Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 8,102
- 23,690
- Thread starter
- #41
Ukishasema rural inakuwa sio 'sub-urban' tena, hakuna access to high end amenities. Kubali hii lifestyle sio culture ya wachina, ni Kwa matajiri wakubwa sana na wachache wanaoweza kuafford such kinda life in China wakati Marekani ni middle class lifestyle.
Kwanza lazima ujue kuwa population ya China ni kubwa mara 4 ya Marekani
Marekani watu wamesambaa sehemu karibu zote tofauti na China
94% ya population ya China wanaishi Mashariki ya China na ndiko yaliko majiji makubwa ya China. Kwa hiyo kuishi kwenye rent house za maghorofa ni sawa.
Utawezaje kuwa na single family houses za kuaccomodate watu wote hao ambao ni karibu sawa na idadi ya watu wote wa China?
Na kwenye hayo majiji apartments nyingi ziko vizuri na gharama nafuu hii imefanya Wachina wengi wawe home owners.
Lakini unapotoka nje ya majiji hayo makubwa unapata watu wanaishi kwenye single family houses na zinazidi kuongezeka kadiri maeneo ya mbali ya China yanaunganishwa na HSR na highways.
Imekuwa rahisi kwa watu kuishi nje ya majiji kwenye single family houses kwenda kwenye majiji makubwa kufanya kazi na kurudi. Jaribu kugoogle ujionee
Na uzuri kwa wastani Wachina wengi wanaweza kuafford kumiliki nyumba kuliko Wamarekani
Marekani watu wamesambaa sehemu karibu zote tofauti na China
94% ya population ya China wanaishi Mashariki ya China na ndiko yaliko majiji makubwa ya China. Kwa hiyo kuishi kwenye rent house za maghorofa ni sawa.
Utawezaje kuwa na single family houses za kuaccomodate watu wote hao ambao ni karibu sawa na idadi ya watu wote wa China?
Na kwenye hayo majiji apartments nyingi ziko vizuri na gharama nafuu hii imefanya Wachina wengi wawe home owners.
Lakini unapotoka nje ya majiji hayo makubwa unapata watu wanaishi kwenye single family houses na zinazidi kuongezeka kadiri maeneo ya mbali ya China yanaunganishwa na HSR na highways.
Imekuwa rahisi kwa watu kuishi nje ya majiji kwenye single family houses kwenda kwenye majiji makubwa kufanya kazi na kurudi. Jaribu kugoogle ujionee
Na uzuri kwa wastani Wachina wengi wanaweza kuafford kumiliki nyumba kuliko Wamarekani