Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
JUMUIYA ya Marastafarian Tanzania, (Taramo), imeandaa Tamasha la kumbukumbu ya muasisi wa muziki wa Reggae ulimwenguni, Nesta Robert, maarufu kama Bob Marley litakalofanyika ufukwe wa hoteli ya Mbalamwezi jijini Dar es Salaam, leo.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Ras Bumijah alisema, tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kuenzi mchango wa muasisi huyo, aliyechangia pia kulinda mila na utamaduni wa marastararian ulimwenguni kote.

Alisema, kutokana na mchango wake huo, Jumuiya imekuwa ikifanya kumbukumbu kila mwaka na safari hii wamealika wasanii na wanamuziki wengi kwa ajili ya kutumbuiza katika tamasha hilo.

Ras Bumijah, aliwataja baadhi ya wasanii na wanamuziki watakaopamba leo kuwa ni washindi wa tuzo za muziki za Kilimanjaro, Chibwa na Dabo, Ras Mizizi, Man Kifimbo na yeye mwenyewe.

"Tumewaalika Dabo na Chibwa kuja, kutokana na kuutendea haki muziki huu ulioasisiwa na Bob Marley, ambaye Jumamosi hii tunamkumbuka. Wataitumia nafasi hii kuwashukuru wale wote waliofanikisha ushindi wao na wataimba live kwa ajili ya mashabiki na wapenzi wa miondoko ya reggae," alisema Ras Bumijah.

Aliongeza kuwa, pamoja na wasanii hao kutoa burudani, pia kutakuwa na burudani nyingine ya vikundi mbalimbali vinavyopiga muziki wa reggae asili, sambamba na uuzaji wa mavazi ya asili ya kiafrika kama njia ya kumuenzi Hayati Bob Marley.
Chanzo:Tanzania Daima
 
tunamkumbuka sana alale mahala pema peponi amen. One day they will legalise ganja and follows colorado footsteps.
 
Karibuni green cake
 

Attachments

  • 1399796402778.jpg
    1399796402778.jpg
    53.9 KB · Views: 209
JUMUIYA ya Marastafarian Tanzania, (Taramo), imeandaa Tamasha la kumbukumbu ya muasisi wa muziki wa Reggae ulimwenguni, Nesta Robert, maarufu kama Bob Marley litakalofanyika ufukwe wa hoteli ya Mbalamwezi jijini Dar es Salaam, leo.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Ras Bumijah alisema, tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kuenzi mchango wa muasisi huyo, aliyechangia pia kulinda mila na utamaduni wa marastararian ulimwenguni kote.

Alisema, kutokana na mchango wake huo, Jumuiya imekuwa ikifanya kumbukumbu kila mwaka na safari hii wamealika wasanii na wanamuziki wengi kwa ajili ya kutumbuiza katika tamasha hilo.

Ras Bumijah, aliwataja baadhi ya wasanii na wanamuziki watakaopamba leo kuwa ni washindi wa tuzo za muziki za Kilimanjaro, Chibwa na Dabo, Ras Mizizi, Man Kifimbo na yeye mwenyewe.

"Tumewaalika Dabo na Chibwa kuja, kutokana na kuutendea haki muziki huu ulioasisiwa na Bob Marley, ambaye Jumamosi hii tunamkumbuka. Wataitumia nafasi hii kuwashukuru wale wote waliofanikisha ushindi wao na wataimba live kwa ajili ya mashabiki na wapenzi wa miondoko ya reggae," alisema Ras Bumijah.

Aliongeza kuwa, pamoja na wasanii hao kutoa burudani, pia kutakuwa na burudani nyingine ya vikundi mbalimbali vinavyopiga muziki wa reggae asili, sambamba na uuzaji wa mavazi ya asili ya kiafrika kama njia ya kumuenzi Hayati Bob Marley.
Chanzo:Tanzania Daima

Sina hakika na hilo la Bob kuwa muasisi wa muziki wa Reggae labda ningeshauri watu wasome vizuri historia ya The Wailers, kusema Bob ndiyo muasisi(peke yake) siyo kweli labda kusema 'mmoja wa waasisi wa Reggae', Tanzania Daima wangetumia neno 'mmoja wa waasisi wa muziki wa Reggae' maana Bob peke yake siyo mwasisi kama wazungu wanavyotaka tuamini, uasisi wa Reggae ni wa kundi na unapotaja uasisi wa Reggae usiache kuwataja kina Peter Tosh na Buny Wailer pia
 
JUMUIYA ya Marastafarian Tanzania, (Taramo), imeandaa Tamasha la kumbukumbu ya muasisi wa muziki wa Reggae ulimwenguni, Nesta Robert, maarufu kama Bob Marley litakalofanyika ufukwe wa hoteli ya Mbalamwezi jijini Dar es Salaam, leo.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Ras Bumijah alisema, tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kuenzi mchango wa muasisi huyo, aliyechangia pia kulinda mila na utamaduni wa marastararian ulimwenguni kote.

Alisema, kutokana na mchango wake huo, Jumuiya imekuwa ikifanya kumbukumbu kila mwaka na safari hii wamealika wasanii na wanamuziki wengi kwa ajili ya kutumbuiza katika tamasha hilo.

Ras Bumijah, aliwataja baadhi ya wasanii na wanamuziki watakaopamba leo kuwa ni washindi wa tuzo za muziki za Kilimanjaro, Chibwa na Dabo, Ras Mizizi, Man Kifimbo na yeye mwenyewe.

"Tumewaalika Dabo na Chibwa kuja, kutokana na kuutendea haki muziki huu ulioasisiwa na Bob Marley, ambaye Jumamosi hii tunamkumbuka. Wataitumia nafasi hii kuwashukuru wale wote waliofanikisha ushindi wao na wataimba live kwa ajili ya mashabiki na wapenzi wa miondoko ya reggae," alisema Ras Bumijah.

Aliongeza kuwa, pamoja na wasanii hao kutoa burudani, pia kutakuwa na burudani nyingine ya vikundi mbalimbali vinavyopiga muziki wa reggae asili, sambamba na uuzaji wa mavazi ya asili ya kiafrika kama njia ya kumuenzi Hayati Bob Marley.
Chanzo:Tanzania Daima

bob-marley-..jpg
 
Sina hakika na hilo la Bob kuwa muasisi wa muziki wa Reggae labda ningeshauri watu wasome vizuri historia ya The Wailers, kusema Bob ndiyo muasisi(peke yake) siyo kweli labda kusema 'mmoja wa waasisi wa Reggae', Tanzania Daima wangetumia neno 'mmoja wa waasisi wa muziki wa Reggae' maana Bob peke yake siyo mwasisi kama wazungu wanavyotaka tuamini, uasisi wa Reggae ni wa kundi na unapotaja uasisi wa Reggae usiache kuwataja kina Peter Tosh na Buny Wailer pia
Wazungu ni akina nani?

Wanahusikaje na hii kitu?
 
Reggae in jail,reggae in church,reggae in bedroom,yaani reggae in everywhere,too many people including me like reggae! muziki wa ukweli plus mamessages,MAY THE SOUL OF BOB MARLEY REST IN HEAVENLY PARADISE!!
 
ImageUploadedByJamiiForums1399797013.668857.jpg Sakrament ya marasta imeasisiwa na nesta marley
 
Moshi mkubwa umetanda juu ya anga,wazee wa kale wanamuenzi Nesta Marley!
 
Mtoa mada, hili tamasha ni leo jumapili ama lilikuwa jana jumamosi?
 
Back
Top Bottom