Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Unabii wa vitabu unasemaje kuhusu America?
Maana hakuna jambo kubwa linatokea duniani bila maneno ya kinabii mfano kustawi na kuanguka kwa Dola ya -Babeli(Iraq)
-Waajemi (Wairan)
-Wayunani(Wagiriki)
-Warumi (Waitaliano)
Wajuzi wa
 
Unabii katika biblia hauonyeshi kama kuna yaifa jingine kubwa litakalo kuja baada ya marekani, kumbuka marekani IPO kwenye unabii, na ndo anaeyemuandalia mazingira Yule mnyama wa pembe ndogo (mwenye chapa ya 666) katika kitabu cha ufunuo na kile cha Danieli. Na baada ya huyo mnyama kukabidhiwa mamlaka kutakuwepo na selikali moja na dini moja duniani ikiongozwa na huyo mnyama wa pembe ndogo, kumbuka huyo mnyama wa pembe ndogo inayoongelewa katika ifunuo na danieli alipata jeraha la mauti kisha likapona na baada ya kupona tunasoma kwamba alipewa mamlaka na mnyama anayetoka katika nchi ambaye ni America. Na mnyama mwenye pembe ndogo bila kumungunya maneno ni papa wa rumi.
 
13b2a12da2198acc06b1491cae5f2595.jpg
hii mada itawakera wale wenzangu na mimi wenye mapenzi yaliyopitiliza kwa taifa la marekani! Lakini ukweli mchungu ni kwamba AMERICA WILL NEVER BE GREAT AGAIN...! what a painful truth!
Akiwa kwenye kampeni za kinyang'anyiro cha urais mgombea wa kiti hicho bwana Trump alirudiarudia maneno haya. '....I want to make America great again...'! Yani ataifanya marekani itamalaki katika utukufu tena! Ndoto za Alinacha hizi...!
Kanuni za maisha zinasema kwamba ni rahisi kuwa namba moja lakini ni vigumu kubakia kwenye nafasi hiyo....
Mmarekani kwa kulitambua hilo alifanya kila namna abaki kileleni lakini WAKATI SI MILELE...! Na kila jambo na majira yake...hii ni Kanuni ya kiasili kabisa
Ahadi ya bwana Trumph ya kutaka kuifanya marekani itamalaki tena katika utukufu ni ushahidi tosha kuwa marekani ya juzi na jana si ya Leo na hapo kesho!
Where is the American pride now? Zile tambo za ....we Americans kwenye kila jambo ziko wapi? Tulichoshuhudia kwa kiwango cha juu kabisa ni kukataliwa kwa bwana Trump kama rais wa marekani japo kura maarufu zimempa urais...tunachoendelea kushuhudia ni dhihaka kejeli matusi na hata tuhuma za udukuzi na kusaidiwa kushinda na mataifa adui!
Leo hii marekani ndio inaongea lugha hizi kweli? Ule ufahari na kujikweza umepotelea wapi? Yale mambo yaliyozoeleka kusikika dunia ya tatu hasa Africa nyakati za chaguzi Leo hii ndio yanasikika marekani? Kweli...!!?
ac36854e0a3d7656dab9ede60aba2345.jpg
itakuwa vigumu kukubaliwa na wengi lakini ukweli mchungu ni kwamba AMERICA WILL NEVER SHINE AGAIN...!!!!
Ni kweli kabisa mkuu, kuna kitabu namalizia kukiandika ni riwaya inaitwa.
The last chance for the US citizens
Based on a true story
Kinahusu anguko kuu la marekani Kwa miaka ijayo, nitakiuza kwenye kampuni zao wenyewe.
 
Ni kweli kabisa mkuu, kuna kitabu namalizia kukiandika ni riwaya inaitwa.
The last chance for the US citizens
Based on a true story
Kinahusu anguko kuu la marekani Kwa miaka ijayo, nitakiuza kwenye kampuni zao wenyewe.
Watakinunua kwa wingi

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
13b2a12da2198acc06b1491cae5f2595.jpg
hii mada itawakera wale wenzangu na mimi wenye mapenzi yaliyopitiliza kwa taifa la marekani! Lakini ukweli mchungu ni kwamba AMERICA WILL NEVER BE GREAT AGAIN...! what a painful truth!
Akiwa kwenye kampeni za kinyang'anyiro cha urais mgombea wa kiti hicho bwana Trump alirudiarudia maneno haya. '....I want to make America great again...'! Yani ataifanya marekani itamalaki katika utukufu tena! Ndoto za Alinacha hizi...!
Kanuni za maisha zinasema kwamba ni rahisi kuwa namba moja lakini ni vigumu kubakia kwenye nafasi hiyo....
Mmarekani kwa kulitambua hilo alifanya kila namna abaki kileleni lakini WAKATI SI MILELE...! Na kila jambo na majira yake...hii ni Kanuni ya kiasili kabisa
Ahadi ya bwana Trumph ya kutaka kuifanya marekani itamalaki tena katika utukufu ni ushahidi tosha kuwa marekani ya juzi na jana si ya Leo na hapo kesho!
Where is the American pride now? Zile tambo za ....we Americans kwenye kila jambo ziko wapi? Tulichoshuhudia kwa kiwango cha juu kabisa ni kukataliwa kwa bwana Trump kama rais wa marekani japo kura maarufu zimempa urais...tunachoendelea kushuhudia ni dhihaka kejeli matusi na hata tuhuma za udukuzi na kusaidiwa kushinda na mataifa adui!
Leo hii marekani ndio inaongea lugha hizi kweli? Ule ufahari na kujikweza umepotelea wapi? Yale mambo yaliyozoeleka kusikika dunia ya tatu hasa Africa nyakati za chaguzi Leo hii ndio yanasikika marekani? Kweli...!!?
ac36854e0a3d7656dab9ede60aba2345.jpg
itakuwa vigumu kukubaliwa na wengi lakini ukweli mchungu ni kwamba AMERICA WILL NEVER SHINE AGAIN...!!!!
WACHA WAFU WAZIKANE... NAMSHUKURU MUNGU. ILE DHAMBI YA KUWAGOMBANISHA NA KUWASAMBARATISHA MATAIFA MENGINE SASA INAWATAFUNA WAO WENYEWE. SYRIA TULIIII. LIBYA TULIII, IRAN TULIII. na wala hatusikii tena sijui MAGAIDI KUMBE WENYEWE WANAFADHILI ILI WAUZE SILAHAA NYAMBAFUUU ZAOOOO.
 
WACHA WAFU WAZIKANE... NAMSHUKURU MUNGU. ILE DHAMBI YA KUWAGOMBANISHA NA KUWASAMBARATISHA MATAIFA MENGINE SASA INAWATAFUNA WAO WENYEWE. SYRIA TULIIII. LIBYA TULIII, IRAN TULIII. na wala hatusikii tena sijui MAGAIDI KUMBE WENYEWE WANAFADHILI ILI WAUZE SILAHAA NYAMBAFUUU ZAOOOO.
Pambavu kabisa hii ngozi ya kitimoto

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
kwakweli big brother huko mbelen mambo yanaweza kuwa magumu kwake.....ingawa bado ana pumzi ndefu na ataendelea kusumbua kwenye nyanja za kichumi,kiushawish na kijeshi katika kizaz hiki lakin kwe kizaz kijacho nadhan naye atashuka kuwa wa kawaida kama wenzake kina japan na german na russia amabo nao walisumbua pia sidhan kama china ataweza kurise kuwa superpower kwakuwa mataifa makubwa kama russia,japan,US na india watampa wakati mgumu kwakuwa wote watakua na ambition kama zakwake..pengine dunia itabaki kuwa na regional powers tu enzi za superpower zitakuwa zimekwisha na nadhan usalama wa dunia utakuwa mkubwa zaid kwakuwa kutakuwa na balance of power
good observation!
 
Mbona hatutabiri Tanzania itainuka?,angalau hata kuuangamiza huu ubabe wa watawala na wanasiasa?
 
Wakati mnawazia United States kuporomoka mjihabarishe kidogo.

Quarter of the world wealthy is owned by the US alone.

Hii maana yake rahisi tu. United States itaendelea kuwa imara kwa miaka mingi mbele.

China inakuja kwa kasi na itakapofikia raia wake wengi kuwa middle class basi vipaumbele vitabadilika. Raia wataanza kudai uhuru zaidi, mazingira masafi zaidi, viongozi wanaofuata sheri zaidi na uwazi. Hii ndiyo kanuni nchi yoyote watu wake wengi wakifikia middle class status.

Baada ya hapo China uchumi wake utakuwa taratibu. Aggressiveness wanayofanya kwenye industrialization bila kujali mazingira itapinga zaidi na wananchi. Makampuni yataanza kutafuta nchi nyingine zinazoinuka kiuchumi.

Ili America ianguke inabidi kwanza inabidi uuwe creativity pale Silicon Valley.....high tech zote zinazaliwa pale.....ngumu sana kufanikiwa katika hili
 
we uganga wako ni hapahapa, hauwezi kuiloga US.
Qwi Qwi Qwi... Hii imenifanya nicheke kwa Sauti. Anataka kuitabiria na kuilogha US ilhali ameshindwa kulogha Chama cha Mapinduzi (CCM)
 
Back
Top Bottom