Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

Jeuri hiyo mnayo na huu ufisadi? Miaka zaidi ya hamsini ya Uhuru bado hamjaweza kujitosheleza kwa neti za mbu wa malaria , hata matangazo ya kujikinga na malaria na ukimwi kwenye TV utasikia kwa udhamini wa Marekani, ndiyo mtaweza kujitosheleza kiuchumi kweli,? Kontena zipotee kwa maelfu, mapesa yabebwe kwa magunia benki na leo wahusika wanaingoza bunge ndiyo utegemee kujitosheleza kiuchumi?


Nasemaje... waweke vikwazo tu na kusitisha misaada... tutajua cha kufanya hivi hivi... hatutaendelea kamwe...
 
Kwanza mbona hao Marekani na Uingereza mbona wamechelewa kuweka hiyo sanctions? Ingekuwa mimi kitambooo!!!!! Watanzania tunaongoza kwa ujinga. Zanzibar siyo mali ya CCM, ni ya wazanzibari. Natamani Nyerere afufuke,
 
nitaona ajabu nchi kama marekani kutokufuata katiba kanuni sheria za nchi husika
Kanuni na sheria zipi! Hakuna sheria inayowazuia kuacha kutoa misaada kama masharti ya misaada hiyo hayatimizwi. Vikwazo vya kuichumi utakuwa mbaraka (blessing in disguise); tutaumia sana lakini tutazoea kujitegemea. Hili ni jambo jema!
 
...Usijikunekune unaponijibu. Tulia!

...Ulipo quote majibu yangu kwa YEHODAYA kuhusu REA, ulikuwa unajua context yake, au ulidandia mbele tu? Uliyasoma ukaelewa?

...Mie si mjinga mwenzako! Tujadili mambo kwa hoja, tafadhali.


...Umeme unaleta maendeleo, popote pale unapofika kwa uhakika, bei nafuu na wakutosha. Maendeleo hupunguza shida, na kuboresha maisha.

...Umeme ni kitu cha muhimu katika jamii yeyote duniani. Maendeleo ya viwanda, yataletwa bila umeme? Maendeleo ya kilimo, yatapatikana bila umeme?
Kwa hiyo umeme wa REA ni kwa ajili ya viwanda?

Hebu acha unyumbu na kubabaika kwenye hoja!

Tulia ujibu kinachoeleweka
 
kwa mambo yanayoendelea kwa sasa kwenye nchi yetu binafsi naunga mkono vikwazo hivo. na ikiwezekana hata UN na jumuiya ya ulaya watoe matamko na kutuwekea vikwazo. haki za binadamu zinakiukwa waziwaz na viongozi wetu wanaona sawa tu. kule bungeni wabunge wa upinzani wanadhalilishwa na askari bila aibu. pia tbc kama tv ya umma inazuia raia wasipate fursa ya kuwafuatilia wabunge wetu wanafanya nini huko dodoma. pia zanzibar nkurunzinza shein hataki kuachia madaraka ilhali kabwagwa na wananchi. binafsi naunga mkono vikwazo hata vya kiuchumi.
 
Mi naamini Dkt.Magufuli anaweza kuutatua huu mgogoro tatizo ni chama.
 
kwa mambo yanayoendelea kwa sasa kwenye nchi yetu binafsi naunga mkono vikwazo hivo. na ikiwezekana hata UN na jumuiya ya ulaya watoe matamko na kutuwekea vikwazo. haki za binadamu zinakiukwa waziwaz na viongozi wetu wanaona sawa tu. kule bungeni wabunge wa upinzani wanadhalilishwa na askari bila aibu. pia tbc kama tv ya umma inazuia raia wasipate fursa ya kuwafuatilia wabunge wetu wanafanya nini huko dodoma. pia zanzibar nkurunzinza shein hataki kuachia madaraka ilhali kabwagwa na wananchi. binafsi naunga mkono vikwazo hata vya kiuchumi.

Inauma sana
 
Asiejua madhara ya kunyimwa misaada umuulize Salmin Amour rais wa Zanzibar wa awamu ya tano. kiwewe cha kukosa misaada kilimtumbuwa maradhi na sasa anakufa pole pole kitandani. Magufuli ajifunze kutoka kwake.
Toka 95 mpaka leo kuna wangapi waliotangulia mbele ya haki?
 
mnaodharau bado shule inawasumbuaa.

Iran iliwekewa vikwazo pamoja na kwamba ni taifa kubwa lkn nchi ilitikisika kiuchumi, sasa sisi sijui kipi kinatupa kiburi.
Nashangaa wakati hatuna hata kiwanda cha kuyengeneza visokonyo,Ngoja watusomeshe namba sasa soon tutajikuta tumejazana chato
 
Na waweke tu vikwazo vyao, hata wakitaka wafunge ubalozi wao. Suala la Zanzibar litamalizwa kwa kutumia katiba na sheria za uchaguzi Zanzibar na si wanavyotaka wao. Tanzania ni nchi huru yenye katiba, sheria na kanuni zake. Muda wa kuendeshwa na mataifa ya nje utadhani sisi ni maboya ulishapita kitambo sana.
 
USA baby
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
3e339105bac9f27c53e21e4e90b534bd.png
 
Asiejua madhara ya kunyimwa misaada umuulize Salmin Amour rais wa Zanzibar wa awamu ya tano. kiwewe cha kukosa misaada kilimtumbuwa maradhi na sasa anakufa pole pole kitandani. Magufuli ajifunze kutoka kwake.
Toka 95 mpaka leo kuna wangapi waliotangulia mbele ya haki?hivi hata huyo mgombea wenu umemiona hivi karibuni kiafya compare to 1995?
 
Jeuri hiyo mnayo na huu ufisadi? Miaka zaidi ya hamsini ya Uhuru bado hamjaweza kujitosheleza kwa neti za mbu wa malaria , hata matangazo ya kujikinga na malaria na ukimwi kwenye TV utasikia kwa udhamini wa Marekani, ndiyo mtaweza kujitosheleza kiuchumi kweli,? Kontena zipotee kwa maelfu, mapesa yabebwe kwa magunia benki na leo wahusika wanaingoza bunge ndiyo utegemee kujitosheleza kiuchumi?
Mkuu hivi tangazo la net ya kujikinga na malaria linacost sh ngapi?

Halafu linapotolewa linawafikia wangapi?

Ndio maana huwa nasema tunapewa misaada ya kipuuzi yenye kutaka kuchukua uhuru wetu...amka amka!!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanzania kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa Zanzibar.

Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa Tanzania hali itakayopelekea Tanzania kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia.
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa Tanzania na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanzania kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanzania bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake.
Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa 'mkali' ili kuishinikiza serikali ya Tanzania kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.
Nyani anacheka kuungua kwa msitu. Kumbuka ninyi mnaofurahia na kupiga domo kuwepo vikwazo vya uchumi ninyi mtaathirika pia na vikwazo, kama kuna athari yoyote.
 
hapa tu hatujawekewa vikwazo tunalia petrol bei juu,umeme majanga,mfumuko wa bei,hatuna ajira, miundombinu mibovu. Sio jambo la kuombea hata kidogo,raia watakufa kama kuku wa kideri,achilia mbali ukatili sisi kwa sisi.
 
hapa tu hatujawekewa vikwazo tunalia petrol bei juu,umeme majanga,mfumuko wa bei,hatuna ajira, miundombinu mibovu. Sio jambo la kuombea hata kidogo,raia watakufa kama kuku wa kideri,achilia mbali ukatili sisi kwa sisi.
Na kwa kipindi chote cha misaada hayo unayoyasema yameondoka?
 
Back
Top Bottom