Tokea liniHivi tuna muamuzi kwenye caf kweli!?
Tulete wa njeMarefa awataki kumuangusha anayewapa posho zao bwana karia, Angeruhusu goli angekiona cha moto
Tena kama EPL ndio ligi yenye waamuzi na maamuzi mabovu zaidi dunianiWaamuzi wetu nao ni binadamu. Angalia ulaya na teknolojia zote na maslahi yao afu angalia ugoro wanafanya. Njoo bongo angalia hali halisi. Posho kiduchu, mafunzo duni na siasa yetu kuingilia mpira.
Ligi zingine unaangaliaga Hadi kuwajua marefa!?Tena kama EPL ndio ligi yenye waamuzi na maamuzi mabovu zaidi duniani
Wale waamuzi wa Epl hawastahl kabsa kuchezesha mechi kubwa.