Waswahili bwana!! Yaani huna hata habari kwamba karatasi unayo tumia hivi sasa wavumbuzi wake walikiwa ni wachina na sio wazungu, pia kalamu na wino wavumbuzi wake ni wachina haya tuje kwenye highly accurate mathematical calculator au tuseme manual komputa (abacus)walikuwa ni wachina na zinafanya kazi mpaka leo, tukija kwenye uvumbuzi wa gunpowder na solid fuel rockets na mizinga wavumbuzi ni wachina vile vile, utangenezaji nguo including silk kwa kutumia manual looms ni uvumbuzi wa wachina, hapo hatujagusia utengenezaji wa saani za chakula, vikombe sourcers,birika za chai etc.
Zipo vile vile manual duplicating machine, unatumia karatasi special na pen una andika alphanumerical charaters zako pamoja na diagrams inclunding graphs and what have you baadae unaweka master kwenye flat surface unatumia wino na roller unatoa copy hata million moja ukitaka. WALIO VIMBUA matumizi ya simaku ni Wachina walizumia kuunda compass kwa ajili ya kuongozea vyombo/Meli kuonyesha mwelekekeo kwenye vyombo vya baharini walikuwa - Haya tuje tuzungumzie masuala ya foundries za ku-forge metal na alloys ukweli ni kwamba mapioneers walikuwa ni Wachina.
Mwisho nataka kuwakumbishe kwa mara nyingine tena kwamba wanadamu wenye IQ kubwa Duniani majority ni wenye asili ya Orientals yaani: Wachina/Wajapan/Wakorea - Wachina walirudishwa nyuma kimaendeleo na kuibiwa uvumbuzi wao na mabeberu walio kuwa wanawavamia mara kwa mara kwa kuendekeza masuala ya vita vita na kuwafsnya Wachina wenyewe kwa wenyewe kuanza kupigana vita wakichonganishwa na mabeberu hao hao ksma mnavyo ona vita Vya Ukraine ni kama ndugu tu lakini wanapigani kwa maslshi ya mabeberu. Ni watu wachache wanao jua kwamba Uchina hapo zamani Uchina ilikiwa imepiga hatua kubwa sana katika masiala ya sayansi hata kuliko hao Wazungu mnao- wasujudu masaa yote!!