Ukiona matetesi ya vita Kila mahali ujue wakati umekaribiaNchi gani yenye utu?
Wapi ni salama waende wakaishi?
- Russia inaipiga Ukraine sasa hivi.
- Mwanamke hajafunika kichwa wamemyonga.
- China anataka kuipa Taiwan
- Tanzania, watu walikuwa wanapotea, wengine wanateka na kuawawa na watu wasiojulikana.
- Nchi za kiarabu wadada wa kazi za ndani wanauliwa kila kukicha.
- Sudan, watu wamegawana nchi na ni waislam 100%
- Somalia Alshabab hao
- Nigeria unakutana na boko Haram

