruzuku na selekali ya chama chako ili iweze kuvunja muungano!!??, mvunja muungano ni nani sasa mfadhili au mfadhiliwa???. Hizi propaganda za kipuuzi mtafute wa kumweleza, anaye fikiria hawezi kukueleweni......
 
Back
Top Bottom