Marafiki wa Nape: Kwanini Nape hakutulia?

Marafiki wa Nape: Kwanini Nape hakutulia?

Usitake kudanganya watu. Hakuna kikao cha siri kilichofanyika kati ya Nape na akina Ruge. Nape aliingia clouds tv akiambatana na waandishi wa habari. Kikao kilikuwa wazi kabisa tangia mwanzo hadi mwisho.

Halafu nani alikuambia kuwa mamlaka ya nidhamu ya kazi ya wakuu wa mikoa ni mawaziri? Maana ni mwenye mamlaka ya nidhamu ya mtumishi husika tu ndiye anaweza kuunda kamati ya aina hiyo ya uchunguzi wa huyo mtumishi kwa lengo la kumchukulia hatua kali ya kinidhamu ikiwamo kumfukuza kazi. Na kamati ya aina hiyo hupewa hadidu rejea mahususi kwa kazi hiyo. Kamati ya Nape ilikuwa haina kitu kama hicho isipokuwa kuleta majibu ndani ya saa 24! Wapi na wapi kamati ya aina hiyo iliyowahi kupatiwa muda mfupi namna hiyo. Standing Orders zinatoa muda usiopungua 14 days.

Tatizo la wanasiasa wetu wanadhani wao ndiyo mamlaka ya nidhamu ya kila mtumishi wa umma. Utakuta wanasimamisha au kufukuza kazi watu ili hali wao si mamlaka yao za nidhamu, at the end they backfire kama ilivyotokea kwa Mh. Nape. Kuna madaktari wamefukuzwa kazi na madiwani, wabunge, wakuu wa wilaya/ mikoa, mawaziri na hata wenyeviti wa mitaa. Ni vurugu. Labda semina elekezi za wanasiasa hawa zilizokuwa zinafanyika Ngurudoto zirejeshwe.

1.wewe ulionyeshwa live tangu anakwenda clouds anaingia na kilichoendela hatua kwa hatua au uliishia kuona akihutubia waandishi wa habari akiwa clouds?. anafika tu na kukaa kikaoni au anafika na kukutana na mangement ya kituo kupata taarifa kabla ya kuhutubia waandishi? jaribu kufikiri kwanza.
2. alikua waziri wa wizara inayosimamia tasnia hiyo. mamlaka yake ilikua ikimruhusu kufuatilia suala hilo. na hakusema atamchukulia hatua bali angewasilisha ripoti kwa mamlaka husika. unataka kusema kwa mfano waziri wa mambo ya ndani hana mamlaka ya kuagiza uvamizi wa Daudi uchunguzwe kwa hatua zaidi? unaongea vitu gani mkuu?
 
Unapochanganya nia mbaya na matendo mabaya, unapata ubaya kamili.

Unapochanganya nia mbaya na matendo mazuri, unapata ubaya nusu.

Unapochanganya nia nzuri na matendomabaya, unapata uzuri nusu.

Unapochanganya nia nzuri na matendo mazuri, unapata uzuri kamili.


Nape alichanganya nia mbaya na matendo mazuri.
Nimeipenda post yako mkuu.!
 
Huyu ni kiongozi mkubwa katika nchi na amepitia katika kipindi cha presha

Kwa nini hakutulia??? au kulikuwa na ulazima wa yeye kusema kitu? what if kama Magufuli alikuwa anataka ampe nafasi ingine ya serikalini?

Nyuma ya pazia kuna nini ambacho Nape anahisi kachukiwa sana wakati kitu alichofanya is obvious ilikuwa lazima ajiuzulu yeye , bila hata kuondolewa. Hakukuwa na haja ya Kamati wakati mwisho wa matokeo ya kamati ni kupeleka report kwa Rais ambaye aliishaamua na kusema pale ubungo

Naamini rais sio malaika, wala sio kuwa Nape hana namba ya simu ya Magu kiasi ambacho wangeongea kuhusu hili swala na kupata baraka zake, kufanya jambo kama lile au kuendelea nalo likiwa linakinzana na bosi wako lina maana gani?? (tuache mihemko wengi tuna mabosi hapa)

Namna ya kudeal na lile swala ilikuwa lazima kuwe na kamati? au angebadili methodology? what was the mission behind? tuwaze nje ya box


Nape inaonekana alijua anafanya nini, na alijua outcome ya mission ilikuwa aidha

1. Rais awe kwenye wakati mgumu wa maamuzi
2. au Nape aondoke yeye

mkuu kamuwahi

ila siamini kama kwa level ya Nape hakujua kuwa kuna kitu kinaendelea..(?????) Yes unaweza kuwa hero, unaweza kuwa na malengo mema na mazuri kabisa ( kutimiza wajibu wako) ila kufanikisha kazi yako kwa ufanisi kunahitaji akili pia na approach kufikia lengo

mimi mtu wa chini niliona kabisa Nape anakinzana na rais, yeye hakuona? au yeye anafanya kazi kama msaidizi wa nani? kama sio msaidizi wa rais....naona Logic inagoma kuona kama Nape alikuwa yeye kama yeye na hana affiliation na Magufuli ambaye ni bosi wake

Imani yangu na msimamo wangu, Makonda ataondoka kupitia mahakama kwa sasa, kuvamia clouds was the best opportunity ya kumuweka kwenye majengo ya mahakama....ingemlazimisha rais kumuondoa
NI KWELI ATAONDOKA KUPITIA MAHAKAMA LAKINI KUMBUKA TUKIO HALIKURIPOTIWA KITUO CHOCHOTE CHA POLISI . LIMERIPOTIWA KWA GWAJIMA NA CHADEMA. NA BOSI RUGE AKAKIMBILIA LIVE KWENYE 360 .....HIYO NDIYO WEEKNESS NEXT TIME TUNAWEZA TUKAJIFUNZA JAMBO. KWA SASA TUCHAPE KAZI KAMA ANAVYOCHAPA MAKONDA.
 
Naamini mpaka sasa Nape ameshajua kuwa alivurunda sana pamoja na makosa ya wazi ya Makonda.
 
Umetanguliza hisia zako kwenye suala nyeti...Eti "rais alikua na taarifa kabla ya uvamizi...uvamizi ulikuwa na baraka zake..."...these are very strong words na ambayo ukiambiwa u-prove hutaweza...kama wewe ni mtu mzima ujiepushe na kauli za aina hii...Awali ya yote kile kinachoitwa 'uvamizi' kinatiwa chumvi mno ...

Kwa wanaojua utendaji na taratibu za serikali na kanuni zake hapana shaka yoyote ile kwamba Mhe. Nape alikosea mno..Mhe. Nape alifanya kosa la insubordination (dharau mbaya) kwa Rais....Mhe. Nape hana mamlaka ya kuteua Kamati kuchunguza suala linalomhusu Mkuu wa Mkoa...Mabosi wa Mkuu wa mkoa ni Rais na Waziri Mkuu, hao ndio wangeunda kamati na ambayo bila shaka ingekuwa na watu senior katika jamii au serikali kama vile majaji, makamishna wa polisi na wengine ... Kamati ya Nape ilikuwa ni 'Kamati Uchwara'... Pale Rais alipotamka kuwa 'Makonda chapa kazi' ilipaswa uwe ndiyo mwisho wa 'Kamati uchwara'..

Nape siyo shujaa hata kidogo na ni wazi hajaiva kiutendaji na kisiasa...ni jambo baya mno na hasa kwa waziri kufanya jambo linalomshinikiza Rais kufanya maamuzi kinyume na matakwa yake....

Mhe. Makonda anaweza kuwa amefanya kosa na ataondoka 'muda muafaka' ukifika na siyo sasa...
kuna matukio mengine huhitaji kuwa profesa wa mambo hayo ili kuyafahamu. unaweza kuchukua neno mojamoja ukayaunganisha ukapata sentensi kamili yenye maana. anyway unajua wale armed forces aliongia nao daudi pale kituoni ni wa kitengo gani? ulishasikia imeamriwa na mamlaka uzisemazo wachunguzwe au tukio lichunguzwe? au imeamliwa tu tulichukulie kama umbea wa mtandaoni? mara zote hakuna tukio liwe la ujambazi au la anina nyingine yoyote linapotokea kusiwe na watu wanaojua undani wa tukio lenyewe. mnaweza msiwajue majambazi waliovamia mahala fulani lakini kuna watu (waweza kuwa majambazi wenzao, mke, rafiki nk) anaejua undani na anaewajua majambazi hao na akaamua kukaa kimya. ni taarifa hizihizi ndio huwa husaidia mamlaka kuwakamata wahusika wa matukio. au labda niseme siri ni ya mtu mmoja ama wawili wakizidi idadi hiyo sio siri itatoka. ndio maana watu wana taarifa za ndani za ikulu ambazo huwa zikivuja ikulu yenyewe inabaki kinywa wazi. anyway nimependa onyo lako lakini ndio maana tunatumia fake IDs. kwa vyovyote vile huwezi kushinda kwenye kuthibitisha ukweli juu ya mambo yanahusu usalama wa taifa hata kama usemalo ndio ukweli halisi.

tukirudi kwa uchunguzi aliouitisha nape. hebu soma vizuri wigo wa mamlaka ya waziri yote huku ukiweka akilini kwamba hakuagiza uchunguzi juu ya mkuu wa mkoa bali uchunguzi juu ya tukio ambalo limetokea ndani ya wizara yake. ndio nimeuliza hilihili swali. je waziri wa mambo ya ndani anayo au hana mamlaka ya kuagiza uchunguzi dhidi ya tukio kama lile? kama anayo angebaki salama?
 
Huyu ni kiongozi mkubwa katika nchi na amepitia katika kipindi cha presha

Kwa nini hakutulia??? au kulikuwa na ulazima wa yeye kusema kitu? what if kama Magufuli alikuwa anataka ampe nafasi ingine ya serikalini?

Nyuma ya pazia kuna nini ambacho Nape anahisi kachukiwa sana wakati kitu alichofanya is obvious ilikuwa lazima ajiuzulu yeye , bila hata kuondolewa. Hakukuwa na haja ya Kamati wakati mwisho wa matokeo ya kamati ni kupeleka report kwa Rais ambaye aliishaamua na kusema pale ubungo

Naamini rais sio malaika, wala sio kuwa Nape hana namba ya simu ya Magu kiasi ambacho wangeongea kuhusu hili swala na kupata baraka zake, kufanya jambo kama lile au kuendelea nalo likiwa linakinzana na bosi wako lina maana gani?? (tuache mihemko wengi tuna mabosi hapa)

Namna ya kudeal na lile swala ilikuwa lazima kuwe na kamati? au angebadili methodology? what was the mission behind? tuwaze nje ya box


Nape inaonekana alijua anafanya nini, na alijua outcome ya mission ilikuwa aidha

1. Rais awe kwenye wakati mgumu wa maamuzi
2. au Nape aondoke yeye

mkuu kamuwahi

ila siamini kama kwa level ya Nape hakujua kuwa kuna kitu kinaendelea..(?????) Yes unaweza kuwa hero, unaweza kuwa na malengo mema na mazuri kabisa ( kutimiza wajibu wako) ila kufanikisha kazi yako kwa ufanisi kunahitaji akili pia na approach kufikia lengo

mimi mtu wa chini niliona kabisa Nape anakinzana na rais, yeye hakuona? au yeye anafanya kazi kama msaidizi wa nani? kama sio msaidizi wa rais....naona Logic inagoma kuona kama Nape alikuwa yeye kama yeye na hana affiliation na Magufuli ambaye ni bosi wake

Imani yangu na msimamo wangu, Makonda ataondoka kupitia mahakama kwa sasa, kuvamia clouds was the best opportunity ya kumuweka kwenye majengo ya mahakama....ingemlazimisha rais kumuondoa
Wise say umeona kama mm nape alitakiwa awasiliane na boss wake kabla ya yeye kupayuka
 
Mkuu huwezi kupata credible results bila kuangalia credibility ya waliohusika kwenye mchakato. Mfano, tunaposema tunataka kufanya utafiti wa chanjo ya kifua kikuu, huwezi kutumia maafisa kilimo kufanya utafiti na bado ukajifariji kuwa suala la muhimu ni matokeo ya utafiti na sio watafiti.
ulilolisema lina ukweli ndio maana mimi kama mimi ninapinga vita dhidi ya madawa yakulevya lilivyoendeshwa na RC,zoezi hilo lingefanywa na POLISI na kikosi maalumu wenye mafunzo ya kazi sio mku wa mkoa anafanya uchunguzi yeye,anaandaa majina yeye,anatangaza majina ya watuhumiwa yeye,anashiriki kuwahoji watuhumiwa,anaamua nani atoke mahabusu nani abaki yeye,hatuoni kwamba alikuwa anafanya kazi za polisi?kitengo maalumu cha kupambana na madawa?na watu wa usalama wa taifa?(na hapa sasa naanza kuamini kuwa alitumwa kufanya alichofanya sio bure,maana kwenye mtego kama huo POLISI wenye weledi wasingekubali kutumika kufanya aliyoyafanya)
 
Kama ulisikiliza vizuri ile ripoti..kuna kifungu cha sheria kinamtaka waziri aunde kamati kunapokua na suala kama lile.. hakujiamulia tu.. utakua ni ujinga kama waziri kila saa amuulize bosi wake cha kufanya... kumlinda nani??? Isitoshe kamati iliundwa kabla ya tamko la mukulu.. isitoshe no one is above the law including mukulu mwenyewe... haijalishi alisema nin muhimu sheria ifate mkondo.
umesema sawa ndugu,kama itakuwa kila jambo unamuuliza RAIS kwa ajili ya maamuzi basi kutakuwa hakuna sababu ya kuwa na waziri,bora kazi zote afanye RAIS mwenyewe sasa.na atakuona huna faida wala msaada wowote,ndio maana nchi sasahivi kama imesimama,viongozi wanaogopa kufanya maamuzi kwa kuogopa kukosea na kukanushwa au kutumbuliwa maana kukanushwa na kutumbuliwa inampunguzia heshima mtu kwa jamii.viongozi sasa wanasubiri RAIS aongee jambo nao ndio wanalirudia hilo kama kasuku,wanashikilia hapohapo,maana wanajua ukifanya jambo bila kujua msimamo wa Rais,WAFWA!
 
Hata yule mtu aliyetoa bastola ni mipangilio. Sijawahi kuona askari aliyefundishwa kutoa bastola kirahisi vile. Hata wanapojabiliana na Jambazi. Watu wanamfahamu Nape. Siyo jambazi. Cha kushangaza hata hakuna aliyepiga picha ya huyo mtu na kutoa uso wake gari lake au hata alioandamana nao. Kama ni mimi naaanza na waandishi wa habari waliokuwepo kuangalia uhusiano wao na lile tukio. Inawezekana walipangwa kuwepo pale ili drama iendelee.
 
Nape alikua waziri wa habari sidhani kama kukaa kimya ilikua ni suluhisho.Maadam rais Magufuli ameamua kumkumbatia Mkuu wa mkoa wa Dar kuliko mtu yeyote, ngoja tuone mwisho wake.Ukweli ni kwamba Makonda na Magufuri wana siri nzito na tutaijua tuu siku wakikorofishana.Maana ulimi hupeleka chakula kwenye meno lakini meno yasivyo na shukrani huwa yanang'ata ulimi wakati fulani.
Hebu rudia kuisoma hiyo post ya mwenzio hapo juu maana naona ulichojibu ni pumba tu
Acha ushabiki jaribu kufikiri ukiwa nje ya box
Nina uhakika ukirudia kuisoma utakuja na mtazamo mwingine zaidi ya huu ulioutoa
 
1.wewe ulionyeshwa live tangu anakwenda clouds anaingia na kilichoendela hatua kwa hatua au uliishia kuona akihutubia waandishi wa habari akiwa clouds?. anafika tu na kukaa kikaoni au anafika na kukutana na mangement ya kituo kupata taarifa kabla ya kuhutubia waandishi? jaribu kufikiri kwanza.
2. alikua waziri wa wizara inayosimamia tasnia hiyo. mamlaka yake ilikua ikimruhusu kufuatilia suala hilo. na hakusema atamchukulia hatua bali angewasilisha ripoti kwa mamlaka husika. unataka kusema kwa mfano waziri wa mambo ya ndani hana mamlaka ya kuagiza uvamizi wa Daudi uchunguzwe kwa hatua zaidi? unaongea vitu gani mkuu?
Nadhani hujui jinsi serikali inavyofanya kazi. How the government machineries operate. Wewe unadhani kila kitu kinafanywa na wasiasa. Waziri ni mwanasiasa tu. Kama wakina Ruge waliona Makonda ametenda kosa la jinai au jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi nina uhakika wanajua mahala ambapo walipaswa kulipeleka. Sasa wao kwa sababu wanazozijua wenyewe wakalifanya la kisiasa kwa kulipeleka kwa waziri. Yaani waliamua kumchukulia hatua za kisiasa Bw. Makonda badala ya hatua za kisheria. Basi kila upande uridhike na hatua za kisiasa zilizochukuliwa kuhusu suala hilo, na hakuna tena mahali pa kuomba rufaa. Wote wameathirika ( Nape, Clouds na Makonda) kwa hukumu ya kisiasa iliyotolewa.
 
Ishu ya Nape sio bahati mbaya, wamejipanga, anayefuata ni Mwigulu atamkosoa Mkulu hadharani naye atakaa au atawekwa pembeni, atafuatia January Makamba...baadae kuna orodha ya wabunge hasa wa kanda ya ziwa ambao ni Tibaijuka,Kamala,Lugola,Mkono,Ahmed(Solwa),Nchambi,Chegeni,Salum(Meatu),Bukwimba na Musukuma.
ndio walivyokwambia?
 
Nadhani hapa tatizo ni mipaka ya kazi baina ya mkuu na msaidizi wake, alichokifanya Nape kama mwenye wizara ni sahihi lakini pia alichokifanya JPM kubadilisha na kuteua waziri ni sawa pia kwani kilichoangaliwa hapo nani alianza, tayari Rais alishalizungumzia hilo na kusema "huyo mtu wake" afanye kazi na hawezi kufanya kazi kwa maelekezo ya mitandaoni which means pamoja na makosa aliyofanya huyo dogo bado yeye aliona sawa na ndio maana akazidi kumwambia aendelee kufanya kazi (kwa kauli ile maana yake amefunga mjadala).......na kwa Nape kufanya kazi ile kama Waziri ili kujua kiini cha tatizo nae alikuwa yupo sawa tatizo hapo kwa kuwa tayari rais alishalizungumzia hilo ilibidi afanye mawasiliano na mkuu wake kabla ya kwenda frontline (hapo ni protokali za kiuongozi tusiangalie kosa la Makonda ambalo kimsingi lipo wazi tu halina ubishi). Kinachoonekana hapo tayari kuna tofauti katika ku-deal na tatizo alilolifanya Makonda wakati wote wawili ni sehemu ya serikali na kilichotokea ni yule mkubwa kumlamba mkono yule mdogo.
huwezi kuwa unafanya kazi halafu kila kitu unauliza kwanza utakuwa ni tatizo,kama unaifanya kazi yako ndani ya mipaka yako ya kazi na hauko tofauti na sheria kwanini uwe unaulizauliza?labda kama hujiamini.
 
Mawaziri wote ni wateule wa rais na ndio bosi wao kwa man tiki hiyo unataka kutuambia kwamba hawatakiwi kuwa na mawazo tofauti na bosi wao,nape alijiandaa kuachia ngazi endapo sheria haitafanya kazi dhidi ya bashite na rais kamuwahi kukwepa fedheha ya mteule wake kubwaga manyanga.ww nawe inabidi utumwe India ukatibiwe.
 
kwa jambo lililofanyika huwezi kutamani kupewa nafasi nyingine hasa ukizingatia kile unachopigania hakoungwi mkono na bosi wako maana utakuwa ni mfano wa kiongozi asiye na msimamo kwa kile anachokisimamia ambacho ni ukweli
 
Nadhani hujui jinsi serikali inavyofanya kazi. How the government machineries operate. Wewe unadhani kila kitu kinafanywa na wasiasa. Waziri ni mwanasiasa tu. Kama wakina Ruge waliona Makonda ametenda kosa la jinai au jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi nina uhakika wanajua mahala ambapo walipaswa kulipeleka. Sasa wao kwa sababu wanazozijua wenyewe wakalifanya la kisiasa kwa kulipeleka kwa waziri. Yaani waliamua kumchukulia hatua za kisiasa Bw. Makonda badala ya hatua za kisheria. Basi kila upande uridhike na hatua za kisiasa zilizochukuliwa kuhusu suala hilo, na hakuna tena mahali pa kuomba rufaa. Wote wameathirika ( Nape, Clouds na Makonda) kwa hukumu ya kisiasa iliyotolewa.
Ni lini clouds walilipeleka swala hilo kwa waziri?na ukumbuke makonda na clouds ni watu wa karibu.
 
Issue ni kwamba Nape alikuwa na options mbili baada ya rais kuongea pale Ubungo
1. Kama alikuwa hakubaliani na rais angevunja ile kamati na kujiuzulu uwaziri. Hii ni kwa sababu mwelekeo wa rais kuhusu swala hili ulishaonekana
2. Nape angevunja kamati na kukaa kimya.
namba moja sawa,ila namba mbili akae kimya ili iwe nini yani?abakie kwenye UWAZIRI?
 
Back
Top Bottom