Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,423
- 998
Naona unaongea kiBongoMovieIts like it was written ......USA will fall the dollar will fall and Russia na China will rise...and then the war then the Jews control the world n bring the Ant-C.
Naona unaongea kiBongoMovieIts like it was written ......USA will fall the dollar will fall and Russia na China will rise...and then the war then the Jews control the world n bring the Ant-C.
Electronically Russia yuko juu kuliko marekani. Na Maswala ya angaSishangai madai ya ''kudukuliwa'' na Russia kwa DNC na Uchaguzi Mkuu kama ni kweli(conclusively) ama la..Nachoshanga ni the so called ''Greatest Nation On Earth''(Kama tunavyoaminishwa/hata kama ni uhalisia) kubaki kuwa crybaby...Hivi ka nchi kama Libya (enzi za Gadafi) wangefanya hivyo(kuhack)...wangekuwa washafanyiwa kitu mbaya siku nyingi...Na hao Russia ''ubavu'' wanaupata wapi kuichokonoa Marekani kwenye sensitive issue kama uchaguzi wa Rais?
Jiwe mwenyewe Ana wachungulia chungulia!!Dalili za kufall kwa US
Mtaifa hasa Asia yanakuja kwa kasi kiuchumi na kijeshi.
Nchi zinazoikoromea marekani zinazidi kuongezeka na marekani anaonekana kuyojiamini tena.
Dola inakosa nguvu
Lakini ukisoma hapo wame andika msambazaji mkubwa kwa marekani na sio kwa dunia mkuu.kwahiyo hapo soko linaweza hama kwa wazalishaji wengine kama vietnam,kongo,Brazili etcWachina wamewambia wasije sema hawaja wapa us onyo!! China atakapo jibu wasiombe poo!!
View attachment 1112455
Yange kuwa yana patikana kwa wingi huko kongo na Brazil ingekuwa sio tatizo tatizo yana patina china kwa wingi kuliko sehemu yoyote Duniani!!!!Lakini ukisoma hapo wame andika msambazaji mkubwa kwa marekani na sio kwa dunia mkuu.kwahiyo hapo soko linaweza hama kwa wazalishaji wengine kama vietnam,kongo,Brazili etc
Ni mtazamo tu mkuu
Kwa hiyo ameanguka?Ndio tena bila shaka na ndio maana uzi huu nikaurudisha hewani mimi mwenyewe....
Wachina wamewambia wasije sema hawaja wapa us onyo!! China atakapo jibu wasiombe poo!!
View attachment 1112455
Wasemaje kua anaanguka?Bado
Tatizo linakuja wewe ndio mwenye kuzitengeneza mwenzako anakuwa nazo nyingi kupita kiasi anaweza nunuwa chochote chako!! Na kukukopesha hizo hizo USD Dunia kuna mahesabu makali Sana mkuu!!Waliamini katika uzalishaji mali na wakadhani wenzao ni wavivu tu...tukianza kuzalisha mali wanatufunga kamba ..sasa Huawei kaanza nao...Ole wao maana zao lao kubwa for export ni USD ..si wanachapisha?Ngoja tuanze kununua Oil kwa Shiling..hali itakuwa TETE.