elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Daaah ipo siku mtaopoa majini au akina ant bilalHaaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!
Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
Daaah ipo siku mtaopoa majini au akina ant bilal
Dongo[emoji12]Hahaaa...ipi hiyo?
Ya mtu ku fall na mimi huku hanijui nami simjui halafu yeye akadhani yuko in too deep in love na mimi ilhali mimi natumia akili zaidi kuliko hisia?
Dongo[emoji12]
haaaa eti hatembeagi mchana he usiku tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!
Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
Mi mwenyewe kuna kadhaa humu wananisisimua sana kwa uandishi wao[emoji1] [emoji1] [emoji1] sema kuna watu humu wana maneno ya kujisex-isha hadi nshawajengea taswira kabisa kila nikiona IDs zao.
hebu njoo tulale....Nasubiri utaje nijue moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waza tu Jf ni msituUmenifanya nimwazie flani anaanzia na Hnaish tegeta[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
haaaa eti hatembeagi mchana he usiku tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahhhWatu wana fall in love na avatars na uandishi wa watu humu ndani
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eeeh Mungu ,ngoja nisiseme neno ,tuishie hapa hapaHaaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!
Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli kabisa...JF MMU is a world of its own.
Wakati mwingine unakuta kuna couples humu tena kwa hata miaka...lakini hata kukutana hawajahi.
Vituko vya humu bana...full burudani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eeeh Mungu ,ngoja nisiseme neno ,tuishie hapa hapa
hahaha!! Pole mkuuWee..kuna mmoja, nilimfuata, nika drive hadi Tegeta, Dec 2015... picha kibaoo kanitumia... mtoto tako tako ktk picha, kiuno nyigu... wee nilichokikuta, siri yangu.. sisemi ng'oo... nilibakia kumwagizia Amarula nikabaki najichekesha mwanaume... nguvu zote zimeniishia..
Acheni tu... achaaa
Huyo uliye muelezea hapo juu ,kuna mwenzake sasa anapenda kukaa hapa posta Opposite na NBC kwenye uwanja wa wazi ule ,Ukipita asubuhi unamkuta kavaa baibui kakaa kwenye mabenchi yale halafu anaanza kujipodoa ,kila mtu anamshangaa sijui kama bado yupo ,Sijapita pande hizo siku nyingiHaya mambo ya mtandaoni usiamini kabisa aiseee... hadi umuone mtu face to face, na umjue sasa...!! Hatari sana
haaa..
Huyo uliye muelezea hapo juu ,kuna mwenzake sasa anapenda kukaa hapa posta Opposite na NBC kwenye uwanja wa wazi ule ,Ukipita asubuhi unamkuta kavaa baibui kakaa kwenye mabenchi yale halafu anaanza kujipodoa ,kila mtu anamshangaa sijui kama bado yupo ,Sijapita pande hizo siku nyingi
Mwenyewe mrefu halafu mweupe ,
Anaweza akajipaka aina 17 ya mafuta na kioo chake
hujakutana na mimi utaanza kunitafuta weweMie nilikuwa nafurahia kila siku mpk alipoamua kuhama nyumba kwa kukosa unyumba, kwahiyo nasikitika kukosa chatmate lkn mambo hayakwenda mramba mie, ila natoa wosia mkiwa mnaongea msiamini mno, ukikutana nami mie napenda kufurahia umahiri wa maneno, sina muda wa kukutafuta kugegedana.
mie nampendaga Mshana Jr tu! yan nakufa naozaga nkisoma post zake! mweee...japo mie new humu ila daah nampendagaWatu wana fall in love na avatars na uandishi wa watu humu ndani
Ashakupga dawa yake inaitwa mvuto wa nzi maskini.mie nampendaga Mshana Jr tu! yan nakufa naozaga nkisoma post zake! mweee...japo mie new humu ila daah nampendaga
ha ha ha haaa...mkuu we nae wivu sana achagaaa!...nampenda hvyo hvyo hata gamboshi anipeleke!...japo naogopa ila mapenzi matammmmmm na mshana JrAshakupga dawa yake inaitwa mvuto wa nzi maskini.
Badala unipende mimi we wampenda mshana hakawii kukupeleka gamboshi wewe[emoji23]