Marekani imelitungua puto la kichina

Marekani imelitungua puto la kichina

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 China naichukulia sawa na kijana muoga aliyeko kwenye ajira ya mshahara mdogo ila anaogopa kuacha ili ajiajiri.

China ameshikilia soko la electronics za kampuni nyingi sana ulimwenguni hasa kwenye uundaji.

Marekani ni mikwara tu na hizo bosheni za vikwazo ila China anaweza akamkazia vizuri tu.
Mtanganyika analiona hili ila mchina halioni. Unadhani USA ana kitu gani anafanya kinachofanya hili unaloliona ww wachina wasilione?
 
Not too late, according to The United States Department of Defense.

Wanasema, waliingilia (jam) mfumo wake wa mawasiliano siku kadhaa kabla ya utunguaji.
Waneliona muda mrefu ila lilikuwa latembea kwenye makazi ya watu
 
Hilo ndo lengo lao kubwa ndo maana wakalipiga likiwa karibu na bahari na wakwa washaandaa watu kwenda okota mabaki
Unalipua vitu vyote vinaungua. Mchina ameshachukua data na ameshazituma kwenye space Station yake, ambayo hakuna nchi dunia yenye space station kama china.
Vilevile China wapo na quantum communication technology. Sasa wameanza kufanyiajaribio 6G technology.
 
Mtanganyika analiona hili ila mchina halioni. Unadhani USA ana kitu gani anafanya kinachofanya hili unaloliona ww wachina wasilione?
Wachina sheria zao ndio ngumu. ndio maana wanafeli kufanya maamuzi magumu.
 
Ungefuatilia huo utaalamu wa kuunda hizo electronics kautolea wapi, na usishangae kwenye kiwanda ukamkuta top ni mzungu toka US., nikupe hadithi moja

Rafki yangu alipoenda china kufanya masters fulani alipoingia darasani alimkuta mmarekani ndio lecture akashangaa sana hivi china wanakwama wapi ata elimu ya vyuo vikuu wanakodi walimu toka US?

US hawana mkwara jana wameshatungua puto huko ingekuwa china ingekuwa wanakimbizana tu vipi tulipige au tuliache, tukifyatua itakuwaje, US halazi damu
China ni kunguru Mwoga
 
Hawawezi,kwanza ni aibu kwao kukamatwa .Nia yao ilikuwa hilo puto lisionekane kabisa,ndo maana wakaona aibu ikabidi wasingizie kuwa lilikuwa linachukua météorologiques data.
Puto la ukubwa huo 37km juu ndani ya anga la Marekani tena over nuclear facility halafu lisionekane sijui hao wachina waliwaza nini!
 
Vipi kule Taiwan alishindwa nini? ni kwa nini hasa hakutungua ndege ya Pelosi alipotembelea Taiwan ukiambiwa jiambie China anaiopoga US kama unavyoogopa kitu chochote kile
China hapendi zogo, sio kwamba alishindwa kuilipua.
 
Wachina sheria zao ndio ngumu. ndio maana wanafeli kufanya maamuzi magumu.
Mkuu Sheria tu hazitoshi kuwa blind kwenye jambo ambalo ww unaliona wao wasilione.

Mfano ni sheria ipi inayowazuia wasichukue nafasi ya Marekani kwenye soko la dunia?
 
Vipi kule Taiwan alishindwa nini? ni kwa nini hasa hakutungua ndege ya Pelosi alipotembelea Taiwan ukiambiwa jiambie China anaiopoga US kama unavyoogopa kitu chochote kile
Wewe unge tungua ?
 
Back
Top Bottom