Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,263
- 25,534
mbona dogo anadai Alisoma na plus msekwa yule spika mstaafu marehemuhuyo dogo nimempita miezi 4 😂
mbona dogo anadai Alisoma na plus msekwa yule spika mstaafu marehemuhuyo dogo nimempita miezi 4 😂
😂😂 mimi nakwambia mbona ujamwambia atumie kondomu pia ila unamwambia at apambane sio😂 mtoto mpuuzi sana wewe
😂 akimaliza bila kuvuta bangi anitafutemwambie kabisa aombe huko pm ila sio hadharani mzee na asitegemee kupata kazi humu sikuiz humu ni kama kijiwe cha bodaboda kuna watu wamekaa na cv za watu humu watu wanalalamika sana 😂😂😂
dogo ni wale wale wa kuitemea kama Johnnie Walkermbona dogo anadai Alisoma na plus msekwa yule spika mstaafu marehemu
Wewe sasa ndio mtanzania sawa na mimi na kama mchongo naona mswahili nafuta nambaMe nina majina 95 tu...
Huwa sina kawaida ya kuomba namba,ukiniomba wewe nakupa ila ukinichek sisave mpaka unipe mchongo au nione unafaida na me
Kondom sio sehem ya maisha ya elimu yake, kondom kwenye kitabu yanini?😂😂 mimi nakwambia mbona ujamwambia atumie kondomu pia ila unamwambia at apambane sio
Wowote tuNamba mpya ambayo ni ya umuhim........huo umuhim kama upi kwa mfano
Anakuwa analinda macho yake asiumie macho anaposomaKondom sio sehem ya maisha ya elimu yake, kondom kwenye kitabu yanini?
najitahidi sana ingawa peer pressure ni kubwa 😂😂 akimaliza bila kuvuta bangi anitafute
Kwahiyo wewe ushaaza tuna wakubwa wakodogo ni wale wale wa kuitemea kama Johnnie Walker
Hiyo n mawani sio ndomAnakuwa analinda macho yake asiumie macho anaposoma
Sasa mbona ujamwambiaHiyo n mawani sio ndom
Hakika shangazi mtuSomo dogo, pisi zitakupenda ukiwa na hela tu
Atajiongeza kama awez jiongeza hiyo shule haijamsaidia had sasa bora aacheSasa mbona ujamwambia
kabisa shangazi sintosahau wosia wako.... 😂Somo dogo, pisi zitakupenda ukiwa na hela tu