Kuna kitu kimenishangaza wale wanawake walioenda kuzalia watoto kule marekani ili watoto wawe raia na walio ukana uraia wa Tanzania nchi yetu na kuchukua uraia wa marekani au nchi yeyote , wakiamua kuishi hapa nchini kwetu kwa kufanya biashara au shughuli yeyote ya kipato, na wala sio illegal, Ardhi, upepo, maji, moto, mbao na chuma! Haviko upande wao yaani wao ni kuwandamwa na mibalaa na minuksi ya kila aina lakini wakiamua kukaa huko huko hawana neno, hata wakimilikwisha ardhi ni sawa sawa na zero tu! Na watoto nao wanakuwa vituko kweli kweli! Inatisha!