BAOSITA
JF-Expert Member
- Nov 2, 2011
- 368
- 188
Habari zenu wadau wa hii sekta!Swali ndio hilo hapo juu!
Wengi wetu huwa tunajidai tupo seriously busy na pilikapilika za kila kukicha na kusahau kwamba wenzi wetu wanahitaji kufurahishwa nasi,mwishowe mkeo anachekeshwa na muuza vyombo halafu inakuwa balaa..!Teh teh teh!
Kumbuka bila kicheko maisha yanazidi ugumu!
Wengi wetu huwa tunajidai tupo seriously busy na pilikapilika za kila kukicha na kusahau kwamba wenzi wetu wanahitaji kufurahishwa nasi,mwishowe mkeo anachekeshwa na muuza vyombo halafu inakuwa balaa..!Teh teh teh!
Kumbuka bila kicheko maisha yanazidi ugumu!