EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
Katika wachangiani wote wewe ndio umetoa komenti ya maana sana.Too late. Wachina washasave info. Ila Wachina nao bwana. Wamechemsha, walitakiwa waliset ili lisionekane.
Huwa nafurahia sana kusoma comments za sisi wabongo tunavyoyajua mambo ya US kwa ndani zaidi kuliko hata Pentagon na CIAputo lishajizungukia vya kutosha kwenye anga lenu na kukusanya taarifa zake na kumtumia Mchina ndio mnakuja kulilipua halafu mnajitangaza, bora mngelipua kimya kimya.!
Kumbe Marekani ni wa hovyo hivi? So hata Rais kila kitu anakikuta kimeshapangwa?
Huawei mobile anatumia Harmony OS.. Kuna KylinOS, UOS na nyingine nyingi.Rais wa China ni kiongozi aliye madarakani kwenye mfumo uliojaa udikteta, ndio maana mtu wao wa ndani siku zote akidai demokrasia wanamla risasi on the spot., madhara makubwa na hofu aliyonayo rais wa China kwa US ni technolojia aliyopewa anawaza siku akijaribu ataumizwa vibaya sana yeye na watu wake ndio maana maamuzi ya China dhidi ya US siku zote ni negative
Alipopewa wataalamu na technolojia kutoka US alifurahi sana na kuona anapendwa sasa shida inakuja wakati huu, China mpaka leo wameshindwa hata kuwa na mfumo wao wa technolojia ya simu za mikononi bado wanatumia Android ama iOS ambayo inamilikiwa na US,
Enhe mkuu umejikakamua, emu niambie nani duniani saivi amekuwa convinced kutumia hivyo vijiprogram vya kichina, kwa sababu naona hata rasis wao Xi Jinping anatumia iphone (iOS) pro max 14Huawei mobile anatumia Harmony OS.. Kuna KylinOS, UOS na nyingine nyingi.
Ulishajiuliza ni kwa nini Trump alipiga marufuku wafanyakazi wa ofisi za umma wasitumie Huawei & ZTE? Na majibu kwa upande wa China yalikuwaje?Enhe mkuu umejikakamua, emu niambie nani duniani saivi amekuwa convinced kutumia hivyo vijiprogram vya kichina, kwa sababu naona hata rasis wao Xi Jinping anatumia iphone (iOS) pro max 14
Hivyo viprogram ulivyovitaja wameiba mambo mengi toka kwenye Android na iOS na karibuni walitishiwa kuzimwa wakaomba radhi, Hata russia walipotaka kuwekewa vikwazo vya kutumia iOS waliomba poo sana kuiangukia US wanaomba waachiwe watumie simu za iphones
UK pia, muhindi kawa Waziri Mkuu wao.USA ni nchi ya kipekee sana. Watu kutoka nchi mbalimbali wameshika nafasi kubwa na wanatambulika kama raia wa Marekani.
Unaweza ukamkuta mhindi kutoka india lkn ni mkuu wa polisi jimbo fulani.
Mchina ni muoga wa vita balaa.Kwa kuwa limetunguliwa ni muda sahihi wa China kujibu mapigo kwa kutunguliwa puto lao. Tusubiri Mchina apeleke fighter jets in American airspace.
Wabongo tuna ujuaji mwingi wa maswala ya security ya US kuliko hata CIA wenyewe.Marekani muisikie tu...ukitaka kujua kiwango cha ujinga ndani ya taifa hili pitia thread kama hizi!
Nimepatwa na wasiwasi juu ya uwezo wa teknolojia ya military defence ya USA. Siamini tena kwenye yake wanayotuaminishaga kwamba wao wako zaidi kwenye masuala ya kiulinzi na usalama hasa zile ndege BAT. Puto limekaa siku mbili juu ya mitambo ya nukse za USA. Mmmmmh!Kwa mujibu wa chanzo chetu cha BCC wamarekani walikuwa wakingojea lifike eneo la bahari ili kuepusha madhara wa waliko chini ikibukwe puto hilo lilikuwa juu ya eneo la nuclear plant hivyo mabaki yake (debris) yangeweza kuleta madhara.
USSR View attachment 2506511View attachment 2506512
Haya maandishi ungeyabold mkuu.Mchina na sayansi wapi na wapi?Wawashukuru wazungu kwa kuwafundisha sayansi. China bado sana ,wao wanachojua ni kucopy tu.
Mbona vitu vyao viko wazi ni wewe ma bando lako?Huwa nafurahia sana kusoma comments za sisi wabongo tunavyoyajua mambo ya US kwa ndani zaidi kuliko hata Pentagon na CIA
JaziaNchi gani yenye utu?
Wapi ni salama waende wakaishi?
- Russia inaipiga Ukraine sasa hivi.
- Mwanamke hajafunika kichwa wamemyonga.
- China anataka kuipa Taiwan
- Tanzania, watu walikuwa wanapotea, wengine wanateka na kuawawa na watu wasiojulikana.
- Nchi za kiarabu wadada wa kazi za ndani wanauliwa kila kukicha.
- Sudan, watu wamegawana nchi na ni waislam 100%
- Somalia Alshabab hao
- Nigeria unakutana na boko Haram
Wanakuwekea wazi vile wanavyotaka wewe ujue kwakuwa kwao havina madhara tena.Point yangu ni kuwa mtu anacomment as if anazijua classified Info zote za Security ya US.Mbona vitu vyao viko wazi ni wewe ma bando lako?
Au ulitaka wawe wachawi kama jwtz?
Sijui nikujibu nini!! Yaani kwa mawazo yako sayansi inamaanisha nini kwako?? Labda tuanzie hapo-kuna imani/dhana nyingine zinashangaza sana sana.Mchina na sayansi wapi na wapi?Wawashukuru wazungu kwa kuwafundisha sayansi. China bado sana ,wao wanachojua ni kucopy tu.
Waswahili bwana!! Yaani huna hata habari kwamba karatasi unayo tumia hivi sasa wavumbuzi wake walikiwa ni wachina na sio wazungu, pia kalamu na wino wavumbuzi wake ni wachina haya tuje kwenye highly accurate mathematical calculator au tuseme manual komputa (abacus)walikuwa ni wachina na zinafanya kazi mpaka leo, tukija kwenye uvumbuzi wa gunpowder na solid fuel rockets na mizinga wavumbuzi ni wachina vile vile, utangenezaji nguo including silk kwa kutumia manual looms ni uvumbuzi wa wachina, hapo hatujagusia utengenezaji wa saani za chakula, vikombe sourcers,birika za chai etc.Mchina alivumbua nini?