Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
na anastres kweli,we uliona wapi mtu anaenda club na kanzu?kaanza kudata,pole Filipo!
Ooooh pole sana lov! Vibaka hawa hawana adabu kabisa!
na anastres kweli,we uliona wapi mtu anaenda club na kanzu?kaanza kudata,pole Filipo!
Jamani Jamani!!!!
Hii ni zaidi ya wiki nipo kitandani naumwa leo ndo nimepata nafuu kuingia humu hali yangu si nzuri hata kidogo
Pole Amu.....nimekumiss sana!
who are you???
Pole Amu.....nimekumiss sana!
Hapa nimecheka mbaya
sasa kwa kujiunga tu majuzi umeweza kuwajua wana CC kwa sura?? mnake umesema umekwenda leo tupo hapa sasa umepajuaje?? na ulihakikisha vp kwamba ulowakuta sio wana CC??
Leo tangu mchana nakutwangia simu zako zote hazipatikani, nikajiuliza uko wapi?
Bibie hata hujui umuhimu wa mobile phone usawa huu wa Valentine Day, nikajua umefichwa mahali...........LOL
Heshima yako mwalimu.
Hivi huyo rafiki yenu mwenye multiple IDs bado tu hamjamjua kweli?
Kila event ya Dar Wing mnakuwa nae tena mstari wa mbele kabisa.
khaaa! inamaana mie ndo sikustahili huu mwaaliko ama???