Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Udikteta zama hizi ni hatare!jpm na serikali yake wajitathmin
watu wanachekesha sana kuacha kutegemea michango ya misaada ya mataifa mengine ni ngumu kujenga uchumi imara ndugu zangu tuache ushabiki wa kimhemuko tunaouona wakukusanya mapato ya ndani jambo hili mm ninaliunga mkono % zote ni jema sana ni ishara ya serikali kuwajibika ili kuliletea taifa maendeleo tuyatakayo... tukiwekewa vikwazo vya kiuchumi na mataifa makubwa uchumi wetu utaporomoka mara moja kwa sababu uchumi wa dunia unategemea mataifa makubwa kiuchumi kama USA, UK, RUSSIA, SCANDINAVIAN COUNTRIES, ITALY na mengineyo, mfano mzuri mwaka ule USA ilipokumbwa na economic recession dunia yote ilitetereka hadi pale Raisi Obama alipoamua kupitisha au kupampu pesa nyingi kwenye mzunguko wa fedha nchini marekani ndipo uchumi wa dunia ulianz kuimarika kwa hiyo kusema tutegemee pato la ndani kuishi ni sawa sipingani nalo lakini lazima nguvu ya wakubwa ni muhimu kwa uchumi wetu, kwa sababu hiyo mkwamo wa kisiasa Zanzibar unaweza kuzaa matokea hasi kwa uchumi wetu kama viongozi wa kisiasa wasipokuchukua tahadhari mapema kuzuia hali hii isitokee kwa taifa letu kuwekewa vikwazo vya kiuchumi... tutashindwa kuuza bidhaa zetu kwa mataifa mengine hapo ndipo tutakosa fedha za kigeni zenye kutuwezesha kuwa na uwezo wakununua bidhaa na huduma kutoka kwa wenzetu
 
Marekani siyo wapuuzi kama wengi wetu tunavyodhani. Hawana hoja nzito ya kuiwekea vikwazo tz. Isitoshe, dunia nzima inajua kwamba serikali ya magufuli inakidhi vigezo vingi ambavyo wamakuwa wanakosoa serikali nyingi za kiafrika, na haijatimiza siku 100 toka kuapishwa. Tuna amani, tumeanza kudhibiti matumizi yasiyo na tija na sasa tunaelekeza nguvu zetu kwenye bajeti isiyokuwa tegemezi kwa wafadhili. Tukiendelea na kasi hii, tutashuhudia marekani na marafiki zake wa ulaya wakipigana vikumbo Dar kutuomba tuendelee kushirikiana.

Hoja ya vikwazo inayotetewa humu ni kutoka watu wenye uelewa mdogo ya sababu zinazochochea mataifa ya magharibi kuwekea vikwazo nchi masikini. Mawazo haya ni sawa na ndoto za mchana. Poleni.
 
Kama kweli yalikuwa maamuzi ya wananchi kama mnavyodai sasa ndo wakati wa kuthibitisha hilo kwa kupata kula za kishindo.Marekani acha waweke vikwazo tu watatupenda weneyewe tutajiendesha bila hata misaada wasilete ukoloni hapa mbona ya kwao yanawashinda?watuachia nchi yetu yenye amani.Kwa Zanzibar tushamaliza asiyependa ahame nchi maana wengine nahic sio watanzania mnataka kutuibia
 
Watu wanadai uhuru, mara uhuru wa kweli, bila uchumi imara hakuna tofauti kati ya uhuru na utumwa!
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Wewe furahia tu ukidhani UKAWA mtakuwa mmewakomoa CCM. Sanctions zikija wewe na familia yako mtashikwa pia. Waulize wapenzi wa MDC - Zimbabwe.
 
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hatuwezi kuishi kwa misaada pekee ....na inatakiwa kuulinda uhuru wetu kiukweli!!
Hiv ww unaelewa maana ya economic sanction nchi kubwa kama iran, syria na russia zililia. Unakumbuka kilichotokea zimbabwe mpaka leo pesa yao imekuwa kama toilet paper!
 
Majibu jibu yako yasio na mantiki reveals how u're greymatter is mis-wired!!!!


Mkuu siku hizi hata nchi za Scandinavia zinafuata maelekezo ya Merikani - ndio maana na wao waliwekea URUSI vikwazo vya kiuchumi wanashiriki vile vile kwenye mazoezi ya kivita na NATO wakati wao si wanachama, Japan ndio kabisa ni marafiki wakubwa wa Merikani.
moja ya sababu iliyowafanya Kenya wajitegemee kwenye bajeti yao ni vikwazo vya uchumi walivyowekewa kwa uongozi tulionao naamini vikwazo vitatuamsha kwa sababu tuna kila kitu kinachoweza kufanya tujitegemee
 
Kama kweli yalikuwa maamuzi ya wananchi kama mnavyodai sasa ndo wakati wa kuthibitisha hilo kwa kupata kula za kishindo.Marekani acha waweke vikwazo tu watatupenda weneyewe tutajiendesha bila hata misaada wasilete ukoloni hapa mbona ya kwao yanawashinda?watuachia nchi yetu yenye amani.Kwa Zanzibar tushamaliza asiyependa ahame nchi maana wengine nahic sio watanzania mnataka kutuibia
Jipe matumaini Tanzania jinsi ilivyo haina uwezo kusimama bila hawa jamaa na ukiwekewa vikwazo vya kiuchumi itakuwa zaidi Zimbabwe.
 
Tatizo kubwa LA nchi za kiafrika zimeshikwa sana kiasi cha kuondolewa kujiamini kuwa zinaweza kujitegemea lakini umoja wa bara hili ni tishio kwa wakubwa ndio maana wanaupinga kwa njia yoyote ili usitokee lakini bahati yao nzuri zaidi ni kuwa waafrika hawaamini kama kuna maisha bila wao.....kwa mawazo haya mnayoyatoa hapa,hata tukibaguliwa na kuonekana hatuna maana duniani..tusilalamike
 
Ifikie hatua Afrika tuwe tujitegemee sisi wenyewe sio kutegemea misaada ya hawa manyonyaji na makandamizaji ya uchumi wetu!!
 
Hivi kuumaliza mgogoro ni kuwapa madaraka cuf...?!
Kama ndiyo walioshinda uchaguzi, kwa nini wasipewe?

Sasa kama CCM wanaamini kuwa hakuna kiongozi mwingine nje ya CCM anayeweza kupewa Urais, sasa kuna maana gani kila baada ya miaka 5 watu wanapangishwa kwenye foleni wakiaminishwa kuwa wanatumia haki yao ya kidemokrasia kuchagua viongozi wao?!
 
Hiv ww unaelewa maana ya economic sanction nchi kubwa kama iran, syria na russia zililia. Unakumbuka kilichotokea zimbabwe mpaka leo pesa yao imekuwa kama toilet paper!

Mkuu jamaa hajui maana alisi ya economic sanctions na effects zake kwa nchi za Dunia ya tatu ndio maana badala ya kujibu hoja anakimbilia kutuletea mipasho ya taarabu na kejeli za kitoto - sanctions zikianza ku-bite ndiye atakuwa wa kwanza kuingia mitini!!
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Ni dhahiri suluhu ya Zanzibar ina umuhimu wa kipekee na ina hitajika mapema iweze kanavyo kwa ustawi na amani ya Tanzania na haki ikipewa nafasi yake, ila inapo fikia hali ya kutishwa na mataifa makubwa kwa sababu yoyote ile ina nijia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere alivyo kuwa mahiri wa kukabili vishindo kama hivi na kwa sasa Robert Mugabe.
 
haya maamuzi myatoe kabla haijatokea sintofahamu ya sanctions.
Nchi imemshinda Pombe asubuhi sana.
China kwa sasa ndiyo anatoa pesa nyingi kwa Tanzania na ikitokea na yeye akaminya pesa zake lazima Nchi iataisoma namba.
 
Mfilisi pombe hana shida alisajilimbikizia mali na nyumba za serikali, na sasa hivi anachokifanya ni kumega kidogo kidogo. Chezea mzee wa kulipiza visasi? Tutaisoma no ila hasisahau kuwa soon kisasi kitajibiwa nae ataisoma no. Nae ni fisadi kama wengine kama si fisad aweke wazi mali zake? Ndo maana wizara alokuwa anaisimamia hawezi igusa anajua alichokifanya kule.
 
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hatuwezi kuishi kwa misaada pekee ....na inatakiwa kuulinda uhuru wetu kiukweli!!
Elimu bure yenyewe imewashindeni, bajeti ya jeshi mtaiweza bila misaada.
 
Back
Top Bottom