Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

Marasta kumkumbuka Bob Marley leo

Yaaa jah, marastafarian tunatambua sana mengi sana yanayotuhusu sisi na wengine pia
 
Reggae legend Bob Marley converted from the Christianity of his childhood to join the Rastafarian Movement in the late 1960s . By all reputable accounts, he remained a devoted Rastafarian and an Ambassador. I think you got it Mashaxizo

Bob Marley alikuwa mfuasi wa dini gani vile?
 
Last edited by a moderator:
Watagwan rasta me na smoke wid, na
me blazin ina de ea lyk no mans
busnes man . me na b tru rasta
on a pork conction....jaaah rasta farr.I....inna di bomboclat yes massive poww

Mkuu swaga za wenyewe hizo nimekubali
 
Reggae legend Bob Marley converted from the Christianity of his childhood to join the Rastafarian Movement in the late 1960s . By all reputable accounts, he remained a devoted Rastafarian and an Ambassador. I think you got it Mashaxizo
Hapo nimekupata bily!
Na jee Mungu wao ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Wazungu ni akina nani?

Wanahusikaje na hii kitu?

Ndiyo maana nikashauri kusoma historia ya The Wailers utajua pia hao wazungu ni kina nani na wanahusikaje na hiyo kitu, pia utajua kwa nini Bob alikuwa promoted over the wailers na kwa kutaja Bob Marley and the Wailers instead of The Wailers ni sawa na kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili ndani ya JMT, pia soma vizuri asili ya Bob utajua wazungu wanahusikaje(mwenyewe simbagui wala ku undermine uwezo wake but kuweka mambo sawa), ndiyo maana nikasema uasisi wa Rastafarian Movement ni wa 'kikundi'(group work) siyo wa Bob as an individual
 
Ndiyo maana nikashauri kusoma historia ya The Wailers utajua pia hao wazungu ni kina nani na wanahusikaje na hiyo kitu, pia utajua kwa nini Bob alikuwa promoted over the wailers na kwa kutaja Bob Marley and the Wailers instead of The Wailers ni sawa na kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili ndani ya JMT, pia soma vizuri asili ya Bob utajua wazungu wanahusikaje(mwenyewe simbagui wala ku undermine uwezo wake but kuweka mambo sawa), ndiyo maana nikasema uasisi wa Rastafarian Movement ni wa 'kikundi'(group work) siyo wa Bob as an individual

Summarize Kile unachojua kuhusu Hilo then ndo utuwekee reference mkuu kwa kusoma zaidi
 
Ndiyo maana nikashauri kusoma historia ya The Wailers utajua pia hao wazungu ni kina nani na wanahusikaje na hiyo kitu, pia utajua kwa nini Bob alikuwa promoted over the wailers na kwa kutaja Bob Marley and the Wailers instead of The Wailers ni sawa na kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili ndani ya JMT, pia soma vizuri asili ya Bob utajua wazungu wanahusikaje(mwenyewe simbagui wala ku undermine uwezo wake but kuweka mambo sawa), ndiyo maana nikasema uasisi wa Rastafarian Movement ni wa 'kikundi'(group work) siyo wa Bob as an individual

Naijua histiria ya Bob ambayo haina haya unayosema wewe ndio maana nikakuambia uniambie hao wazungu unaowasema wewe ni akina nani

Najua kuhusiana na ugomvi uliokuwepo kati ya Bob na studio waliyokuwa wanafanyia kazi The wailing [The wailers] kwa kuandikwa Bob marley and the wailers badala ya The wailers na aliyekuwa anakataa kuandikwa Bob amd The wailers ni Bob mwenyewe

Sasa nakuomba wewe useme hiyo historia unayoijua wewe ni ipi ili tuje hapa tushauriane

Kuna mengi sana yanayohusiana na Bob ya kuzusha tu!
 
haina tatizo

Bang inaletaa utahira,bang imesababsha ukchaa kwa wananguuu weng sana tangu sekonsar had chuo kikuu.Nilipokuwa dom six pale Mwakaleli bweni lote la wavulana lilizungukwa Na miche ya bang nikakazamoyo nikiwaambia wavuta bang Wengne nitavuta endapo nitafka chuokikuu Na kweli wkt Wa semista ya mwisho Wa mwakawangu Wa mwsho UDSM nikavuta.yaliyotokea kwa mwez m1 nimshukuru yesu kristo aliyeniokoa baadaye.Ila keep in mind, bang Ni dawa,bang inawenyewe ambao tangu seko haikuwaathiri had Leo wanadunda pa1 nami makazn. Mwisho vjana wenzangu siwashauri uvutte bang urastaman c kuvuta bang,bang Ni starehe tu ya mtu ila Ni mbaya hata ktk mtazamo Wa dn Na Jamii.tusishobokee vngne bob Hakuna shairi hatamoja Mbali Na starehe zake mwenyewe aliwashaur amakuwasisitizia vjana wavute bang.yy Ni mfalme Wa Amani Na regge.tuache wazaz wetu wapumzke Na kzaz hik tunawapa shida sana kwa vjana kuathrika kiafya (ngoma)Na kiakili (drugs abuse)tuwaache wale pension zao kwa raha zao.tchao mwenye maskio Na askie RIP marley I love youfor your pro peace worldwide no more.
 
Wengi wa Marasta wanakubali uwepo wa single triune god/miungu/ called Jah and most of them see Haile Selassie I as Jah or Jah Rastafari. Hope umenipata kidogo mkuu Mashaxizo

Hapo nimekupata bily!
Na jee Mungu wao ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana nikashauri kusoma historia ya The Wailers utajua pia hao wazungu ni kina nani na wanahusikaje na hiyo kitu, pia utajua kwa nini Bob alikuwa promoted over the wailers na kwa kutaja Bob Marley and the Wailers instead of The Wailers ni sawa na kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili ndani ya JMT, pia soma vizuri asili ya Bob utajua wazungu wanahusikaje(mwenyewe simbagui wala ku undermine uwezo wake but kuweka mambo sawa), ndiyo maana nikasema uasisi wa Rastafarian Movement ni wa 'kikundi'(group work) siyo wa Bob as an individual
Kati ya the wailers na Jim Cliff au Burning Spears nani muasisi?soma vizuri hiyo historia
 
Back
Top Bottom