Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Vikwazo kwa ajili yule hatambui Mahiga kwenda kule kumkaripia. Mahiga tulikuwa New York alikuwa ananiamia Foreign Minister wa Tanzania alikuwa ameitwa Kissinger. Akakataa kwenda. Yeye ni Foreign Minister,kama ana shida na mimi aje kwangu. Anasema wote wakawa wanamuambia,acha utani wewe,yule ni Kissinger amekuita. Sasa tazama Mahiga anaanza kubishana na hawa watu. Hawa mabalozi wameombwa msaadana CUF. Sasa lazima wajishughulishe kuonyesha kwamba wanajali,hata kama hawaamini mantiki ya CUF kulalamika.
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
sasa unachekelea nini hapo wee lofa. kwa nini unafikiri kufanyika uchaguzi upya sio suluhu sahihi? haiingii akilini seif atangazwe rais kwa ushindi wa hackers wa mitandao na ubabe kule pemba. zec ndio itakayotangaza nani rais hakuna muafaka wala miafaka. hao wamarekani tangu lini wana nia safi zaidi ya kutaka kupachika vibaraka wao.
 
Haya wengine tuliyasema kitambo kabisa na bado viongozi wa CCM hawakuelewa!!
 
Kama mtu unasoma maandiko ya dini zote, uislam na ukristo hasa kwenye vitabu vya daniel na ufunuo manabii walivyotabiri, nchi kama marekani sio ya kusujudia hatakidogo.
 
Haya wengine tuliyasema kitambo kabisa na bado viongozi wa CCM hawakuelewa!!
Wewe ni nani taka taka tuu...Hii nchi itasonga hata bila misaada yao..! Nendeni muishi huko marekani sasa na leo mkafanye sherehe
 
Mtoa mada unatia huruma sana, nakuuliza hivi hiyo misaada ikizuiliwa si ndio furaha yenu ili mupate cha kuongea humu.
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
peleka ukawa huu upuuzi. nchi hii sio koloni la wamarekani. mbona tuna misaada mingi tu toka nchi zingine kama china.
 
Hivi nyie chadema kwanini mnashabikia tanzania kuwekewa vikwazo, hivi nyie hamta athirika na hivyo vikwazo?
 
Yaani waache kuifutia misaada Uganda wasiokuwa na Demokrasia, waje kuhangaika na Tz ambayo demokrasia yake ina shida, Nadhan wamekosa cha kufanya

Waache wachina waendelea kujizolea fursa
 
Mambo ndo kwanza yameanza kwani nyie amkumbuki raisi wa mioyo yetu si alituasa tutulie tuli na sisi kwa sababu tunampenda hatukuleta fyokofyoko lazima tuheshimiane kama rwanda ambako hamna wajambazi
 
Faida za kunyimwa hiyo misaada na marecani,

(1)-tutaishi kwa maadili yetu wenyewe ya kiafrica na kujiheshim,

(2)- tutaipukana na masharti yasio kua na maana

(3)-hatuto lazimishwa wala kupelekeshwa kua na ndoa za jinsia moja

(4)-itatipa hamasa na hari ya kuwa wazalendo na kuipigania nchi yetu ili tuepukane na umaskini kama ilivyo kua kwa china na korea

(5)- tutaipukana na utumwa na utwana wa kuwanyenyekea wazungu na kuwaona ni watakatifu

(6) Yapo mambo mengi zaidi ya haya tunayo weza kuepukana nayo

(7) Tukumbuke nchi za uchina,korea,india,bzail. Miaka 50-70 iliopita zilikua ni nchi maskini sana ulimwenguni lkn leo mshikamano wao na uthubutu na kuona kua chochote kinawezekana walishirikiana kwa pamoja na kufanya mabadiliko ya kweli na hadi leo zimekua ni nchi tegemewa,
Leo tukiona huo msaada wa trilion1.8 ndo kila kitu hatuto fika popote tutazidi kua watumwa wa fikra na mawazo.
Hiyo trilion1.8 ni msaada lkn leo kwa muda wa miezi kadha tumekusanyatrilion8.5 kwanini hujiongezi mkuu.???

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kama mtu unasoma maandiko ya dini zote, uislam na ukristo hasa kwenye vitabu vya daniel na ufunuo manabii walivyotabiri, nchi kama marekani sio ya kusujudia hatakidogo.
Nyinyi watu wabaya sana juzi tu hapa mnaisifia USA kwa umahiri wake wenye nguvu za kuisanbaratisha Russia leo mnaikana kwa maono ya Udini tena leo ajabu mnaongea eti kw Vitabu na ufunuo wa Biblia na Quraan bado tokea lini hata leo ikawa ya pili? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa ndio namba mtaisoma mbel kwa kuleeeee[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji109]
 
Kama mtu unasoma maandiko ya dini zote, uislam na ukristo hasa kwenye vitabu vya daniel na ufunuo manabii walivyotabiri, nchi kama marekani sio ya kusujudia hatakidogo.
Nyinyi watu wabaya sana juzi tu hapa mnaisifia USA kwa umahiri wake wenye nguvu za kuisanbaratisha Russia leo mnaikana kwa maono ya Udini tena leo ajabu mnaongea eti kwa Vitabu na ufunuo wa Biblia na Quraan bado tokea lini hata leo ikawa ya pili? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa ndio namba mtaisoma mbel kwa kuleeeee[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji109]
 
peleka ukawa huu upuuzi. nchi hii sio koloni la wamarekani. mbona tuna misaada mingi tu toka nchi zingine kama china.
Ni mtu mbinafsi pekee atapuuzia malalamiko ya andiko la MCC. By the way kumbe misaada bado tunaihitaji?!
Halafu kuna nadharia potofu kuwa kubembeleza hela za MCC ni kukosa uzalendo. Huo ni uongo! Sababu zilizotolewa na MCC wala siyo kuingilia Uhuru wa Nchi, ni mambo ya msingi kwa nchi zilizostaarabika. Ingekua tunashurutishwa kwa mambo ambayo hayaendani na utashi wa Taifa, wote tungeungana kuwapinga. Kwa mfano wangetunyima pesa hizo kwa kigezo kama kukubali ndoa za jinsia moja na mambo mengine ambayo ni nje ya mila, desturi, tamaduni, ustaarab na umoja wa Taifa, tungepinga kwa nguvu zote. Lakini point iliyotolewa ni sahihi kabisa.
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Tanzania sio Libya PUMBAVU ZAO. Shida yao muungano uvunjike watuletee magaidi waanze kutupora kama walivyofanya na mafuta ya Libya
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
https://www.mcc.gov/news-and-events/release/stmt-032816-tanzania-partnership-suspended

Rungu hilo hapo[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji23]
 
Ni mtu mbinafsi pekee atapuuzia malalamiko ya andiko la MCC. By the way kumbe misaada bado tunaihitaji?!
Halafu kuna nadharia potofu kuwa kubembeleza hela za MCC ni kukosa uzalendo. Huo ni uongo! Sababu zilizotolewa na MCC wala siyo kuingilia Uhuru wa Nchi, ni mambo ya msingi kwa nchi zilizostaarabika. Ingekua tunashurutishwa kwa mambo ambayo hayaendani na utashi wa Taifa, wote tungeungana kuwapinga. Kwa mfano wangetunyima pesa hizo kwa kigezo kama kukubali ndoa za jinsia moja na mambo mengine ambayo ni nje ya mila, desturi, tamaduni, ustaarab na umoja wa Taifa, tungepinga kwa nguvu zote. Lakini point iliyotolewa ni sahihi kabisa.
Kwani MCC hawakujua kuhusu Dowans na Richmond ? Au shida ni uchaguzi sio ufisadi ? Mradi wa Symbion walitoa pesa wakati nchi inanuka na Ufisadi. Hatutaki vyama vya dini vyenye agenda ya kutugawanya na kuvunja Muungano wetu. CUF can burn in hell
 
Kwani MCC hawakujua kuhusu Dowans na Richmond ? Au shida ni uchaguzi sio ufisadi ? Mradi wa Symbion walitoa pesa wakati nchi inanuka na Ufisadi. Hatutaki vyama vya dini vyenye agenda ya kutugawanya na kuvunja Muungano wetu. CUF can burn in hell
Chuki chuki kwa hiyo wamarekani hawaijui CUF wala Chadema kwani Cybercrime act imewekwa kwa ajili ya CUF tu au Chadema ni Chama cha Kanisa na yule Makonda alipokwenda kubarikiwa na Pengo hana chama yule si ndio? Fisadi wa akili yako mwenyewe wewe. Unashindwa hata kufikiri
 
Back
Top Bottom