gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Fine nitalipa tu....nitetee kwanza ndoa yangu ikae sawa
halafu usipolipa je?? lipa kwanza halafu nikisema neno tu naye atatenda
Fine nitalipa tu....nitetee kwanza ndoa yangu ikae sawa
halafu usipolipa je?? lipa kwanza halafu nikisema neno tu naye atatenda
....hahahahahaha..naona hii ilikua kimya kimya....wengine ilikua hatuhusiki nini..?Watu wa R Chuga mtanunaje....
Hapa tuko mimi, marejesho, Paloma, Lusile, Vivianna, cacico, Na Mzee wa Ku-Party Mtambuzi, warembo tuna glass za Champagne na maua mekundu, Kwa raha zetu....
Mzee Mtambuzi anamwaga stori zake za kufumaniwa na vituko vya uswahilini, yaani tunacheka hadi watu wanatushangaa.......
Wapi Madam B, gfsonwin, mwaJ, Swts, Nyamayao, Erickb52, Filipo, Mungi, Don Mangi, Arushaone, Asprin, Ruttashobolwa, Fidel80, amu, snowhite, kipaji halisi, watu8, Mamndenyi, MadameX, Lisa, nivea, King'asti... Hebu njooni pande hii tusongeshe......
....hahahahahaha..naona hii ilikua kimya kimya....wengine ilikua hatuhusiki nini..?
Amini nakuambia hili la ndoa ni kubwa sana....fine nitatoa siku ya sherehe ya kumaliza mgogoro huu....plzzzz
basi nitaongea nae mm kwanza kabla ya kukuita wewe kwenye shauri hili
halafu mdogo wanu huyu Vin Diesel hakufai kabisa mpaka leo hajalipa faini ninayomdai..............muulize anajua alinikosea.
...hahahahaha..kweli imenikosa aisee..ila fresh maana jana ilibidi nicheze PS...Ukisikia paaah ujue imekukosa.......
basi nitaongea nae mm kwanza kabla ya kukuita wewe kwenye shauri hili
...hahahahaha..kweli imenikosa aisee..ila fresh maana jana ilibidi nicheze PS...
..vipi lkn mkuu kwema kabisa...
Dada wala usihangaike naye huyo....
,,,yeah man..cheza sana FIFA jana..ndio ilikua valentina wanguKwema kabisa mkuu....naona ulivalentika na PS...
,,,yeah man..cheza sana FIFA jana..ndio ilikua valentina wangu
Nakupenda sana, and I mean it.
Hata akilipa fine me simtaki...
...hahahahahahaha..mlitumia njia ipi ya mawasiliano..?
...hahahahahahaha..mlitumia njia ipi ya mawasiliano..?