mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,991
- 132,356
defenda hiyoooo haya anzeni kutoka nduki.....Niko maskani na wahuni wangu tunakula ganja mingi ikisindikizwa na vibes za bob..
Rastaman everlast!
defenda hiyoooo haya anzeni kutoka nduki.....Niko maskani na wahuni wangu tunakula ganja mingi ikisindikizwa na vibes za bob..
Rastaman everlast!
Bang inaletaa utahira,bang imesababsha ukchaa kwa wananguuu weng sana tangu sekonsar had chuo kikuu.Nilipokuwa dom six pale Mwakaleli bweni lote la wavulana lilizungukwa Na miche ya bang nikakazamoyo nikiwaambia wavuta bang Wengne nitavuta endapo nitafka chuokikuu Na kweli wkt Wa semista ya mwisho Wa mwakawangu Wa mwsho UDSM nikavuta.yaliyotokea kwa mwez m1 nimshukuru yesu kristo aliyeniokoa baadaye.Ila keep in mind, bang Ni dawa,bang inawenyewe ambao tangu seko haikuwaathiri had Leo wanadunda pa1 nami makazn. Mwisho vjana wenzangu siwashauri uvutte bang urastaman c kuvuta bang,bang Ni starehe tu ya mtu ila N wazaz wetu wapumzke Na kzaz hik tunawapa shida sana kwa vjana kuathrika kiafya (ngoma)Na kiakili (drugs abuse)tuwaache wale pension zao kwa raha zao.tchao mwenye maskio Na askie RIP marley I love youfor your pro peace worldwide no more.
Sina hakika na hilo la Bob kuwa muasisi wa muziki wa Reggae labda ningeshauri watu wasome vizuri historia ya The Wailers, kusema Bob ndiyo muasisi(peke yake) siyo kweli labda kusema 'mmoja wa waasisi wa Reggae', Tanzania Daima wangetumia neno 'mmoja wa waasisi wa muziki wa Reggae' maana Bob peke yake siyo mwasisi kama wazungu wanavyotaka tuamini, uasisi wa Reggae ni wa kundi na unapotaja uasisi wa Reggae usiache kuwataja kina Peter Tosh na Buny Wailer pia
Hivi ni kwa nini Jamii Forums haina "Dislike"? Huyu Dogo angepata "Dislike" 200 za fasta kwa kuposti --------- hiyo!:mvutaji:
Hiki ni kigenge cha wavuta bangi na mataahira..!defenda hiyoooo haya anzeni kutoka nduki.....
Wavuta bangi.. (Em' bisha nikuone)