Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Watu wa R Chuga mtanunaje....
Hapa tuko mimi, marejesho, Paloma, Lusile, Vivianna, cacico, Na Mzee wa Ku-Party Mtambuzi, warembo tuna glass za Champagne na maua mekundu, Kwa raha zetu....

Mzee Mtambuzi anamwaga stori zake za kufumaniwa na vituko vya uswahilini, yaani tunacheka hadi watu wanatushangaa.......

Wapi Madam B, gfsonwin, mwaJ, Swts, Nyamayao, Erickb52, Filipo, Mungi, Don Mangi, Arushaone, Asprin, Ruttashobolwa, Fidel80, amu, snowhite, kipaji halisi, watu8, Mamndenyi, MadameX, Lisa, nivea, King'asti... Hebu njooni pande hii tusongeshe......

siku nyingine mrudi tena Kebb's tumewamiss
 
amu mamboo? AT anakusalimia
 
Last edited by a moderator:
Hii ni zaidi ya wiki nipo kitandani naumwa leo ndo nimepata nafuu kuingia humu hali yangu si nzuri hata kidogo
pole sana amu. Ningekuwa najua hlo nisingekulaumu my dear. Pole kwa kuumwa. Get well soon.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni zaidi ya wiki nipo kitandani naumwa leo ndo nimepata nafuu kuingia humu hali yangu si nzuri hata kidogo

pole sana! Get well soon!
Jana nilikupigia simu hukupokea, labda ulikuwa na hali mbaya!
 
mwambie kwamba ulikua Arusha,na tukaenda ku-clubika club mpya moshonooooo,pia swr c unakumbuka tuliona mtu kafanana Filipo kavaa kanzu kule club,atakua yy yule!
 
Back
Top Bottom