Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Kufikiria wanafikiria sana..... Lakini na wezao pia wanafikiria na wanachapa kazi.... Kama hufahamu kufikia mwaka 2011 China ilikuwa mbele kwa teknolojia ya anga za juu kwa miaka 3 ukilinganisha na America.
Hebu tunaomba tujadili kwa data.... Halafu tusiwe na usingizi wa kifikra.... Kama tungekuwa tunafuatilia kampeni za Trump bila tusingepata wa kumpinga mtoa mada... Lakini Inaonekana baadhi yetu tumesoma habari za America miaka 20 iliopita bado tunajiona tunajua marekani. Na Wengine tunaona eti marekani ni mfadhili.Ufadhili wa mwizi anaekupa juice yenye dawa za kulevya ili ulale akuibie. Hebu Tuchangamsheni akili na tuwe wafuatiliaji wa world affairs kabla ya kukimbilia kutoa michango isiyo na utafiti.
Data kivipi? Mtoa Mada kaleta uzushi so anajibiwa anavyostahili... Na kama na wewe pia umekuja kizushi ati watu wamesoma data za Marekani za miaka 20 iliyopita... Na huamini ufadhiri Wa Marekani duniani unauita ni Wa madawa ya kulevya? Wewe ni mzima kweli???? Ukitaka hoja chagua idara yeyote unayotaka tuichambue na tutailinganisha na super power mwenzake... Ila hadi sasa Marekani Bado yupo juu na Bado miaka kadhaa ataendelea kuwa juu... Tatizo lenu hamuielewi Marekani nafasi inayotoa kwa watu wenye akili kuishi na kuifanya iwe juu kila siku mnabaki oh inapitwa oh inaanguka.nk
 
Data kivipi? Mtoa Mada kaleta uzushi so anajibiwa anavyostahili... Na kama na wewe pia umekuja kizushi ati watu wamesoma data za Marekani za miaka 20 iliyopita... Na huamini ufadhiri Wa Marekani duniani unauita ni Wa madawa ya kulevya? Wewe ni mzima kweli???? Ukitaka hoja chagua idara yeyote unayotaka tuichambue na tutailinganisha na super power mwenzake... Ila hadi sasa Marekani Bado yupo juu na Bado miaka kadhaa ataendelea kuwa juu... Tatizo lenu hamuielewi Marekani nafasi inayotoa kwa watu wenye akili kuishi na kuifanya iwe juu kila siku mnabaki oh inapitwa oh inaanguka.nk
Ila Duduwasha nilitahadharisha kabisa mwanzoni kabisa kuwa kuna watu hili halitawafurahisha na hawatakubaliani nami
Na kwa vyovyote watakuja kuponda na kudiss kwa sana tuu..as if utadhani wao ni wamerakani kuliko wamerakani wenyewe...ni watu ambao hata hawatambuliki ndani ya marekani kama wako dunia hii
Lakini tukiachana na yote hebu tuchambue kauli hii ya rais mteule wa hilo taifa bwana3 Trumph ambaye katika kampeni yake aliyasema maneno haya mara nyingi tuu .....I want to make America great again...! Kumbuka hii ni kauli ya rais mteule tena bilionea je tunadhani kayatamka tu haya maneno kwa bahati mbaya?
 
Sijui mshabiki ni nani kati ya Mimi na wewe... From simple logic vipi adui yako akuchagulie kizuri??? Mimi si mshabiki wa Hillary lakini nahisi wewe mwenzangu hufuatilii mambo yanavyoenda ulimwenguni unakimbilia kutoa hoja kwa kukurupuka. Lakini kwa vile umejiita Farudume sishangai kukurupuka kwako.Teknolojia ziko katika nyanja mimi Nimesema katika uwanja wa anga za juu Marekani ameshaachwa na Mchana. Ukipinga Pinga kwa data.

Hizo ni Propaganda za Democrat.Bado wanamawenge ya kushindwa uchaguzi.
 
Kwa mujibu wa biblia ikielezewa kama mnyama akitokea ktk nchi mpaka mwisho wa dunia marekani itakuwa juu hizo ni changamoto za muda tu
 
Ni mtazamo wako, lakini mimi naliona taifa la Marekani likiendelea ku shine miaka mingi sana ijayo. Trump will make them great again
 
Kweli mtoa post bwege umewaaaaza ukaleta upuuzi humu?unadhani American nikama vijiwe vyenu vya kahawa?jitahid kujiongeza japo kidogo! Ukabun hata jambo litalojenga family yako maana unapiga modal kama maendeleo kumbe unaumiza wenzio! Ushaur Wa bure hata hiyo cm bila hao wanaume ungekuwa unalima Bamia!jihoji ww dunia iliyopo ww sio ya hao Na ndo ukweli !njoo tujadili mipango tufuge bata tutasogea! Take off your attachment!!!!!
 
Hizo ni Propaganda za Democrat.Bado wanamawenge ya kushindwa uchaguzi.
Bwa Farudume asante sana.... Umetusaidia kujua nani anaongea kishabiki. Kwa bahati mbaya mtoa mada hakusema kwamba republican (GOP) inaanguka... Amesema America inaanguka... Kwa hio Hillary Clinton pia ni Mmarekani si mtz na Democrat pia ni chama cha kimarekani si cha kitanzania.
 
Kweli mtoa post bwege umewaaaaza ukaleta upuuzi humu?unadhani American nikama vijiwe vyenu vya kahawa?jitahid kujiongeza japo kidogo! Ukabun hata jambo litalojenga family yako maana unapiga modal kama maendeleo kumbe unaumiza wenzio! Ushaur Wa bure hata hiyo cm bila hao wanaume ungekuwa unalima Bamia!jihoji ww dunia iliyopo ww sio ya hao Na ndo ukweli !njoo tujadili mipango tufuge bata tutasogea! Take off your attachment!!!!!
Ukiona mtu anaaza kutoa matusi ujuwe ameishiwa hoja na ujuzi wake ni mdogo (limited exposure to world affairs). Kwa taarifa yako simu ya kimarekani inayotamba iPhone inayotengenezwa na kampuni ya Apple inatengenezwa China.
 
Ukiona mtu anaaza kutoa matusi ujuwe ameishiwa hoja na ujuzi wake ni mdogo (limited exposure to world affairs). Kwa taarifa yako simu ya kimarekani inayotamba iPhone inayotengenezwa na kampuni ya Apple inatengenezwa China.
Ana lake la ziada huyo
 
Kweli mtoa post bwege umewaaaaza ukaleta upuuzi humu?unadhani American nikama vijiwe vyenu vya kahawa?jitahid kujiongeza japo kidogo! Ukabun hata jambo litalojenga family yako maana unapiga modal kama maendeleo kumbe unaumiza wenzio! Ushaur Wa bure hata hiyo cm bila hao wanaume ungekuwa unalima Bamia!jihoji ww dunia iliyopo ww sio ya hao Na ndo ukweli !njoo tujadili mipango tufuge bata tutasogea! Take off your attachment!!!!!
Aisee hivi una lingine la ziada ama?
Je wewe ni mmarekani? Hapana
Naona umeongea mengi sana bila hata mpangilio..hii ni kawaida kwa watu wenye uelewa finyu kama wewe
Naomba nijibu hili... rais mteule Donald Trump kwa maneno yake mwenyewe alisema I want to make America GREAT again...hapa alimaanisha nini?
 
Kwanza sitaki kuamini moja kwa moja hiyo kauli kutoka marekani.kwamba wamedukuliwa katika mfumo wa kumpata mshindi wa uraisi.mbwa mpe jina baya uendelee kumsimanga.

Hii ya utawala kufika kikomo, haliepukiki ila sio kizazi hiki cha karne 21.
Ukasoma vizuri maandiko ukayaelewa utajua ukweli
 
Kama kuna watu wanaamini marekani inaongozwa na raisi basi amepotoka na anaupofu wa kupambanua. Mara ngapi tunaongea hapa kwamba marekani inaongozwa na watu "behind closed doors"...ndio naongelea familia za kiyahudi zenye mamlaka na mali za kutupwa!!!

Watu wa marekani wana akili sana, nchi yao inamakapuni mengi lakini wamewekeza nje. Apple is designed in California but made in China for cheap labour reasons. Alichokua anazungumza Trump ni kudolola kwa uwekezaji wa ndani katika viwanda pamoja na ukosefu wa ajira.
 
Mi natamani Africa tuungane na kutengeneza mataifa matano tu tukayaita majimbo na tukawa na rais wetu mmoja mwenye nguvu,utaona wazungu watakavyotuamkia shikamoo kila kukicha, UNITE STATE OF AFRICA itatisha
 
Ukiona mtu anaaza kutoa matusi ujuwe ameishiwa hoja na ujuzi wake ni mdogo (limited exposure to world affairs). Kwa taarifa yako simu ya kimarekani inayotamba iPhone inayotengenezwa na kampuni ya Apple inatengenezwa China.
Mkuu wewe ni mgeni Dunia hii? Mali ya nchi Fulani ikitengenezwa nchi tofauti ni maslai ya kampuni husika... Hilo jambo trump ndio halitaki anataka kampuni zote za Marekani zirejeshe viwanda vyake Marekani au viface adhabu na trump akifanikiwa amerika itazidi kuwa juu maana hivyo viwanda vinagawana mapato na nchi tofauti haswa China. Kahawa na zabibu zetu zinatamba ulaya even,Tanzanite ya Tanzania inayotamba inatambulika ni ya Kenya na India
 
Back
Top Bottom