...Ukiwa hujatulia unao wote tuko sawa?
...Wewe na
YEHODAYA ni mtu mmoja? maana hujatulia, unawashwa, unajikuna, hadi kusahau context ya hoja hii.
...Wanaishi kwa taabu. Nami pia!
...Unafahamu REA inachangiwa na kina nani?
...Unafahamu REA ni yetu wenyewe kwa fedha zetu wenyewe?
...We umezoea kuuza uhuru? Inaonekana humfahamu mzaziyo we!
...Tofauti ni kubwa! Unafikiri kwanini vijana wanakimbia huko kwenda Dar kutafuta maisha?
...Kama haujui. Kila siku tunakubali conditions!
...Issue hapa haikuwa kuwekewa hiki au kile! Issue ni REA kama mradi wa maendeleo, ambao wewe a.k.a YEHODAYA umeupondea!
On a side note, ina maana miradi yote hii ya umeme ambayo Serikali inawekeza, inapoteza muda na fedha?